Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Wachambuzi uchwara na mashabiki wa Simba walilamika ati Singida walipanga matokeo na wachambuzi wakaenda mbali ati TAKUKURU waingilie kati Jana wachambuzi wakaja juu eti Yanga wamefanya rotation...
2 Reactions
17 Replies
642 Views
Ujenzi wa Uwanja Mpya wasimama 2007-11-23 19:18:21 By Somoe Ng'itu Ujenzi wa Uwanja Mpya wa Taifa umesimama kufuatia wakandarasi wa uwanja huo, kampuni ya Beijing Construction kuidai...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwa Kipaji kikubwa alichonacho na kwa aina ya Vipaji vilivyopo hapa nchini Uganda Simba SC watafanikiwa nae mno. Steven Mukwala
2 Reactions
42 Replies
2K Views
Kuna kitu nimekiona msimu huu katika performance ya mchezaji mmoja mmoja wa Simba kimenifikirisha sana. Katika michezo miwili ya msimu huu ambayo naikumbuka mpaka sasa Simba wakivaa jezi nyeupe...
2 Reactions
12 Replies
460 Views
Wakuu tupeni update kwa mlio uwanjani.
1 Reactions
11 Replies
2K Views
The Special One anataka kurudi kwenda kuiokoa team yake "kipenzi" ya Chelsea. Soma hapa http://www.thesun.co.uk/sol/homepage/sport/football/4777341/Jose-Mourinho-wants-Chelsea-return.html
0 Reactions
23 Replies
3K Views
MegaPyne
Waziri wa Habari Utamaduni na Michezo, Muhammed Seif Khatib, ameelezea kuridhishwa kwa serikali na uongozi wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) chini ya Rais Leodgar Tenga. Akizungumza katika...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Derby ya Simba na Yanga ina tamaduni zake, wenzenu wanafukia mbuzi wazima wazima nyie mmekaa tu mnakula viyoyozi. Nyie kaieni tu mkikenua kenua meno humo maofosini, tarehe 8 mechi tunaitaka, kama...
1 Reactions
11 Replies
407 Views
Wachambuzi 𝐒𝐡𝐚𝐟𝐟𝐢 𝐃𝐚𝐮𝐝𝐚 & 𝐉𝐞𝐦𝐞𝐝𝐚𝐫 𝐒𝐚𝐢𝐝 mna maoni gani kuhusu timu ya Yanga kubadili kikosi na kuamua kuwaweka Job, Paccome, Aziz & Chama nje? Hakuna tuhuma za kupanga matokeo hapa? Je ni kweli GSM...
3 Reactions
8 Replies
349 Views
Hawa wawili ni full backs Bora kabisa kuwahi kutoka hapa Tanzania ( ila tukubaliane kazi na umri shehe ) Wametumika na makocha wengi kwa mda mrefu na Bado wanaendelea kutumika ( hili ndilo AMBALO...
2 Reactions
17 Replies
732 Views
Tangu nianze kufuatilia mpira mwaka 1993,mwaka ambao Azim Dewji aliahidi Simba ikishinda kombe la CAF angewapa gari aina ya KIA kwa kila mchezaji,na Simba ikafika fainali na kupigwa chuma mbili...
9 Reactions
35 Replies
1K Views
Eng Hersi amekuwa ambaye ndiyo Rais wa club ya Yanga na Mwenyekiti wa vilabu vyote Africa, amekuwa mahiri na kuonyesha uongoza thabiti na wenye weledi Akiwa Yanga amefanya mapinduzi makubwa na...
4 Reactions
18 Replies
688 Views
Na huu Mpira nautizama YouTube naona kabisa Pamba SC wako tayari hata Kufungwa Goli 10 ila Jamaa wanaona Aibu.
1 Reactions
4 Replies
262 Views
Ligi kuu ya Tanganyika inazidi kushika kasi huku miamba wawili wakitunishiana misuli kunyakua ubingwa wa NBC premier league. Hizi hapa mechi ambazo watazicheza away. Yanga vs 🦁 Namungo vs 🦁...
5 Reactions
35 Replies
2K Views
Hapo vip!! Nimefanya uchunguzi wangu wa muda mrefu dhidi ya timu ya Simba na Yanga,kwa namna wanavyopata ubingwa ila nikagundua haya. Kwa soka la Tanzania,club ikiwa na uongozi imara alafu timu...
3 Reactions
26 Replies
753 Views
Siamini kama Yanga itaukosa ubingwa msimu huu, kuna mambo wenzetu wanashirikiana na mamlaka za soka bila sisi kukemea ama kuhoji, kwa mfano mechi ijayo ni Yanga vs Tabora kule Tabora lakini leo...
3 Reactions
34 Replies
839 Views
Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu, hana thanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400, yale ni manunuzi ya...
34 Reactions
2K Replies
101K Views
Ni mimi wako UWESUTANZANIA ✍️ Nimeona serikali ikisema kubeti kuanzia ni miaka 18+. Sasa miaka 18+ niwazee hao na sisi vijana wa miaka 17- tunaitaka hii fursa ya mama samia ya kucheza...
1 Reactions
10 Replies
198 Views
Msimu uliopita mashabiki wa Simba walikuwa smart, waligundua tatizo la timu Yao kuwa ni viongozi Kwa kusajili magalasa akina Jobe, Onana, Saido, Sarr na Magalasa mengine Walishinikiza uongozi...
11 Reactions
30 Replies
767 Views
PAMBA JIJI FC🆚YOUNG AFRICANS SC 📅28.02.2025 | 🏟️CCM KIRUMBA | ⏱️4:15PM Karibu kwa update za mchezo wa Leo Kikosi kinachoanza dhidi ya Pamba Jiji Mpira umeanza Dakika ya 1 Mwamnyeto amefanya...
15 Reactions
221 Replies
9K Views
Back
Top Bottom