WWE ilipata pigo kubwa wiki iliyopita baada ya John Cena kutimuliwa.
Juzi Jumatatu katika ukumbi wa Wells Fargo Centre,Philadelphia,Cena alionekana katikati ya mashabiki akiwa na tiketi yake...
Watanzania ni vema tukampatia ushauri wa bure kocha wetu wa timu ya taifa ili afuate nyayo za Maadam Ritha anavyofanya katika kutafuta vipaji badala ya kutegemea wachezaji waliochwa na MAXIMO.
Ni...
Inasemekana timu ya taifa ya tanzania haijawahi kuibuka na ushindi ikiwa inashuhudiwa na rais kikwete kama mtazamaji au mgeni rasmi na kwamba mara zote hizo imekua ikiambulia kichapo au sare...
Jamani nimeiona stars ikicheza na zambia kwa kweli
ilinisikitisha kwa kutokuwa na mpango mzuri wa mashambulizi
Kwa sasa naiangalia ikicheza na timu dhaifu ya Somali matatizo ni yale yale
tunakosa...
Three senior Fifa officials who will vote on the 2018 and 2022 World Cup bids took bribes in the 1990s, according to the BBC's Panorama.
Nicolas Leoz, Issa Hayatou and Ricardo Teixeira...
Wakuu mnaoicheki mechi Ya Barca vs Real,kwa mtazamo wangu ni kama vile Wenger the professor ameibiwa baadhi ya mbinu na hawa vijana wa Katalunya. Halafu huyu Messi amekula kizizi gani?
KAMATI YA NIDHAMU TFF IMEKOSA NIDHAMU IJIUZULU
Kamati ya nidhamu ya TFF iliyo chini ya mwenyeiti wa Sunday Kayuni imekosa nidhamu kwa Watanzania na inapaswa ijizulu. Kamati hii ilifanya kituko...
Inasikitisha shirika la tbc mnashidwa kuonyesha mpira mnakalia maojiano na Sakirojo chambua wakati supersport,Kbc, wanaonyesha mpira wa ivory cost na rwanda nyie mpo katika mahojiano huo ni upuuzi...
KAMATI YA NIDHAMU TFF IMEKOSA NIDHAMU IJIUZULU
Kamati ya nidhamu ya TFF iliyo chini ya mwenyeiti wa Sunday Kayuni imekosa nidhamu kwa Watanzania na inapaswa ijizulu. Kamati hii...
haya hayaaa! Ni barcelona v real madrid! Ka vp tuanze kupeana tathmini ryt now pamoja na utabiri pia.
BARCELONA WIN - LOSE REAL MADRID but kwa bao ngapi, ngoja twoneee...
Hakuna shaka watanzania wote jana tulishuhudia kandanda safi na ya kujituma kwa ndugu zetu wa zanzibar ukweli kike kikosi kilitimia na kwa uchezaji wao wakiwapo na mashirikiano wakiwa uwanjani...
Si kama nina chuki binafsi ila ctaki kukiamini hiki ambacho huyu mrithi wa maximo alichokifanya cha kumteua mwai kimba staz na kumuacha mgosi hivi kweli linaingia akilini au hiyo staz ni ya...
Torquay v Carlisle
Norwich v Droylsden/Leyton Orient
Preston v Nottingham Forest
Tottenham v Charlton/Luton
Stoke v Cardiff
Hull v Wigan
Man United v Liverpool...
Mnaweza kufutilia vinara wa tennis wakipambana
Sasa hivi kuna mechi ya Djokovic na Adny Roddic
Tarehe 27 kuna mechi ya Ady Murray na Nadal
Live stream ipo ATDHE.Net - Watch Free Live Sports TV
Timu yetu ya Taifa ya Kilimanjaro Stars itaendelea kufungwa na kufanya vibaya ktk mashindano mbalimbali hadi tutakapo tambua haya yafuatayo:
1. Kwamba ile ni timu ya Tanganyika (Tanzania Bara) na...
Jamani wadau wenzangu wa "the red devil" hivi kweli kwa kikosi tulichonacho tunaweza twaa ubingwa kweli? au tunahitaji watu wa kuongeza nguvu kwenye usajili wa january......
Guinea yashumbaliwa kuchezesha madume Sauzi.
Friday, 26 November 2010 09:39
ABUJA, Nigeria
SHIRIKISHO la Soka la Nigeria (NFF) limetoa malalamiko rasmi kwa Shirikisho la Soka la Afrika...
Ikicheza ndani ya Dakika 30 za mwisho huku wakiwa pungufu uwanjani Klabu yenye mafanikio kuliko klabu zote hapa Duniani yaani AC Milan imeweza kuwabamiza klabu ya Inter kwa goli moja kwa bila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.