Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Naangalia channel tena. Mchambuzi mmoja anasema kama kweli adhabu ya Ali Kamwe itakuja rasmi miaka miwili basi hii kamati haina nidhamu, Maadili na Hekima. Haiwezekani kamati hawajatangaza rasmi...
1 Reactions
2 Replies
226 Views
ednesday, October 23, 2013 KUELEKEA UCHAGUZI WA TFF: HII NDIO ILANI YA UCHAGUZI YA MGOMBEA JAMAL MALINZI UCHAGUZI WA SHIRIKISHO...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Takwimu zinaibeba Yanga, mechi za derby za mwisho alizochezeha Ahmed Arajiga Mwamuzi Ahmed Arajiga amechezesha michezo minne ya derby kati ya Yanga na Simba, ambapo Yanga wameshinda mechi tatu na...
0 Reactions
3 Replies
201 Views
  • Redirect
HIki CHEO TUNASHAURI KIWE NA UKOMO TERM MBILI MHUSIKAA UONDOKE UKAPAMBANE NA MAMBO MENGINE KUMEKUWA NA KAMA UMWINYI FALAN NA WAKATI MWINGINE HAWA WATU HUFHANGIAA KUHARIBU SOKA LETU...
1 Reactions
Replies
Views
Huyu anafungikaga vizuri sana, tunaombaa aanze ili Aziz Ki na Mzize wamjaribu kutokea mbali. Mpaka sasa Yanga 6, Simba 0.
1 Reactions
9 Replies
200 Views
Yanga ni timu kali kwasasa kwa kuangalia uwezo wa mchezaji mmoja mmoja na timu kwa ujumla hivyo derby ya jumamosi Yanga ana nafasi kubwa ya kushinda kwa kuwa Simba ina hofu na tayari mnyama...
4 Reactions
13 Replies
595 Views
TUFIKE WAKATI TUSEME KUPANGA MECHI NO KWENYE SOKA LETU NAJUA WENGI MMEUMIA KWA ADHABU YA ALI KAMWE NAWAHAKIKISHIA HUU NDIO MWANZO TU. MTAAMBIWA UKWELI MTAFUNGIA WENGI TU MPAKA MBADILIKE UKWELI...
2 Reactions
4 Replies
199 Views
Wakuu Soka linaongezewa tuvitu vitu🤩 Rais wa FIFA, Gianni Infantino, amethibitisha kuwa fainali ya Kombe la Dunia la 2026 itakuwa na onyesho maalum kwa mara ya kwanza katika historia ya...
3 Reactions
9 Replies
318 Views
Kuna HABARI Agis habari WA YANGA amefungiwa miaka 2 Kifupi tu huu ni UWOGA na Tff mkumbuke hii n mwanzo tu hakuna watu WAACHA kuwasemea UPUUZI WENU na UPUUXI WA Refa Kama mlifikiri mkimfungia...
1 Reactions
8 Replies
186 Views
  • Redirect
Kama nilivyo fundi kwenye kufanya time traveling ( kwenda kuona matukio ya kesho haya ndo nmeona Baada ya mechi ya derby tarehe 8 Wenyewe wanasemaga picha za tr,8 zimeanza...
1 Reactions
Replies
Views
wakuu Kama kweli Ali Kamwe atakuwa amepigwa rungu na TFF basi huu ni wakati wa mchambuzi na shabiki wa Yanga, Dominick Salamba kuwasemea Wananchi. Apewe kitengo kwani amekuwa akiwasemea vizuri...
1 Reactions
1 Replies
295 Views
TFF imeipa onyo kali klabu ya Yanga kutokana na kitendo cha viongozi wake akiwemo Rais wake Hersi Said kuingia uwanjani na kupiga zogo na wachezaji wa Singida Black Stars baada ya mechi...
5 Reactions
26 Replies
1K Views
Timu ya soka ya Yanga yenye makao yake eneo la Twiga na Jangwani inatarajia kushuka dimbani siku ya jumamosi dhidi ya kibonde wake wa muda wote Simba Sports Club. Timu ya simba ndiyo inayo...
4 Reactions
6 Replies
234 Views
Yaaani Bondia Dulla Mbabe kapigwa, Rais kampa Tsh Milioni 2, ila Chama cha Mabondia Tanzania hakijapewa chochote.
1 Reactions
9 Replies
516 Views
Afisa mtendaji mkuu wa bodi ya ligi, Almas Kasongo amesema msimu ujao 24|25 Video Assistant Referee (VAR) itatumika ligi kuu. Amesema, mfumo wa (VAR) utafungwa kwenye baadhi ya viwanja...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
Miezi kadhaa nyuma tulisikia taarifa za ujio wa VAR kwa Tanzania kwaajili ya kuboresha ligi yetu katika kusaidia utoaji wa maamuzi yenye utata uwanjani. Nimeshangazwa sana kwa kutokuona waamuzi...
7 Reactions
37 Replies
1K Views
Jamani hayo ni macho yangu ya rohoni ikitokea ivyo mnichangie niwape na matokeo mechi ya Simba vs yanga correct score Bibi kasema wa kubet stake a wife
0 Reactions
2 Replies
155 Views
YANGA SIO MAADUI WA SIMBA, SIMBA WAMETOKA UBAVUNI KWA YANGA - @maulidkitenge Kocha Mchezaji, Maulid Kitenge ametoa ushauri wa bure kwa Wasemaji wa Simba na Yanga kufuatia kuitwa katika kamati ya...
2 Reactions
7 Replies
231 Views
  • Redirect
Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi imewapa onyo kali Viongozi wa klabu ya Yanga kwa kosa la kuingia kwenye eneo la kuchezea (pitch area) katika mchezo uliowakutanisha Yanga dhidi ya Singida...
0 Reactions
Replies
Views
Wakuu Assalam Alleikhum. Binafsi nipende kutoa angalizo juu ya upangaji wa kikosi kwa Coach Fadlu na benchi lake la ufundi kuelekea derby jumamosi. Kama kocha Fadlu anataka matokeo,wachezaji...
2 Reactions
6 Replies
470 Views
Back
Top Bottom