Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Habari ndogondogo zinasema wana Msimbazi wameonywa WACHEZE MPIRA wasitegeemee penalty Wala red card Leo Kelele zimekutwa nyingi sana Nasubiri kuona
1 Reactions
12 Replies
473 Views
Tunaanza na Barcelona, huku tukienda na timu zingine huko mbeleni..... Edgar Davis Samuel Etoo Ronaldinho Luis Figo Patrick kluivert Rivaldo Puyol
0 Reactions
2 Replies
130 Views
Leo nimeumia sana, tumenyimwa penati 3 clear kabisa wakuu kisa timu ya mdhamini inacheza. Maumivu ni makali sana, tungefunga penati zote tungewakanda 5-2. GSM na Azam hatuwataki. Mo acha...
1 Reactions
4 Replies
249 Views
Wadau hamjamboni nyote? Kichwa cha habari chahusika Naombeni utambuzi Huyo nani? Why yuko pekee?
5 Reactions
10 Replies
743 Views
  • Redirect
Nikiwa kama shabiki kindakindaki tena lialia wa mbumbumbu efusii, naomba Leo nikiri kwa maandishi yangu kwamba sisi Simba sipoti kilabu ni mchelemchele. Ndio !!, Namaanisha kuanzia benchi la...
0 Reactions
Replies
Views
Wakuu...nmelala mchana huu nimekurupuka Baada ya kuota ndoto hii ya kutisha japo ni nzuri Kwa maslahi ya football Nmeota simba kafungwa 2_ 0 na Azam huku wafungaji wakiwa ni feitoto na...
4 Reactions
40 Replies
810 Views
Japo Mimi ni mchambuzi na mwanasimba kindaki ndaki....ila hil jambo la penalty na Red card linaniuma sana Nini kifanyike 1. Simba watafute ukbi mkubwa ...pia ifungwe TV kubwa sana ......the...
9 Reactions
47 Replies
838 Views
Yanga mnaendeleaje. Nimeambiwa mna unbeaten 4 kasoro moja(unbeaten kasoro Ihefu)
25 Reactions
380 Replies
23K Views
Simba ana mechi ngumu zijazo Hizo mechi zote anaenda kudondosha alama 7 24 February Simba vs Azam Licha ya undugu wa damu alionao Simba na Azam. Naamini hii mechi Azam atamkazia Simba ili aweze...
11 Reactions
103 Replies
3K Views
  • Redirect
Umegundua nini kupitia haya matokeo
0 Reactions
Replies
Views
Mashabiki wa Simba Mashabiki Simba nawaita Tena Simba jiandaen kalieni kusema Yanga ananunua match ila mnajisahau kwenye hili. Muulizeni Mganga wenu hili kama analifanyia kazi? Nenden...
9 Reactions
18 Replies
537 Views
Geoff Leah mchambuzi wa EFM na ETV anamsagia Tshabalala muda huu kwenye namba ten. Anasema kwamba Zimbwe ni beki dhaifu katika ukuta wa mabeki wa Simba SC. Kuna ukweli wowote? Amerejea mechi ya...
9 Reactions
33 Replies
3K Views
Leo majira ya saa 10:15 jioni pale katika dimba la LAKE TANGANYIKA Kigoma, Mabingwa watetezi wa NBC PL, YOUNG AFRICAN SC watashuka dimbani kupepetana vikali dhidi ya wenyeji wao MASHUJAA FC...
9 Reactions
233 Replies
10K Views
#TANZIA: Shabiki wa Klabu ya Simba, Mjata Mjata, amefariki Dunia wakati akipatiwa matibabu mkoani Tanga. Mjata alikuwa mmoja wa wadau wa soka waliokuwa na mchango mkubwa katika kukuza mchezo wa...
4 Reactions
36 Replies
3K Views
Mipango inaenda vizuri
3 Reactions
23 Replies
849 Views
Kama Kamati ya Saa 72 Imesema Ile kadi Nyekundu Ilikuwa Batili Unadhani Mwamuzi Alikuwa na Maana Gani Kutoa Kadi Nyekundu [emoji3480] Maana makolo walibisha kuhusu kubwa na marefa
3 Reactions
46 Replies
1K Views
Hii soka inaelekea wapi? TFF imekiri wazi kuwa ile kadi nyekundu aliyopewa mchezaji wa Namungo haikuwa sahihi, lakini hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa dhidi ya maamuzi mabovu ya mwamuzi. Hivi...
1 Reactions
9 Replies
470 Views
Sio kwamba Yanga wanabebwa ama wanapendelewa na hao waliodhaminiwa na GSM hapana, huu ujanja tunaoweza kubaini ni wachache sana. Kuna siku Haji Manara alisema Yanga itabeba ubingwa mara 30...
3 Reactions
12 Replies
671 Views
Wakuu, Simba walichezea nafasi waliyopata na sasa wameanzisha propaganda kubwa sana Kila timu ikifungwa na yanga basi ni udhaminj wa GSM na urafiki wa GSM. Hizi ni hoja mfu sana. Wakati wa game...
4 Reactions
7 Replies
384 Views
Mnaotegemea maajabu kesho mnajisumbua tu.Azam ni tawi la 5imba.Kama umemsikiliza vizuri Ahmed Ally leo utanielewa vizuri. Mnaobeti kazi kwenu. Hamtafundishwa kila kitu.
1 Reactions
19 Replies
572 Views
Back
Top Bottom