Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Ikatokea Simba na Mamelodi Sundowns wamepangwa group 1 au wanakutana robo fainali au vyovyote vile. Je, Yanga mtamshangilia nani?
0 Reactions
12 Replies
488 Views
Sina mengi ya kuandika zaidi ya hayo.
8 Reactions
97 Replies
2K Views
Kwenye ligi yetu iliwahi kutokea. Yanga MNAKUMBUKA??
8 Reactions
67 Replies
2K Views
Pamoja na yanga kufanyiwa mtimanyongo kwenye goli la Aziz Ki, Lazima tukubali kuwa timu zetu za Tanzania zina udhaifu mkubwa kwenye upigaji penati. Inafika hatua, tukifika kwenye mikwaju ya...
5 Reactions
24 Replies
902 Views
Wakuu kichwa Cha habari kinajieleza vizuri ,wote tumeona yaliyotokea ijumaa ambapo team zetu pendwa ziliondolewa katika cafcl Ukweli ni kwamba hakuna vibe zuri kama la cafcc na Cafcl Sasa...
1 Reactions
12 Replies
812 Views
Tuliosoma physics tunasema Lile sio goli, kutokana na principal za physics...kama mpira ungezama wote possibility ya mpira kurudi uwanjani bila kugusa nyavu ni 0%
4 Reactions
19 Replies
733 Views
Najaribu kuwaza hawa waamuzi wanao chezesha michuano iliyo chini ya CAF wana matatizo gani ? ni kwamba hawana uelewa, wanafanya makusudi au kuna sheria za mpira ambazo zipo Africa kwingine hazipo...
6 Reactions
99 Replies
5K Views
Hili ndio swali ninalijiuliza huku nikizingatia uwekezaji wa gharama kubwa unaofanywa na vilabu plus wachezaji kuvuja jasho halafu kunakuwa na sheria/kanuni inayompa mtu mmoja anaeitwa mwamuzi...
2 Reactions
19 Replies
922 Views
Yanga SC watakuwa wageni wa Mamelodi Sundowns Ijumaa kuanzia Saa 3:00 usiku Uwanja wa Loftus Versfeld Jijini Pretoria. Yanga inahitaji ushindi au sare ya mabao ili kwenda Nusu Fainali kufuatia...
2 Reactions
33 Replies
1K Views
Kila kundi limepeleka timu hatua ya nusu fainali klabu bingwa, kundi A limepeleka timu 2 (Tp mazembe na Mamelod) kundi C limepeleka timu 1 (Esperance) kundi D limepeleka (Aly Ahly) kwa maana iyo...
9 Reactions
34 Replies
2K Views
Leo hii Yanga imetuma malalamiko CAF kuhusu kukataliwa goli lao.
1 Reactions
19 Replies
1K Views
Kuna stori niliwahi kuambiwa na jamaa mmoja kuwa Bekham alikuwa anafanya mazoezi hata siku mbili mfululizo bila kupumzika akiwa nyumbani. Kipindi hicho nilikuwa mdogo nikamuamini ila sasa...
2 Reactions
78 Replies
4K Views
Yanga imeweka record mpya kwenye vitabu vya kumbu kumbu ndio timu pekee duniani iliyoshinda ndani ya dk 90 then ikatolewa kwenye matuta jumatatu nafikiri washabiki wote wa yanga watakua ofisi za...
6 Reactions
20 Replies
956 Views
Klabu ya Yanga imewasilisha malalamiko kwenda CAF kuhusu uwezekano wa makosa ya kiutawala na upangaji matokeo wakati wa mechi ya robo fainali dhidi ya Mamelodi Sundowns iliyochezwa tarehe 05...
4 Reactions
24 Replies
1K Views
Habari Wanamichezo Wote ni mashuhuda kwa sisi Wanamichezo tumemshuhudia Nabi katika kipindi chake namna alivyokuwa anaweza kuusoma mchezo na namna anavyoweza kubadilika uwanjani kwa kufanya super...
2 Reactions
21 Replies
1K Views
Kama umeangalia hii mechi hutakuwa na sababu za kuhoji kwa nini goli la Yanga lilikataliwa. Katika mechi hii ya ASEC VS AS du Tunis, mchezaji wa ASEC (POKU, km sijakosea) kapiga penaliti na mpira...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Tulishuhudia mechi wote, Yanga walikuwa wamezidiwa kila idara na Mamelodi Yanga walichofanya ni kupaki basi kubutua butua, kucheza rafu kwa dakika zote na kubahatisha shuti moja ambalo ndio...
6 Reactions
64 Replies
2K Views
YANGA mnachotaka kufanya ni Ushamba wa SOKA. Kama mmeshindwa kuifunga MAMELODI Uwanja wa Nyumbani kwa Mkapa mlidhani ni rahisi kuwafunga kwenye Uwanja wao? Kama kila timu ilipewa Penalti 5...
6 Reactions
31 Replies
953 Views
Kutokana na mayowe yanayozidi humu jukwaani juu ya goli la Aziz Ki jana kukataliwa kule bondeni aiweke ili ndugu zetu wapungeze kelele. Kunya anye kuku tu ikiwa bata kaharisha. Kagera Sugar nayo...
4 Reactions
28 Replies
1K Views
Sisi tupo nae hadi asubuhi, anajitahidi kufuta comment mamia kwa mamia kila dakika ila naona bado zinamiminika, jiandaeni kwa shift ya asubuhi, sisi tunae usiku kucha, hadi afunge hilo page lake...
9 Reactions
31 Replies
2K Views
Back
Top Bottom