Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

  • Redirect
HABARI... MSAADA WENU TAFADHALI. Tarehe 13/02/2025 nilitoa fedha Kwa njia ya Tigo Pesa kutoka kwenye account yangu ya 1x bet na mpaka sasa pesa hiyo sijaipata. Mpaka sasa kilichopo ni ujumbe huu...
5 Reactions
Replies
Views
Eddie Anaclet (Oxford United) na Eric Odhiambo (Leicester City). Ni kaka wawili apparently. http://www.oufc.premiumtv.co.uk/page/ProfilesDetail/0,,10342~32477,00.html...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
  • Redirect
Azam FC imeondolewa kwenye CRDB Bank Federation Cup baada ya sare ya 1-1 dhidi ya Mbeya City na kwenye mikwaju ya penati Azam wametolewa kwa penati 2-4. Mbeya City inasonga mbele hatua ya 16 bora...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
FT Azam 1-1 Mbeya City Penati Azam 2-4 Mbeya City Baada ya penati ya mwisho ya Mbeya City, Azam walienda kumzonga refa wakitaka wamalizie penati yao. Refa akawaelewesha hata mkipiga hamuendi kokote.
4 Reactions
Replies
Views
Wakuu, huu ni mwaka wa ubaya ubwela. Pamoja na kwamba kuna vitu vinanitia wasiwasi kuhusu Simba hasa kwa performance ya hivi karibuni ila naamini huu ni mwaka wa mafanikio makubwa kwa Simba...
4 Reactions
22 Replies
598 Views
Mechi ya watani Simba Vs Yanga itapigwa saa 1:15 usiku kutokana na sababu za mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan. Mechi ikianza Saa 1:15 maana yake itaisha saa 3:00 usiku Vipi usalama kwa...
5 Reactions
10 Replies
356 Views
Coastal Union VS Simba SC | NBC Premier League | Sheikh Amri Abeid Arusha | March 1, 2025 Soma Pia: FT: Simba SC 2-2 Costal Union | NBC Premier League | KMC Complex | 4 Octoba, 2024...
10 Reactions
245 Replies
9K Views
Wana YANGA mpooo Wana YANGA tumeamuaaa kumpongeza na kumwombea Mungu ambariki MH RAISI MAMA SAMIA HASSAN SULUHU WA Tanzania Mungu azidi kumlinda na kumbariki ampe nguvu ktk kuongeza MAENDELEO ya...
0 Reactions
6 Replies
191 Views
Hizi ni hujuma na rushwa za waziwazi wameona mechi dhidi ya Yanga imekaribia ndo wameamua kuufungia Uwanja, cha Ajabu Mzunguko wa kwanza wote Tabora wamecheza pale mechi zao zote na huu mzunguko...
3 Reactions
55 Replies
2K Views
Hi ladies & Gentlemen, Welcome to Brazil National Football Team special thread. Tuendelee kupeana updates mbalimbali kuhusiana na Timu ya Taifa ya Brazil. Nime attach full squad itakayoenda...
3 Reactions
45 Replies
3K Views
  • Closed
Tangu nijiunge JF naona special thread za timu za ulaya tu: Manchester City Manchester United Arsenal Real Madrid Barcelona Lakini sijaona special thread za Simba SC,Young Africans,Azam,Kagera...
0 Reactions
16 Replies
205 Views
WACHEZAJI WA YANGA WAAHIDI KUMPASUA SIMBA MACHI 8. . Kiungo Mshambuliaji wa Klabu ya Yanga,Stephanie Aziz Ki amesema anatarajia kumpatia zawadi ya kusherehekea sikukuu ya kuzaliwa Mbunge ambaye...
3 Reactions
21 Replies
476 Views
Amani iwe kwenu wana MUNGU Leo nikiwa katika tafakari usiku wa manane Niliona watu wakiwa uwanjani kukiwa na washangiliaji wengi sana huku team mbili zikicheza moja ilikuwa na jezi nyekundu na...
4 Reactions
18 Replies
850 Views
Habarini za Jumapili, Leo hatuna mambo mengi, nakuja na kikosi ch Yanga ambacho kitaanza na mechi dhidi ya Simba makolo, kikosi hili kitaleta madhara Kwa watu wengi sana, kuanzia Kwa Uongozi wa...
6 Reactions
14 Replies
678 Views
Kuelekea mchezo wa Derby tarehe 8, kuanzia kesho nitakuwa naachia salamu mbalimbali kwa wahusika wafuatao: Tarehe 3 nitatoa salamu kwa uongozi wa Simba Tarehe 4 nitatoa salamu kwa benchi la...
3 Reactions
2 Replies
189 Views
Mechi itaisha kwa sare ya magoli.
0 Reactions
10 Replies
309 Views
Siku moja baada ya Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini TFF, kuufungia uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, Tabora, kutumika katika michezo ya Ligi Kuu Tanzania Bara kwa kukosa vigezo na kanuni za mpira wa...
0 Reactions
12 Replies
502 Views
Wakuu kuanzia msimu ujao Goalkeeper akikaa na mpira wakati wa mechi kwa sekunde 8 au zaidi ili kupoteza muda Timu pinzani itapewa kona(cornerkick) na refa wa mchezo husika. Mnaonaje sheria mpya...
9 Reactions
24 Replies
657 Views
1. Ally Salim kajitahidi leo pamoja na kukaa mbao ndefu muda mrefu bravo kwake beki zetu za kati marking mbovu back passes aaah kwa timu inayoshambulia kwa kasi kama yanga kazi itakuwepo 2...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
Yanga ni timu inayo 'enjoy' sana kucheza katika space. Ni timu inayofurahia sana aina ya soka la 'kutembeza ball'. Ile falsafa ya coach Ramović ya 'Gusa achia twende kwao' haikuanza kwake, bali...
13 Reactions
31 Replies
1K Views
Back
Top Bottom