Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

  • Redirect
Kwa wale wafuatiliaji wa Kipindi Cha Kipenga Extra na Kipenga kupitia EATV na EA Radio Leo kipindi kimekuja na habari mbaya. Shabiki wa Klabu ya Simba, Mjata Mjata, amefariki Dunia wakati...
1 Reactions
Replies
Views
Tunajua Mashujaa ni moja ya timu zenye udhamini wa GSM na tunajua yale yanayofanyika nyuma ya pazia kwa timu zote zinazodhaminiwa na GSM pale zinapocheza na Yanga. Hili halina ubishi maana...
16 Reactions
183 Replies
4K Views
Ukiiona yanga inacheza hata kama wewe sio mpenzi wa yanga na pengine labda bado unasumbulia na ule ushabiki maandazi lakini hata kimoyomoyo utakubali kua yanga ndio timu inayocheza kandanda la...
1 Reactions
13 Replies
372 Views
  • Redirect
Mchezaji wa Namungo kapewa red card kabla timu yake kufungwa (0-0), baada ya red card timu ikabaki na wachezaji pungufu na kufungwa magoli 3. Maana yake Kuna uhusiano kati ya red card na timu...
0 Reactions
Replies
Views
Jinsi Simba na Yanga zinavyoendeshwa kisiasa, hali ya uduni wa uchezaji na uhaba wa matokeo ya ushindi wanayokumbana nayo Manchester United na Manchester city, ingekuwa Kwa timu hizo za Kariakoo...
7 Reactions
16 Replies
365 Views
Manara ametusaidia toka akiwa bado Simba na baadaye walipomfukuza aliendelea kutusaidia. lakini naona kwa sasa mnamwona kama hana mchango kwa Yanga hapa ilipo. Nimeona hata kwenye harusi haji...
8 Reactions
64 Replies
2K Views
Kama kawaida kwa mechi zake timu hiyo kongwe imemalizana na Waamuzi wa mechi ya kesho. Waamuzi hao wameshalamba sehemu ya mlungula wao kuhakikisha timu inashinda ikiwemo kutoa penalti na kumtoa...
1 Reactions
13 Replies
463 Views
Baada ya kamati kuketi na kuthibitisha pasi na shaka kwamba maamuzi ya mwamuzi dhidi ya Namungo fc hayakuwa sahihi, hivyo kupelekea wao kucheza pungufu na kupoteza mchezo wao, Natarajia viongozi...
2 Reactions
34 Replies
469 Views
Magwiji, manguli na klabu kongwe zaidi afrika mashariki kwa kupanga matokeo Yanga a.k.a Gongowazi watakuwa uwanjani leo kucheza na tawi lao la mashujaa. Kuna dalili zote za upangaji wa matokeo...
3 Reactions
29 Replies
589 Views
Ninachojua Simba ina uwezo wa kumfunga Namungo bila makando kando yoyote. Yanga ni mafia sana na walimpa maelekezo mwamuzi aiharibu mechi maksudi ili kufuta malalamiko mengi ya timu yake kufanya...
-1 Reactions
12 Replies
363 Views
Ikifukie ya kwamba..... 1. Chama kafuta Picha zote za Yanga SC alizopiga 2. Chama kawabloku Waandamizi wa Yanga SC 3. Chama kazibakisha Picha zile tu alizopiga akiwa anachezea Simba SC 4...
3 Reactions
18 Replies
869 Views
🔰𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇𝐃𝐀𝐘🔰 🏆 #NBCPremierLeague ⚽️ Young Africans SC🆚Mashujaa FC 📆 19.12.2024 🏟 KMC Complex 🕖 10:00 Jioni #TimuYaWananchi #DaimaMbeleNyumaMwiko KIKOSI CHA YANGA KINACHOANZA LEO.
12 Reactions
312 Replies
14K Views
Ushindi wa Magoli 2-0 dhidi ya Manchester City umeifanya Liverpool kuongoza Ligi Kuu ya England "Premier League" kwa tofauti ya pointi 11 dhidi ya timu inayoshika nafasi ya pili (Arsenal) Matokeo...
1 Reactions
2 Replies
168 Views
LIGI KUU YA TANZANIA YAPOROMOKA VIWANGO AFRIKA Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) Limetoa Orodha viwango vya Ligi katika Nchi zote Barani Afrika Hii ni Baadhi tu ya Orodha ikionyesha Zile...
3 Reactions
94 Replies
2K Views
Ni mwamba Clatous Chota Chama kaingia kambani mara 2 dhidi ya Mashujaa! Tunaambiwa hana furaha kabisa pale Yanga ndio maana kafuta picha zote kwa mujibu wa watabiri kutoka ukoloni🤣🤣🤣 Na sisi...
4 Reactions
17 Replies
638 Views
Siku mbili kabla ya derby kulifanyika kikao kati ya Kayoko,afisa wa TFF na afisa toka GSM Bila kujua kulikuwa na mtu anawarekodi kwenye simu. Siku ya mechi kuna maamuzi ya utata yalitokea. Wazee...
10 Reactions
26 Replies
769 Views
CHAMA ANAFANYA USAFI HUKO INSTAGRAM Nyota wa Simba anayecheza Yanga kwa sababu ambazo hata yeye hazijui ameanza kufuta Picha zote alizowahi kupost akiwa na jezi ya Yanga, Kuanzia siku...
6 Reactions
24 Replies
1K Views
Bado nasema dube ni mshambuliaji mzuri pamoja na mapito anayopitia. Mpaka sasa sidhani kama Kuna namba 9 kwenye ligi nzima mwenye mchango wa magoli kwenye timu yake anayemzidi dube! Kama yupo...
3 Reactions
33 Replies
769 Views
Wakuu Leo ndio Leo kwangu ikitokea Manchester city kamfunga arsenal navuta milion 50 nakua new milionea in town maombi yenu aisee Wana JamiiForums wenzangu treni langu linaisha Leo lilikua mechi...
29 Reactions
286 Replies
11K Views
Back
Top Bottom