Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

luambano wa clouds fm jana usiku,kwenye kipindi chao cha michezo,kasema simba shida zote zinaletwa na mo,hivyo wanachama wameambiwa waamka wamtake mo ama atoe hela au awaachie timu yao
16 Reactions
90 Replies
4K Views
Yaani Mudahiri alilia alilia sana na kupiga chini kwa hasira we mzize unakosaje hapo. Basi bhana ngoja tufatilie barua yetu CAF
2 Reactions
21 Replies
867 Views
Kwa kweli kila nikivuta picha, naona tunaenda kukutana na gharika kuu, yaani naona tukipigwa goli kumi, zikipungua sana nane. Sasa ili kuepukana na hili gharika, kwa kweli tuweke mpira kwapani...
12 Reactions
29 Replies
2K Views
Kuna mtu anakumbuka first eleven....ya timu hizi... Mimi namkumbuka Madenge tu mzee meko wa bush stars na mtangazaji sukununu...
8 Reactions
143 Replies
79K Views
Kwa jinsi mambo yanavyokwenda inaonekana hao Pyramid hawana hata shida na Mayele kihivyo. Ni hivi za nyuma ya kapeti kutoka mitaa ya jangwani ni kwamba: 1. Mpaka sasa Pyramid bado hawajaingiza...
39 Reactions
111 Replies
14K Views
Eid fitriiii JF leo ndiyo timu ya wananchi inashuka dimbani kuyaondoa machungu ya dhulma hivyo Nawaambia Dodoma na simba wasishangae vipigo watakavyokutana navyo. NAWASILISHA
4 Reactions
15 Replies
697 Views
Ujio wa Kocha Benchikha katika Simba kipindi hiki unadhihirisha kuwa Simba ina jeuri ya pesa ya kumleta kocha au mchezaji yoyote inayemtaka kutoka ardhi hii ya Africa. Kama tumeweza kumleta kocha...
12 Reactions
39 Replies
3K Views
Mashujaa Vs Simba SC | Lake Tanganyika Stadium | CRDB Confederation Cup | Aprili 9, 2024 KIKOSI CHA SIMBA KIKOSI CHA MASHUJAA
3 Reactions
601 Replies
31K Views
Maoni ya wadau Timu yetu ni mbovu manake kama kimataifa tumetoka haya ndo makombe ya ndani yaliyobaki ,lakini cha ajabu wanacheza kama wametoka jando mpira hamjui mnafany sajir za kiwaki...
7 Reactions
92 Replies
2K Views
Pichani ni mchezaji wa Cape Town spurs akimchezea rafu mshambuliaji wa Mamelodi Sundowns Peter Shalulile nje ya box ambapo jambo lililostua wengi na kuzua taharuki ni kwamba mwamuzi wa mchezo huo...
10 Reactions
37 Replies
3K Views
Ndugu wana SSC, kama mnavyojua timu yetu pendwa imeshapoteana na mpaka sasa haijulikani mkwamo upo wapi. Kuna changamoto kuu 4 hazina majibu ! 1. Career development ya timu haipo, kama mnavoona...
10 Reactions
53 Replies
2K Views
🔰𝐍𝐄𝐗𝐓 𝐔𝐏🔰 🏆 #CRDBFederationCup ⚽️ Dodoma Jiji🆚Young Africans SC 📆 10.04.2024 🏟 Jamhuri, Dodoma 🕖 2:00 Usiku #TimuYaWananchi #DaimaMbeleNyumaMwiko Kikosi kinachoanza dhidi ya Dodoma Jiji FC...
15 Reactions
213 Replies
13K Views
TFf ilichuku.ie hili Wazawa tunakosa fursa ya kung'ara kimataifa. Tutapata wapi nafasi ya kuonekana kimataifa. Tunastahili kichezeshwa wengi...
2 Reactions
43 Replies
3K Views
Wakuu,kuna suala nimeliona kuanzia kwa mashabiki,wachambuzi na hata viongozi mbalimbali juu ya mechi ya Yanga vs Mamelods! Lawama nimeona zikienda kwa refa wa kati kwa kuacha kwenda kuangalia VAR...
1 Reactions
71 Replies
2K Views
Waliokuwa wanadharau kufika robo fainali wamefika robo fainali kwa bahati na wametolewa KIUTU UZIMA wanabaki kulalamika. Sasa ni wakati wa kulinganisha ni timu gani imefika mara nyingi robo...
5 Reactions
21 Replies
895 Views
Mpira ni kitu cha Duara hivyo unapotua chini ni sehemu ndogo tu ya mpira inagusa ardhi sehemu kubwa inakuwa hewani . Kwa maana nyingine ukiwa upande mmoja unaweza ona mpira umevuka lakini...
8 Reactions
89 Replies
4K Views
“Kocha Rulani Mokwena alinifuata na kuniambia wewe ni mchezaji mkubwa sana na una kila sifa. Una nguvu na una umiliki mzuri wa mpira miguuni mwako,akanishauri niongeze uharaka eneo la ushambuliaji...
12 Reactions
34 Replies
2K Views
Kabla ya mechi za leo sisi mashabiki wa simba tuliambiwa hapa jf tuchague upande either yanga anakufa Kigali au laah. Ili rusionekane vigeugeu mbeleni, tukachagua upande wa wasudan Leo baada wa...
17 Reactions
27 Replies
2K Views
Wakati wowote Simba itaanza kujifua kwenye uwanja wake ulioko Bunju nje kidogo ya jiji la Dar es salaam baada ya kukamilika kwa uwanja wa nyasi asili Kwa sasa matengenezo ya vyumba vya...
10 Reactions
97 Replies
15K Views
Pia penati zinasaidia kupunguza mdomo. Mara oh, ni siyo goli, tena oh, barua iliyotumwa CAF ni ujinga ujinga. Kwa kweli Mashujaa asante sana. Mashujaa munajua kufunga watu MIDOMOO!!! Sent from my...
9 Reactions
15 Replies
897 Views
Back
Top Bottom