Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Yanga ni timu ghali kuiona laki 2 lakini SIMBA bure free kabisa hii inamaana simba haina thamani au vipi? Mimi ni mshabiki wa Simba. POLENI WANA SIMBA WENZANGU TUMEKOSA KWENDA BRASIL :msela:
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Footballers are already stereotyped as being a bit underwhelming in the brains department and this really isn’t going to help their cause one little bit. As if leaving the car abandoned for...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
yes count down is on , rugby world cup 2011.. 9 SEPTEMBER -23 OCTOBER POOLS POOL A...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Messi kwa kweli anaitafuna La Liga kama vile ni Ligi Kuu ya Shangazi yake, kila mwisho wa wiki ana mabao mawili au matatu, na Barca hawapitishi wiki bila kupiga mtu 4 au zaidi. Nadhani Messi aende...
0 Reactions
79 Replies
6K Views
wakubwa habari zenu leo nami ni mmoja wenu mpya ktk blog nipokeeni tafwadhali
0 Reactions
0 Replies
2K Views
nauliza jamani hii timu iliyokuja ndio yenye maana inaonyesha leo wanacheza kwao na Corithians muda wa saa 10:30 za Brazil kwa kuangalia vizuri gonga hapa CA Paranaense - Results, fixtures, squad...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
MFADHILI na mdhamini wa klabu ya soka ya Yanga Yusuph Manji yuko mbioni kuinunua timu ya TMK United endepo timu hiyo itafanikiwa kuwa miongoni mwa timu nne zitakazopanda na kucheza ligi kuu msimu...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau wa soka kuna gemu kali kinoma (japo Taifa Stars tumetolewa) ya nusu fainali kati ya Kenya na DR Congo mwaweza kucheki live katika link hii hapa.... YaSports : Watch All Sports Live Online...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Taifa Stars a.k.a JK eleven, wameshindwa hata kupata milioni 40 za mshindi wa tano baada ya kuchapwa na Sudan 2 - 0. Tunaweza nini wandugu? sio tetesi jamani ni kweli, sorry kwa neno tetesi
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mwenye matokeo, please atafahamishe, mechi ilikuwa ianze saa 9.00 mchana kule Misri, kutafuta mshindi wa tano.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Blackpool beat Liverpool hili chama lzima kun awatu kama mimi watakuwa wanalipenda sana tu mwanzo mwisho
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Ulikuwa mchuano mkali kati ya wachezaji watatu wa timu ya barcelona ( Messi, Xavi na Iniestana) kocha wao ndo aliyekabidhi tuzo. Mourinho atwaa tuzo ya kocha bora
0 Reactions
61 Replies
7K Views
MVUA kubwa iliyokuwa ikinyesha bali ni manyunyu, lakini hali hiyo ilisababisha mchezo kati ya Taifa Stars na Sudani uliokuwa ufanyike jana ukwame. Taifa Stars na Sudani zilitarajiwa kuumana...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
"TUNAJUA matokeo yetu yamewanyong'onyesha Watanzania, hatutawaangusha tena, tutaifunga Uganda na kufuzu nusu fainali," hiyo ni kauli ya nahodha wa Taifa Stars, Shadrack Nsajigwa akizungumzia...
0 Reactions
90 Replies
7K Views
0 Reactions
4 Replies
1K Views
KIPIGO cha mabao 5-1 ilichokipata Taifa Stars kutoka kwa timu ya taifa ya Misri, Pharaos, kimesababisha madhara makubwa katika ngazi za ubora wa viwango vinavyotolewa na shirikisho la soka la...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
hii iatokana na ukweli kuwa baadhi yao wanashindwa kabisa kufuata maadili na misingi ya usomaji ikiwa ni pamoja na kuwa biased,kutokuwa na ufahamu wa michezo na matamshi mabovu..karibuni
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wachezaji wamevaa jezi zenye nembo ya Kilimamjaro Premium Lager.
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Priskin wa ipswich awaliza arsenal, ni ktk carling cup mzunguko wa kwanza
0 Reactions
0 Replies
794 Views
Wanamichezo wenzangu kunatetesi ya kwamba SIMBA NI BINGWA katika final hii kama kawaida ye2 na anamfunga yanga goli 3 bila
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…