Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Klabu ya Yanga imemtangaza Clatous Chama kuwa mchezaji wa wao leo Jumatatu Julai 1, 2024. Chama ametangazwa kuwa mchezaji mpya Jangwa baada ya kumaliza mkataba wake na klabu ya Simba, ambayo...
17 Reactions
176 Replies
6K Views
Habari nilizopata hivi punde. Klabu ya Simba imeanzisha mazungumzo rasmi na Azam FC ili kuinasa saini ya kiungo mshambuliaji Feisal Salum Fei Toto. Japo kuvunja mkataba wa Fei pale Azam kuna...
8 Reactions
32 Replies
3K Views
Simba haijafanya audited financial statements Toka uanze mchakato wa mabadiliko 2018. Ndo maana tunasema mchakato haujakamilika unakuaje na Bodi? Yani unajenga nyumba lakini mpangaji yuko ndani na...
9 Reactions
28 Replies
982 Views
Kabla ya kuisha mwa msimu wa 2022-2023 nilikuja na mkeka ulioelezea jinsi Simba inavyotakiwa kubadilisha kikosi chake kwa mtiririko fulani wa kuacha wachezaji ili ndani ya misimu 3 ijayo iwe na...
5 Reactions
14 Replies
741 Views
mke wa aliyekuwa kocha wa simba BENCHIKA, kocha la caf. amepona. 😂😂
5 Reactions
13 Replies
978 Views
Baada ya alfajiri ya Leo Yanga kumtambulisha mchezaji Bora na mkubwa sana clatus Chama. Sasa Yanga wamehaidi kumtambulisha mchezaji mkubwa. Tutabiri, je huyo mchezaji ni nani?
4 Reactions
47 Replies
2K Views
KELELE ZA MAJIRANI KUHUSU CHAMA KABLA YA USAJILI. Chama hana kasi Chama anapoozesha mipira Chama anaharibu "move" za wenzie Chama hapati namba Yanga SC Chama siyo mchezaji wa mechi kubwa Chama...
6 Reactions
10 Replies
480 Views
Nisikuchoshe..wewe ndie Mchezaji ushacheza sana unaona kabisa unaelekea ukingoni Yanga hawa apa na Yanga tena hii ya Hersi ambayo inashawishi kila kitu yani hii Yanga inashawishi Ndani na Nje ya...
5 Reactions
8 Replies
472 Views
kinachoendelea ni kama maksudi hivi kuiharibu timu ili tu kutegeana kiongozi flani apewe lawama ama tuone umuhimu wa kiongozi fulani kwa yeye kutofanya chochote ama kusadia kidogo sana kwa maksudi...
3 Reactions
15 Replies
653 Views
Hongereni ila mwambieni tu kuwa asiwe anasahau kutumia Dawa zake za VRA kwani yule Demu wake yuko Hoi sasa.
5 Reactions
27 Replies
969 Views
Moja Kwa moja kwenye mada, naungana na wazo la Huja, The Jf Expert member kwamba ni wakati wa Kutafakari kwamba inawezekana kambi ya Simba si salama Kwa Hujuma toka Jangwani. Hii hoja naona ina...
3 Reactions
20 Replies
742 Views
Mzee wangu yupo karibu sana na yanga, kitu watu awajui ni kwamba. First 11 ya yanga. wote wanaoffer mezani. so usishangae PACOME- Al ahly, Aziz - pirates, Bacca -AS Far, SA , max - SA , job -...
9 Reactions
17 Replies
1K Views
Habari Wapenda Soka. Nawashauri Watani Zangu Simba Sc Maana Naona Wamechanganyikiwa Na Mikiki Mikiki Ya Mashindano Yote. Wameanza Kuwasimamisha Wachezaji Wao, Na Hiyo Ni Dalili Kama Ambayo Mfa...
2 Reactions
29 Replies
2K Views
Manji alikuwa zaidi ya Mwekezaji, Zaidi ya Ndugu, Zaidi ya Mwanayanga Mbele ya Wanayanga Wenzake. (1) Manji aliwahi kuwalipia Viingilio Mashabiki wa Yanga Mechi ya Yanga na TP MAZEMBE, Mashabiki...
14 Reactions
19 Replies
856 Views
Eng. Hersi na timu yako nzima ya usajili, mjiadhari na kumsajili Chama kwasasa itakuwa ni kujirudisha nyuma badala ya kusonga mbele. Chama kwenye ubora wake ni mchezaji aliyekuwa anakupa vitu...
18 Reactions
29 Replies
2K Views
Udhamini wa manji yanga unaleta maswal mengi sana. Na maswal yanakuja zaidi kwa kuwa wote wamekataa kufikiri wamemwachia manji na akilimali tu. Manji yeye ni kila kitu. Kwa lolote analotaka...
6 Reactions
30 Replies
4K Views
Salaam Wakuu.. Nashangazwa na hizi kelele za midundiko na kukata viuno tunazopigiwa na wajuaji wa mitaa ya Twiga na Jangwani pale Kariakoo. Hawa wanashangilia leo kumsajili Chama, yule yule...
6 Reactions
26 Replies
1K Views
Kusema ukweli huyu mchezaji alikuwa ndio kipenzi cha wana Simba, yaani mwamba tulikupenda sana lakini ndio hivyo tena. Tulikupa ufalme wa soka la nchi hii, tukakuimba na kulitaja jina lako kila...
4 Reactions
23 Replies
760 Views
Hizi kelele za Thank You ni kama zimemponya Mangungu, vipi ndugu zangu tuwape muda au bado libeneke liko palepale? Ngoja kwanza nicheke kikatuni Teh teh teh teh teh teh teh! Huyu mchezaji huwa...
4 Reactions
27 Replies
2K Views
Kwa hii safu ya viungo washambuliaji tutaona mengi msimu ujao 2024/2025 Leo Yanga imemtambulisha kiungo mshambuliaji Clatous Chama akitokea Simba ambapo amemaliza mkataba wake Ujio wake ndani ya...
2 Reactions
2 Replies
484 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…