Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Wakuu kama mdau wa michezo natafuta Jezi ya zamaleki ili nikawashangile vizuri siku yajmosi watakapocheza na YeboYebo!
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Jamani wa kuu Hivi Hii Tv ya Taifa kwa Nini Inashindwa Kuonesha Mipira Ya Kimataifa? Gem ya Taifa Star Hawakurusha, na Leo Gem ya Simba hawaoneshi wakati Tv za Kenya na Uganda Huwa Zinaonesha...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ikiwa na takribani juma moja limepiti toka ZAMBIA kutangazwa mabingwa wapya wa soccer barani Afrika nadhani sio vibaya tukijikumbusha vipaji vipya vilivyojitokeza wakati wa mashindano haya,mimi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
MSANII wa muziki wa bongo fleva nchini Joseph Haule 'Prof J', amewataka Watanzania kuweka utaifa mbele kwa kuishangilia Yanga katika mchezo wake na Zamelek utakaopigwa Februari leo jioni. J...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
zamalek piga hao yeboyebo! wao walishangilia mazembe walivocheza na simba.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu nani anaweza kutupatia the best line up of all times ya Stars stars......
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Mpira ndo unakaribia kuanza. leo sijui nani ataibuka mshindi. porto wanaongoza ligi ya kwao. wameshinda mechi tano mfurulizo huku wakiruhusu goli moja tu. manchester city na wao wapo kamili. hapa...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Hadi sasa hivi Asernal wameshalizwa goal moja, goli limefungwa dakika ya 15 na Boateng. Mpira unaonyeshwa ATN...
0 Reactions
36 Replies
7K Views
huyu jamaa ni mpenzi wa man utd,lakini anapokuwa anachambua mechi huwa anaonyesha mapenzi ya wazi wazi mno,kila ki2 utasikia pale ingejuwa man utd/ferguson!wachambuzi wote huwa wana mapenzi na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
list mpya imetangazwa leo na TANZANIA YETU imeshuka kwa nafasi mbili zaidi hadi 139.
0 Reactions
15 Replies
3K Views
In one of the most touching moments of the final, Zambian coach Hervé Renard gave his winners medal to Zambian FA president Kalusha Bwalya, who only survived the fateful crash as he was playing...
0 Reactions
0 Replies
740 Views
Nashangaa kuona mtu tena aliyejijengea sifa sana kama Shafii daudi, kila kukicha haishi kuliponda soka la bongo, unajua watu kama hawa sometimes inageuka kuwa kero kwa sisi mashabiki hasa...
1 Reactions
14 Replies
4K Views
Mod. Napendekeza u-sticky pia topic ya Real Madrid kama walivyotendewa haki washabiki wa timu nyinginezo za majuu. (Binafsi siioni katika topics zilizopo).
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Soka ndio mchezo wenye wapenzi wengi Tanzania na Duniani kwa ujumla,ili mchezo wa soka uwe wenye mvuto ni lazima sheria zinazouongoza mchezo huo zifuatwe.Waamuzi ni watu muhimu sana umuhimu wao...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tz mnaweza..Hongera Sata hata Dewji umeonyesha nia hongera Copper Bullets-KK eleven-Chipolopolo
0 Reactions
9 Replies
1K Views
To me SENEGAL, here is their squad that tells more... Goalkeepers: Khadim Ndiaye (ASC Linguere), Bouna Coundoul (New York Red Bulls, USA), Pape Latyr Ndiaye (Ouakam) Defenders: Kader Mangane...
1 Reactions
2K Replies
79K Views
Wanna stream live football in HD? Serie A, EPL, La Liga, BundesLiga and more? Here is what you got to do: Make your coffee before kick off Get sopcast, streaming software here >>> Now go to the...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Who is Your favorite Cricketer? Post the Image of your favorite Cricketer.. My favorite Cricketer is "sachin Tendulkar"..
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nashindwa kuelewa ni kwa nini wasanii wetu pamoja na wachezaji wetu wa mpira pindi waulizwapo maswali hujibu pumba tu?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wananchi wa ZAMBIA wanasherehekea ushindi katika viwanja vya wazi,wale wenye nafasi wanaweza kutazama. Underdog ZAMBIA imeweza kumuuwa TEMBO kwa kutumia CHIPOLOPOLO au...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…