Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa timu ya Yanga, Ally Kamwe amesema kilele ya Wiki ya Mwananchi Agosti 4, 2024 kutakuwa na tuzo maalumu iliyoandaliwa na mashabiki wa timu hiyo kwa ajili ya...
4 Reactions
3 Replies
414 Views
Saba kati ya hawa walikamilika. Saba kati ya hawa walicheza Milan
0 Reactions
2 Replies
340 Views
kilichotokea ni ubaya ubwela practical achana na zile theory za maandishi na kelele za vispika. Kulikuwa na mkakati maalum wa kuitrendisha sold out ili kufidia maumivu ya tuzo za leo, faraja ya...
3 Reactions
8 Replies
677 Views
Kiungo wa Yanga Stephane Aziz Ki ameshinda tuzo yake ya pili usiku wa leo ambapo amebeba tuzo wa kiungo bora wa msimu Aziz ki amewashinda wapizani wake wa karibu Feisal Salumu na Kipre Junior wote...
9 Reactions
21 Replies
2K Views
Timu Nyingi za nje zipi zinazomuhitaji Aziz K Zaidi ya Tetesi Hakuna timu yotote kubwa iliyomuhitaji Aziz k kutoka nje, tunapozungumzia timu kubwa zinajulikana, Aziz K ni One season Wonder, watu...
3 Reactions
19 Replies
975 Views
Alhamis hii, Agosti Mosi katika ukumbi wa Super Dome, Masaki utakuwa usiku wa tuzo za TFF kwa wanasoka waliofanya vizuri msimu wa 2023/2024 ushindani mkubwa upo kwa Aziz Ki wa Yanga sc na...
6 Reactions
20 Replies
1K Views
Binafsi nimefanya kazi sehemu nyingi na ofisi. Mashabiki wa simba ni hard working na wengi wana kipato kizuri. Wewe je ,unawaonaje?
4 Reactions
10 Replies
580 Views
Liberatus Mwang'ombe Kijana wa Chadema, Aliyeporwa Ubunge 2020 huko Mbarali, katika ahadi zake kwa Wananchi ilikuwa kuhakikisha anainua Michezo kwenye Jimbo hilo, kwa kuanzisha mashindano mbali...
3 Reactions
14 Replies
432 Views
Kwako mwana utopolo msimsubili Kununuliwa Tiketi nunueni tiketi mpewe na motisha ya supu Mchambuzi Nguli nawahamasisha wana utopolo
5 Reactions
14 Replies
625 Views
Mlinda mlango wa klabu ya Yanga Sc, Djigui Diarra ameshinda tuzo ya golikipa bora wa Michuano ya FA (CRDB FEDERATION CUP). Diarra amewashinda Khomein Abubakar kutoka Ihefu (Singida Black Stars)...
3 Reactions
2 Replies
625 Views
Tff waliangalie utoaji gani huu wa tuzo mbiombio kama mwenge
13 Reactions
52 Replies
2K Views
Mshambuliaji wa timu ya Yanga SC Mgadafiprince ametoa shukrani kwa uongozi wa timu oamoja na mashabiki wa yanga kwa kumpa sapoti tangu kujiunga kwake na timu hiyo, aidha mshambuliaji huyo...
1 Reactions
16 Replies
636 Views
Napenda kuushukuru uongozi wa Yanga ambao kupitiabmsemaji wetu Ali Kamwe walitutangazia kuwa Tickets za VIP zote ni Sold Out. Naomba niwakumbushe kwamba, maadam VIP zimeshauzwa zote, ni vyema...
3 Reactions
13 Replies
660 Views
Hii timu kweli huu ubingwa wanaupata kihalali au wanatumia uchawi wa kizungu kwa timu kinzani.? Haiwezekani timu inachukua ubingwa 3 years consecutive lakin mashabiki wake bado wanashabikia...
4 Reactions
19 Replies
669 Views
Hii mechi ya ngao ya jamii tarehe 8 ingetakiwa TFF na bodi ya ligi wamlete refari kutoka nje ambaye ana uzoefu mkubwa ili kuepuka lawama na kasoro za upendeleo wa wazi kama wanavyofanyaa marefa wa...
3 Reactions
23 Replies
725 Views
Yanga wanakikosi kizuri sana kwa sasa lakini kuna jambo ambalo linaweza kuwapata likaacha watu wengi midomo wazi. Mimi binafsi naoma Yanga wakipoteza kwa Simba goli 3 kwa 0 na wanaweza kufungwa...
6 Reactions
24 Replies
1K Views
Salaam wanajukwaa, kwa maoni yangu lakini (naomba niwe tayari kurekebishwa na wanaoitwa wajuaji) Naona kabisa WASAFI FM/TV ni YANGA na CROWN FM/TV ni SIMBA. Swali 1; Je, ni permanent marketing...
3 Reactions
34 Replies
1K Views
Clement Mzize ambaye anadai kuzaliwa 2004 , yani sasa ana miaka 20 ambaye kwa sasa mkataaba wake na Yanga umeisha amegoma kusaini mkataba mpya. Mzize amegoma mkataba mpya na anataka kupandishiwa...
25 Reactions
90 Replies
4K Views
Nijuavyo mie, kazi ya Mchezaji Mpira (Professional player) ni kazi ya ajira kama ilivyo kazi nyingine. Sasa, kwa ushamba wangu na kutokujua kwangu huwa nashangaa mambo haya: - Mikataba haiwapi...
1 Reactions
18 Replies
537 Views
Wimbo mzuri sana ila umewataja tu kina Yao, Bacca, Zingeli, Aucho, Chama, Aziz, Dube na Baleke. Kipa wetu bora kabisa Diara hujamtaja. Huyo Aziz uliyemtaja ungemalizia Ki maana haijulikani ni yupi...
4 Reactions
25 Replies
847 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…