Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Kesi ya Msingi ya Mzee Magoma ilikuwa ni kwamba " Uongozi uliopo wa Yanga hauna uhalali kwa sababu umeingia madarakani kwa mujibu wa katiba ya mwaka 2020 ambayo yeye Mzee Magoma anasema katika...
3 Reactions
9 Replies
730 Views
Kuna upuuzi mwingine ni wa viwango vya lami, mahakama pamoja na weledi wake ilishindwa kunusa hali yoyote ya uhuni kwa awa wakina magoma na mwenzake? Wajumbe wa Baraza la wadhamini aliowashtaki...
1 Reactions
3 Replies
837 Views
"Siwezi kuelewa mahakama inafanya kazi gani, kwa sababu mimi ndio mstahili wa kupewa hukumu. Hizi ni propaganda. Mimi bado Eng. Hersi ni kiongozi wangu pamoja na bodi yake. Lakini kama itatokea...
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Hello! Mimi si shabiki wa mpira kivile ingawa naipenda Yanga kuliko Simba . Hakuna timu nitavutiwa mpaka nikatoa pesa yangu kununua jezi. Turudi kwa Mzee Magoma, huyu kafanya haki yake kikatiba na...
6 Reactions
25 Replies
1K Views
Tangu nimeanza kushabikia mpira sijawahi kuona kesi ya mpira inaperekwa kisutu, Ingekuwa mambo yanaenda hivyo Feitoto angeenda kisutu. Kuna TFF na Bodi ya ligi kuu ndio zenye mamlaka kisheria...
0 Reactions
4 Replies
519 Views
Salam. Hii inatokana na mafanikio makubwa ya Yanga iliyoyapata na inayopanga kuyapata mengine..ndio maana hii habari ya yanga ya kutakiwa 'uongozi kuondolewa' imekuwa kubwa sana. Kama yanga...
1 Reactions
7 Replies
559 Views
Naam, ni Hakika! Wakati ligi mbalimbali duniani zikielekea ukingoni, mashabiki kote duniani wanatarajia kwa hamu kuanza kwa tukio kubwa zaidi la soka barani Ulaya, UEFA EURO 2024. Mashindano...
33 Reactions
7K Replies
171K Views
Kauli iliyotolewa na afisa habari wa Yanga bw Ally Kamwe kwa kuwaita wa ovyo watu waliotinga mahakamani kupinga uhalali wa uongozi wa Yanga na kupewa ushindi ni kuidharau Mahakama iliyotoa hukumu...
3 Reactions
15 Replies
726 Views
Yanga wanachofanya ni kutafuta milage tu hamna cha kesi wala nini, kila kitu wamekipanga ili kufanya hamasa ya siku ya mwananchi na haya hayajatokea kwa bahati mbaya. Siku watanzania tukiyaekewa...
3 Reactions
0 Replies
186 Views
Nimeipitia kwa haraka haraka ni kwamba waliofungua shauri (Juma na Mwipopo) walikuwa na hoja KUU 4 ambazo ni; 1. Mahakama iseme bodi ya wadhamini ya Yanga iliyopo madarakani kwa sasa ni batili...
7 Reactions
57 Replies
3K Views
Kuna Daktari mmoja wa Hospitali moja ( yenye Hadhi ) kasema kuna Timu Mchezaji wao mwenye Umri mdogo ni 43.
0 Reactions
19 Replies
1K Views
Naelewa kabisa michezo iko mingi kama darts, karats, nao, kukimbiza kuku nk ola kwenye kandanda Wachagga hawaonekani sijajua kwanini. Nimewahi kuwaona akina David Mwakalebela, akina Minziro...
4 Reactions
81 Replies
6K Views
Mwanasheria/ Jaji mzuri ni yule anae paswa kutazama sheria kama inavyo paswa kuwa na sio kama ilivyo andikwa. Lakini hii haipo kwa wanasheria wa Tanzania. Wengi hawana busara. Wanakariri...
1 Reactions
23 Replies
1K Views
Ndo maana ninamkubali Eng Hersi Said. Yaani kaona Usajili wa 5imba ni WA umakini, akaona watatusubua kidogo hatutawapiga magoli mengi. Nawatahadharisha tarehe 8 sio mbali, Mtapigwa 8. Na itakuwa...
10 Reactions
50 Replies
2K Views
Yanga inafanya mkutano na waandishi wa Habari muda huu, fuatilia hapa kitakachojiri https://www.youtube.com/live/EX22v01thd8?feature=shared Mkurugenzi wa Sheria wa Yanga Simon Patrick amekiri...
6 Reactions
117 Replies
6K Views
Huyu ajiita injinia aliyesomea DIT ,huyu sijui wakili msomi huyu CPA,yule sijui nani sijui ila jana wamelala na viatu. Mzee Magoma weka namba ya mpesa tuanze kukuchangia,Wewe ni generation Z wa...
9 Reactions
11 Replies
751 Views
Na nyie mliokuja PM kutaka niseme chochote tu kuihusu Yanga SC na kinachoendelea iwe mwanzo na mwisho sawa?
4 Reactions
24 Replies
959 Views
Natoa wito kwa jeshi la Polisi kuhakikisha kwamba, Wazee hawa wapenda haki walioshinda kesi ya kuikomboa Timu yao ya Yanga kwenye mdomo wa Mamba Wanalindwa Tumemsikia Mwanasheria wa Yanga...
2 Reactions
18 Replies
933 Views
Back
Top Bottom