Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Wanasema kila kitu hutokea kwasababu, tunasikitika Yanga kudhurumiwa goli lililo halali ila pamoja na hilo Yanga imeongeza idadi kubwa sana ya watu kuwazungumzia. Lile goli limeleta gumzo haswa...
0 Reactions
15 Replies
950 Views
Naomba anayeufahamu auweke hapa ili na mimi nielewe Natanguliza Shukranii .
2 Reactions
10 Replies
773 Views
Tukio la Jana yanga kuporwa ushindi kwa nguvu limefunika kbsa habri za Simba kupigwa tatu kavu. Yanga ndio imekuwa the top story kwa watu wote hakn mtu anongelea hbr za Simba ukiongeaa habr za...
25 Reactions
98 Replies
3K Views
Michuano ya CCL hawatumii Goal line technology ambayo ingemaliza huu utata CCL wanatumia VAR peke yake kusaidia kutoa maamuzi Angalia Goal line technology ilivyotumika kwenye hii video fupi hapo...
5 Reactions
95 Replies
4K Views
Kwanza nasikitika kuona hata wachambuzi wakubwa kabisa wana mislead watu kuwa eti lile la Aziz K ni goli, tatizo kubwa wa TZ ni kwamba tunaangalia vitu out of professional na mahaba na kubahatisha...
11 Reactions
106 Replies
4K Views
Endrick mchezaji wa palmers ya Brazil katika umri wa miaka 17 tayari ana mafanikio makubwa ya kimaisha huku akimiliki mtoto mkali wa kula naye maisha. Dah kweli maisha hayapo fear
9 Reactions
37 Replies
2K Views
Gumzo linaloendelea hapa South Africa kwenye mitandao ni kwamba Yanga ndio wameshinda mechi lakini Mamelodi ndio walionufaika. Nikiweka ushabiki wangu pembeni Mimi huwa napenda Sana kujifunza...
58 Reactions
202 Replies
14K Views
Kutokana na barua iliyoandikwa na Yanga juu ya malalamiko ya mpira uliopigwa na Stéphan kuwa na makosa mengi ya uandishi na claims ambazo hazikufanyiwa analysis za kutosha, kitu ambacho kimeenda...
3 Reactions
39 Replies
2K Views
Simba sc Timueni VIONGOZI hao wawili Try again na Mangungu ,bila hivyo mtaendelea kuharibu tu na hamtajenga timu. TUNAENDELE KUHARIBU TULIPOISHIA? Taarifa za Uhakika ni kwamba Simba inaenda...
2 Reactions
7 Replies
783 Views
Yanga hajawah kutolewa na Afika isiumie. Jana Yanga katolewa Robo kwa wizi wa wazi Afika nzima saiv inapiga kelele kua vijana wa jangwani walionewa. Pembe zote za Afrika saiv wanaisemea Yanga...
15 Reactions
26 Replies
2K Views
Goli limeingia, saa ya refa imelia kuashiria goli limeingia. Read anapokea maelekezo kutoka kwa watu wa v.a.r ( probably watu wa motsepe) Yani hata kwenda kuangalia tu var kimchongo amejistukia...
21 Reactions
108 Replies
7K Views
Kauli hii ya mwanaFA ikionwa na CAF itabidi serikali ije na taarifa nyingine tena ya kusema mwanaFA alikuwa anatania. Kwasabb mkiombwa uthibitisho wa madai yenu naamini hamtakuwa nao. Wataalamu...
9 Reactions
63 Replies
3K Views
PALE Yanga hakuna MASHETANI wala MAJINI. Pale Kuna akili kubwa inayojua sayansi ya mpira. Katika mpira wa miguu akili ikikutana na pesa huwa tafarani. Ndicho unachokiona REAL MADRID na MAN...
12 Reactions
28 Replies
1K Views
Binafsi nimependa hamasa iliyotolewa na rais wa heshima wa @simbasctanzania kwa kutoa ahadi ya milioni 500 iwapo timu itafanikiwa kutinga nusu fainali,lakini kama timu haitokuwa kwenye kiwango...
1 Reactions
29 Replies
1K Views
Heshima kwenu, Simba wenzangu Hawa watu wanaweza wakatupeleka nusu fainali ijayo kweli wakiwapa muda au waondoke? 1: saidoo 2:onana 3: jobe 4: fredy 5:mikson 6: taja mwingine
1 Reactions
32 Replies
1K Views
Salama mtasalimiwa na Refa. Japo lawama zote zinaenda kwa refa na jopo lake lkn mimi nadhan tunapaswa pia kuwalaumu wachezaji wa yanga.Tujiulize; 1. Kwanini hawakukusanyika kwa referee na kumtaka...
12 Reactions
53 Replies
2K Views
Mnalaumu eti refa kakataa goli la Yanga, mnaongea kwa uchungu na jazba huku mkitokwa mate na kamasi. Hamgusii chochote kuhusu kipindi cha penati. Katika kupigiana penati mlipata nafasi nzuri ya...
19 Reactions
120 Replies
4K Views
Back
Top Bottom