Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Wanabodi heshima mbele. Kuanzia tarehe 15/12/2024 mpka tarehe 20/12/2024.Kulikuwa na MASHINDANO ya michezo ya VYUO VIKUU VYA AFRIKA MASHARIKI (13Th Eastern African Universities sport) yaliyo...
7 Reactions
27 Replies
2K Views
Tukishinda huu Mchezo jueni kwa 100% kwa Msimu huu Simba SC tunaenda kuwa Mabingwa kwani Mchezo dhidi ya Yanga SC tarehe 8 Mwezi ujao tuna 75% za Ushindi na 25% za kutoka nao Sare. Hivyo basi kwa...
12 Reactions
73 Replies
3K Views
Ligi inazidi kunoga, Kila mtu ashinde anavojua... Kamati ya Masaa 72 imefuta kadi nyekundu aliyopewa mchezaji wa Namungo, Derick Mukombozi, katika mchezo dhidi ya Simba SC. Uamuzi huu umefikiwa...
6 Reactions
102 Replies
3K Views
Simple; Bet hata kwa mara ya kwanza. Tafuta mechi ya Simba na Azam kwenye mikeka ya Betting. Mpe Simba Ushindi. Mpaka Sasa ana point 1.60. Hapo ukiweka laki una laki na sitini, ukiweka milioni...
14 Reactions
43 Replies
1K Views
Simba SC VS Azam FC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa | 24 Februari, 2025 | Saa 1:00 Usiku. Wafungaji wa magoli Simba > Elie Mpanzu dakika, 25 Abdulrazak Hamza dakika, 76...
12 Reactions
691 Replies
23K Views
Tuache lawama wana lunyasi... Kilichotokea jana ni tafsiri halisi ya ligi yenye ushindani... Si hivyo tu, matokeo ya jana yanaondoa uvumi kuwa Azam hucheza kwa low intensity ili kuifaidisha...
4 Reactions
22 Replies
551 Views
Huyu anafaa kuwa kocha wa viungo. Hana mbinu za maana uwanjani haswa timu ikielekea mechi ngumu na za kimataifa. Sioni akimaliza siku 30 kuanzia Leo pale Msimbazi.
6 Reactions
24 Replies
736 Views
Ahlan wa sahalan. Kwa hali aliyofikia beki wa kushoto wa Simba , tshabalala ni wazi kuwa haendani tena na falsafa ya mpira wa kasi wa Simba. Ikiwa simba inahitaji kufika mbali kimataifa basi...
3 Reactions
58 Replies
2K Views
Nawapongeza Simba wana project nzuri, wameamini damu na wanacheza vyema Coach Fadlu amekuwa coach Bora kabisa, amefanya rotation ya kikosi na kila mchezaji amempa nafasi Mashabiki waache kuipa...
3 Reactions
8 Replies
451 Views
Mashabiki wa yanga a.k.a gongowazi naomba muache kutushobokea,kutufuata fuata na kutupa pressure sisi bado tunajenga timu na timu yetu imefikia 60% bado 40% ili chama litimie tuanze kuwapiga watu...
0 Reactions
4 Replies
154 Views
Jana kwa namna nilivyouangalia mpira, timu yetu katikati ilikuwa inakatika sana, kama wangekuwepo wale sungura huku Pacome, kule Max, kule Aziz, cjui Mzize au Dube Leo wengine tusingeamka...
1 Reactions
11 Replies
781 Views
  • Redirect
Huyu kipa kila mpira anaojaribu kuucheza na mguu unatinga kwenye nyavu, kwani simba hakuna kocha wa magolikipa? Eneo la goal keeping simba makipa wanafanya makosa yanayojirudia yanayoigharimu...
0 Reactions
Replies
Views
Wakuu hii ndiyo Simba tunayoijua ....yaani hakuna penalty... hakuna offside goal...hakuna red card Kwa opponent then hakuna ushindi... Maana yake nini Maana yake bila hizi triple strategies...
2 Reactions
2 Replies
144 Views
Uyu kocha nae ni kituko tu kipo pale,,ameshindwa kuelewa kwamba Mpira kuisha ni mpaka kipyenga cha mwisho cha mwamuzi. Yeye badala ya kuhimiza wachezaji wake waongeze Umakini kwakuwa Mpira...
5 Reactions
19 Replies
757 Views
Kuanza kuisema sema timu yetu vibaya na kuanza kushambulia kocha kuwa alichelewa kufanya sub, kwamba Zimbwe ameshazeeka hana uwezo wa kumweka benchi Nouma, mara Ngoma alichoka na ilibidi Mavambo...
3 Reactions
50 Replies
1K Views
Kocha badala aelewe goli alilopata limetokana na foul ya Mchongo so awahimize wachezaji na awaite awakumbushe makosa wanayofanya au afanye Substitution ya Ateba na Mpanzu maana second half walikua...
11 Reactions
26 Replies
1K Views
Kalamu ya Leo 📝 | Simba SC Vs Azam FC MZIZIMA DERBY 🔥! Simba na Azam wametupa mechi bora sana ✅! Fadlu David's Vs Rachid Taoussi 🔥 4-2-3-1 ya Simba in Build-up leo muda mwingi walicheza na...
2 Reactions
2 Replies
387 Views
  • Redirect
Najua kutakuwa na penalty kutoka PANDE yoyote Ft yanga atashinda JUMLA ya magoli wakamaria mnaweza weka 3+/2+ Sijawaacha pia mnaweza weka magoli MENGI KIPINDI CHA pili Ina 2.50 odds mpaka sasa...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Wale mlionangoli la Simba tuangazie hapa hili GOLI kwangu n offside sijui nyie hukoo Huyu msaidizi nahisi alikuwa amekunywaaa smart gin kidogo maana Yuko karibu kabisa na akapeta Mshukuruni sana...
0 Reactions
Replies
Views
HII NA AIBU KWA MPIRA WA TANZANIA YAAN MPAKA WANANCHI NA WAANDISHI WA HABARI WAPIGE KELELE WAAMUZI WABOVU WANAPOKEA RUSHWA NDIO MNAWEKA REFA MWENYE KIWANGO CHA JUU KWANI ALIKUWA WAPI...
0 Reactions
0 Replies
126 Views
Back
Top Bottom