Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

ndo naambiwa kuwa huyu mchezaji ana asili ya Tanzania. Andendekyise Mwakikole na wanasema wazungu wakaamua kumuita Andy Cole. hayo nimeaambiwa leo nikiwa hapa Jangwani na wazee wangu wa Yanga...
2 Reactions
17 Replies
574 Views
Nina taarifa za uhakika kuwa ameshawaomba Radhi Waandamizi wa Simba SC na kuomba kurejea Simba SC 2025/2026.
3 Reactions
14 Replies
704 Views
Man U hivi sasa sio tena Mashetani bali ni vibonde wa EPL Goodison Park nyumbani kwa Everton tayari wamekalia chumba 2 na ni Half Time
0 Reactions
14 Replies
342 Views
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imebadili uwanja na muda wa kuanza kwa mchezo namba 167 wa Ligi Kuu ya NBC baina ya Simba na Azam ambao ulipangwa kufanyika kwenye Uwanja wa KMC Complex, Februari...
0 Reactions
15 Replies
643 Views
Hii ilikuwa Moja ya derby kubwa hapa Tanzania baada ya Ile ya Simba. Vs Yanga Ila Kwa Sasa ni kama mechi ya kawaida kabisa, watu hawana habari nayo Bado siku 1 hii derby ipigwe lakini hakuna...
0 Reactions
9 Replies
347 Views
Tabora siku zote wanazocheza na Simba uwa wanacheza kama ni timu ya daraja la 4, lakini wakikutana na timu nyingine huwa wanakuwa Tabora wenyewe Huwezi kusikia kelele za GSM anaharibu ligi na...
12 Reactions
56 Replies
2K Views
Yanga msiendelee kupoteza mda wenu kujibizana na wapuuzi kama wachambuzi ambao baadhi yao tunajua wako kwenye payroll ya Mhindi! Kilichotokea Leo pale Ruangwa Kila mtu kaona kwaiyo msicheke na...
8 Reactions
129 Replies
2K Views
Yanga hii? Aaaargh. Watu watalia sana. KMC leo anachapika vibaya si chini ya bao 2. Yaani kufungwa ni kama Pi. Haina ubishi. Yanga imekamilika kila idara na ndiyo team yenye washambuliaji hatari...
1 Reactions
31 Replies
713 Views
Hapa ndo ukisikia mtu mzima kusumbuka Sisi wanasimba tulihitaji kale katimu ka South Africa Sasa tumepewa mwarabu Kama Simba ataingia semi final atakutana na Zamalek au Stelleboch 🤣😅 Kimeumana...
11 Reactions
144 Replies
4K Views
Bila kung'atang'ata maneno naiomba TFF wamfungie huyu mwamuzi kwa kitendo cha kutoa kadi nyekundu isiyo ya halali dhidi ya mchezaji wa Namungo katika mchezo unaoendelea hapo uwanja wa Majaliwa ...
9 Reactions
83 Replies
2K Views
Jacob Masawe, Nahodha wa timu ya Namungo akihojiwa baada ya mchezo amesema alikwenda kumuuliza refa Smart "mchezaji wake" (Derick Mukombozi) kafanya kosa gani lililopelekea kupewa Kadi nyekundu ya...
3 Reactions
30 Replies
2K Views
Kwa hakika SIMBA ni timu kubwa sana afrika just imagine wakati tunajiandaa kucheza na almasry kwenye michuano ya CAF, yanga wanaenda kucheza ndondo cup na mashujaa kigoma. Ifike muda muache...
2 Reactions
6 Replies
252 Views
Baada ya kumwonesha kadi nyekundu mchezaji wa Namungo Derick Mukombozi,refa anaonekana akionesha ishara kuwa ameona kwa macho yake, Nahodha wa Namungo amenukuliwa amisema kuwa refa alimwambia kuwa...
2 Reactions
36 Replies
2K Views
TFF imemfungia mwamuzi msaidizi mechi ya Simba vs Namungo miaka 3 kutoka na kushindwa kuitafsiri sheria ya offside. === TFF WACHOMOA 'BETRI' KWA MWAMUZI ALIYECHEZESHA SIMBA VS NAMUNGO, AFUNGIWA...
1 Reactions
52 Replies
7K Views
Aliyekua Mwenyekiti wa chama cha soka Wilaya ya Dodoma Mjini Mwalimu Joseph Sehaba Amefariki Dunia. Mazishi Yatafanyika Kesho Katika Makaburi ya Chang'ombe Saa 10 Jioni.
1 Reactions
5 Replies
209 Views
Kuna mda unaweza kushangaa waziri au wabunge wa CCM sababu wote ni CCM wakawa wanaongea hizi club badala ya shida za watu tokea kupata uhuru. Hivi kuna nchi gani za ulaya zimekaa bungeni...
1 Reactions
4 Replies
225 Views
Katika fani ya magonjwa ya akili yapo magonjwa kama vile msongo wa mawazo (stresses) na sonona (depression) ambayo tiba yake kuu ni kutoa ya moyoni hadharani au kwa mtu unaemwamini. Tiba hii...
4 Reactions
26 Replies
821 Views
Nikiwa kama mwana Yanga SC Mwandamizi JamiiForums nzima nasubiria majibu ya Viongozi wa Yanga SC waliojazana hapa.
3 Reactions
20 Replies
855 Views
Huyo anakaba mpaka kivuli anamwaga maji kushoto anapanda na kushuka mapafu ya mbwa kross kama zote yani beki Mwamnyeto kazi ipo Utopolo🐸🐸🐸🐸 Mechi 9 goli 50 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 UBUNTU BOTHO
6 Reactions
23 Replies
1K Views
NBC Premier League leo Ijumaa Saa 8:00 mchana, Tanzania Prisons watakuwa dimba la nyumbani Sokoine wakiwakaribisha Tabora United.
3 Reactions
6 Replies
307 Views
Back
Top Bottom