Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Wapo wachezaji wengi wakiwa timu pinzani wanashindwa kabisa kuonesha kiwango hususan wanapokutana nao. Unaweza hata ukadhani ni wachezaji wasio na kiwango kinachoimbwa. Hata hivyo utashangaa ndio...
5 Reactions
12 Replies
567 Views
Mimi kama shabiki ndakindaki lia lia wa yanga Yani tumekosa wachezaji wote tukasajili mzee chama aisee Tunamengi ya kujifunza kutoka kwa Simba UBUNTU BOTHO
5 Reactions
9 Replies
363 Views
Nilishawaonyeni sana hapa kuwa msipende sana Kubeti au kutoa Ahadi hasa kwa Masuala yahusuyo Simba na Yanga kwani upo Uwezekano mkubwa wa kuja Kuumbuka mbele ya Safari. Kuna dalili za 99% naziona...
3 Reactions
24 Replies
1K Views
Yawezekana 95% ya Vijana mnaoifuatilia na hata Kuishabikia Simba SC wengi wenu miaka yetu mlikuwa bado katika Zipu za Baba zenu wakitafakari wawalete duniani au waghairi tu. Nimeshangaa na...
1 Reactions
26 Replies
5K Views
Kama fundi hasa wa mpira sehemu ya Midfield Marehemu Hamis Tobius Gaga 'Gagarino' aliondoka Simba SC yetu na kwenda Yanga SC na wala sikuumia japo wana Simba SC wote tulimpenda ndiyo itakuwa leo...
2 Reactions
13 Replies
562 Views
Mchezaji wa zamani wa timu ya Taifa ya Zambia (Chipolopolo), Justin Shonga, amefariki dunia. Msemaji Msaidizi wa Polisi wa Zambia, Dan Mwale, amethibitisha kutokea kwa kifo hili Mwale alisema...
7 Reactions
13 Replies
922 Views
Wadau hamjamboni nyote? ... πŸ’° π—¦π—’π—žπ—” π—Ÿπ—œπ—‘π—”π—Ÿπ—œπ—£π—” Mercedes Benz G- Wagon 63 AMG (White) ndiyo ndinga mpya ya Aziz Ki. πŸ’° Zero kilometer inafika mpaka Tsh 500+ million. Used inacheza Tsh 400+ million...
12 Reactions
30 Replies
2K Views
kipre Jr ame improve sana game yake this season. yeye ndo alikuwa anafanya kazi yake na nusu ya Feisal salum pale Azam fc. which made Feisal shine. Game yake ingekuwa kitu muhimu sana kwa Azam...
4 Reactions
16 Replies
1K Views
Mzinze anamwaga maji tu Shekhan anatia vitu πŸ˜€ huyu dogo Mfaume aliyefunga goli la kwanza yuko vizuri sana. Engineer afikirie kumleta kikosi cha kwanza Mchezo upo Live TBC 1
4 Reactions
17 Replies
1K Views
Ni jambo la hatari sana ambalo viongozi wa Simba wamekuwa wakilifanya bila wao kulitambua nalo ni propaganda badala ya ukweli na uhalisia wa mpira wa miguu. Kwa Sasa hivi wanajinasibu kwamba...
4 Reactions
9 Replies
432 Views
Asante sana Poti wangu ( mwana Mkoa wa Mara Mwenzangu ) Crescentius Magori ambaye nakukubali kama ambavyo nilikuwa nikimkubali Mapama ( Marehemu Zacharia Hanspoppe ) kwani nimeambiwa kuwa sasa...
11 Reactions
43 Replies
2K Views
Muuza Madafu wa Ikulu, Barnabas Alexander, leo atapanda ulingoni kuzichapa na Fredy Sebastian kwenye hii Dar Boxing Derby. Hii ni exhibition fight lakini mabondia wote ni wapya kwenye ulingo mbali...
11 Reactions
48 Replies
2K Views
AMODU Siku chache baada ya kifo cha Stephen Keshi aliyewahi kuwa kocha wa timu ya taifa ya Nigeria, kocha mwingine wa timu hiyo maarufu kama Super Eagles, Shaibu Amodu naye amefariki dunia, leo...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Anasema licha ya changamoto ambazo Manji alipitia, lakini aliibeba klabu hiyo wakati wa uongozi wake na hadi anaondoka Yanga, pesa aliyoikopesha klabu hakuwa amelipwa. "Alitoa pesa nyingi na...
4 Reactions
18 Replies
3K Views
Jumamosi ni siku ya kwenda kula mbuzi Kibaha(Loliondo). Lakini kwa ugumu wa hela nikaona nisiende Kibaha nilipie kifurushi ili kumuona Muuza Madafu wa Ikulu akipambana ulingoni. Saa moja...
4 Reactions
14 Replies
762 Views
Baada ya Timu ya Azam kumalizana rasmi na aliyekuwa mchezaji wao Dube, taarifa ni kwamba Dube ameshatia saini kuvaa uzi wa Mabingwa Yanga katika kipindi cha misimu 2 kuanzia Msimu 2024/2025...
2 Reactions
31 Replies
1K Views
... [emoji1241] π—‘π—œπ— π—˜π—žπ—¨π—π—” 𝗦𝗔𝗕𝗔𝗕𝗨 𝗬𝗔 π—›π—˜π—₯π—¦π—œ "Kwa mara ya kwanza nimefanya charity nje ya Nchi yangu ya Morocco [emoji1173] na charity hiyo nimeifanya Tanzania kutokana na ushawishi wa Rais wa Young...
18 Reactions
59 Replies
2K Views
Wakuu Leo ni final ya Taifa Cup Basketball kati ya Mara wanawake na Unguja wanawake kama Kuna mtu anaangalia haya mashindano basi atupe matokeo kujua Jesca vipi anaendeleza ufalme au kakwama. Ni...
0 Reactions
3 Replies
222 Views
1. Khalid Aucho 2. Dickson Job 3. Ibrahim Baka 4. Djigui Diarra 5. Yao Kwasi 6. Aziz K 7. Pacome Zouzou Na sijui kwanini mpaka sasa bado hawajaachwa wakati Sisi wana Yanga SC wenyewe hatuwataki...
2 Reactions
26 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…