Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Tuzifahamu baadhi ya makampuni yanayomiliki timu zaidi ya moja duniani 1) The City Football club (CFG) Hawa jamaa wanamiliki timu 13 ambazo ni Man city ( Eng) New York City fc (USA) -Melbourne...
10 Reactions
58 Replies
2K Views
Kumbuka Bakhresa ambaye ni mmiliki wa azam ni mwanachama wa SIMBA na amewahi kuwa muweka hazina wa timu ya Simba kwahiyo sisi ni ndugu wa damu. Tunakutuma utakapokutana na Yanga mpige chuma 3...
3 Reactions
8 Replies
429 Views
  • Redirect
Halafu Wanafiki na Wapumbavu aliyekuwa Kocha Mkuu wa Yanga SC aliyeondoka hapa karibuni aliposema Ukweli mkamponda sana huku hadi mkitishia na kumtaka aombe Radhi. Sasa kwa huu Upuuzi wa GSM kwa...
1 Reactions
Replies
Views
Kosa kubwa la Ahmed Ally ni ubinafsi na kulinda kibarua chake kuliko kupigania ubora wa timu...anatumia nguvu nyingi sana kushindana na kina Ally Kamwe na na akina Hashim Ibwe ili aonekane kama...
3 Reactions
64 Replies
2K Views
Marefa wanabet, Wachezaji wanabet, Viongozi wa timu wanabet, mashabiki wanabet. Ligi inaelekea kukosa mvuto. Magoli yanafungwa marahisi, waamuzi wana makosa ya wazi, mabeki na makipa ni kama...
6 Reactions
22 Replies
1K Views
Mlichonfanyia mwenzenu sio powa, Nusu ya wachezaji hawajaonekana harusini Nilimuina Sheikh wa timu injinia na wachezaji kama kumi hivi Mbona wewo
1 Reactions
26 Replies
1K Views
Timu ya Pamba ni kama imesha jitambua hasa mzunguko huu wa pili na kuna dalili inaweza kuepuka kushuka daraja na watu wa Mwanza waliopambana kuipandisha wakabaki na furaha. Lakini sasa limebaki...
0 Reactions
9 Replies
415 Views
Namshukuru sana Mwenyezi Mungu kuwa NUJUMU / TABIRI zangu kwa 95% huwa zinaenda vyema na kwa za hivi karibuni Mbili za Simba SC na Singida Fountain Gate FC na Simba SC na Azam FC zimeenda vile...
10 Reactions
43 Replies
2K Views
Waziri wa Maji Jumaa Aweso amuumbua Rais wa Yanga SC, Eng. Hersi Said kwa kudai kuwa huwa anaenda kuroga mechi ya Watani wa Jadi (Simba na Yanga) ili washinde "Pangani ilikuwa kama Kisiwa, ili...
3 Reactions
27 Replies
1K Views
Wakamaria helà hiooo weka YANGA win n 3+ Pamba anapigwa Niko kwa wakala Kama nilivyosema ya Simba Na ta r 8 nshawapa ubuuuyuuu Mtu anapigwa na 3+. Hauhitaji HATA udi subiria matokeoo
3 Reactions
3 Replies
285 Views
Shirikisho la soka nchini Kenya[FKF] linatarajia kumtangaza Benni Mccathy kuwa kocha mkuu wa timu ya taifa ya Kenya (Harambee Stars) mapema wiki hii. Mccarthy alikuwa nyota wa zamani wa kimataifa...
5 Reactions
30 Replies
507 Views
Mimi ni Mwanachama hai wa Simba, Sijaridhishwa na Uteuzi wa Ramadhan Kailima kuwa Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba Kailima ni mtu asiyeaminika na amewahi kutumika mara kadhaa na ccm kwenye...
2 Reactions
20 Replies
639 Views
Leo imethibitika huko Pangani kwenye mkutano wa Rais kuwa Injinia anashindaga huko kusaka waganga kwenye mechi za Simba vs Yanga, yaan waganga hao kazi yao ni kufifisha nyota ya wachezaji wa Simba...
1 Reactions
7 Replies
379 Views
Leo imethibitika huko Pangani kwenye mkutano wa Rais kuwa Injinia anashindaga huko kusaka waganga kwenye mechi za Simba vs Yanga, yaan waganga hao kazi yao ni kufifisha nyota ya wachezaji wa Simba...
0 Reactions
9 Replies
340 Views
Jeshi la Polisi nchini Uganda linamshikilia Mtanzania Naima Omary kufuatia kifo cha Mchezaji soka wa Kimataifa wa Nigeria Abubakar Lawal (39) aliyekuwa anaichezea Vipers SC ya Uganda. Naima...
2 Reactions
27 Replies
3K Views
  • Redirect
Kuna hii habari kuwa jeshi la police Uganda limemkamata naima omary (mke wa SAMATA) Wajuvi njooni mjazie nyama katika hili
0 Reactions
Replies
Views
Sijui ni ukilaza ujinga au?? 2022 alifungiwa 2020 alifungiwa 2019 alifungiwa Tena kuna mechi kati ya Yanga na Azam aliwabeba Yanga akafungiwa Acheni ujinga
2 Reactions
30 Replies
748 Views
Kocha Erik ten Hag ametoa kauli ambayo inaonesha kuna uwezekano wa kutorejea kwenye mchezo wa Soka badala yake akaelekeza nguvu kwenye kazi zake binafsi. Akizungumza kwa mara ya kwanza tangu...
2 Reactions
2 Replies
257 Views
Simba imefanya usajili mzuri sana msimu huu na imepambana sana katika mashindano yote ambayo imeshiriki mpaka sasa. Mechi zote ambazo Simba imepoteza msimu huu au kutoka sare ni kwa sababu ya...
4 Reactions
44 Replies
2K Views
Wakuu hii ndiyo Simba tunayoijua ....yaani hakuna penalty... hakuna offside goal...hakuna red card Kwa opponent then hakuna ushindi... Maana yake nini Maana yake bila hizi triple strategies...
3 Reactions
12 Replies
329 Views
Back
Top Bottom