Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Walioangalia KIPINDI CHA michezo channel ten yanasikitisha sana sanaa, Kocha mgunda kaulizwa umeonaje mechi, AKASEMA hajawahi kumsema Refa YOYOTE Toka aanze KUFUNDISHA akasema HATA kama anapiga...
0 Reactions
2 Replies
345 Views
Hiyo mipango ya hujuma Kwa Yanga haitafanikiwa Yanga ni kubwa mtafungwa tu Huyu mwamzi ndo alimaliza mechi ya Simba vs Coast union, Coast union walikuwa kwenye move ya kufunga goli la ushindi...
10 Reactions
92 Replies
2K Views
Jioni ya leo pale Mjini Doha nchini Qatar kutafanyika droo ya robo fainali kwa mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika pamoja na Kombe la Shirikisho Afrika. Kwa upande wa michuano ya Kombe la...
14 Reactions
209 Replies
8K Views
Sio jambo la kificho tena, kuwa timu kubwa hapa nchini zinapendelewa na waamuzi waziwazi.. Timu ndogo zinafahamu hili, Mashabiki tunajua hili, Wachezaji na makocha wanajua hili, Media zote...
0 Reactions
36 Replies
829 Views
Habari wakuu, Wale wapenzi wa mpira kuna wakati unatizama mechi za NBCPL unashangaa wachezaji wanashangilia goli, unajiuliza wamefunga saa ngapi na wwmefungaje fungaje! Unasubiri replay, napo...
10 Reactions
31 Replies
824 Views
Siku ya kutangaza makundi ya mashindano ya CAF Yanga walishangilia Sana. Kilichowafanya washangilie ni nini? Waliona timu walizopangwa nazo ni vibonde au vipi? Angalia jinsi Yanga...
7 Reactions
30 Replies
1K Views
Shirikisho la soka Afrika (CAF) linapanga kufanya marekebisho makubwa ya mashindano yake hasa Ligi ya Mabingwa Afrika na kombe la Shirikisho la CAF. Shirikisho la soka barani humo limekuwa...
6 Reactions
16 Replies
848 Views
Wakuu poleni na majukumu huyu mwamba NAZARETH UPETE ndio Mtangazaji bora wa mpira wa Mguu kwasasa hapa nchini akifuatiwa na Gharibu Mzinga
2 Reactions
31 Replies
3K Views
Msemaji wa Simba SC Haji Manara binafsi nakuheshimu mno na nisiwe pia Mchoyo wa Kukusifia na Kukupongeza kuwa ndani ya Klabu ya Simba nawe umeweka Alama yako ya Mchango wako mkubwa wa Kuitangaza...
12 Reactions
91 Replies
11K Views
Tunahitaji waamuzi wakali wasimamie sharia zote za soka bila kuangalia mtu usoni. Wachezaji wanapaswa kujua soka ni uwekezaji mkubwa na lazima wawe na nidhamu na soka.Wafanye bidii kwenye...
1 Reactions
7 Replies
404 Views
Hatuchoki. HATUUVUMILII. Naonaa upuuzi unaendelea mechi za Simba. Nashauri TFF refa mnaemweka siku hiyo mjipange kweli. UPUUZI WA kupeana penalty za ajabu YANGA hatuubebi. Ujinga wa redkad za...
4 Reactions
25 Replies
2K Views
Mjadala nimeusikia haswa amri kiemba akikazania kauli kuwa hata marudio ya camera za azam haikuona kitendo alichofanya mchezaji kupewa red card ...swali je hizi camera hazikuliona tukio hilo la...
4 Reactions
7 Replies
548 Views
Katika mwendelezo wa Ligi Kuu ya NBC, Mabingwa watetezi wa kombe la Muungano Simba SC watashuka dimbani kumenyana vikali kuzisaka alama tatu ugenini dhidi ya Namungo FC mjini Luangwa Lindi majira...
9 Reactions
527 Replies
16K Views
Ilikuwa inaitwa Vodacom LGE enzi hizo kama haujazaliwa google Mechi n Azam vs YANGA REfa Israel MKONGO alionyesha wazi kuipendelea Azam fc Kijana wangu Stephen mwasika akiwa katika ya wachezaji...
1 Reactions
7 Replies
464 Views
Kwa kuwa watanzania wengi siyo watazamaji wa michezo ya basketball na football (american football siyo soccer), style ya ushangiliaji ya Janshalewa ni kama imekuwa ngeni kwa watazamaji wengi na...
1 Reactions
13 Replies
605 Views
Katika hatua ya robo fainali ya mashindano ya CAF Shirikisho, Simba enaenda kukutana na timu mojawapo kati ya hizi tatu, Stellenbosch ya Afrika Kusini, ASEC Mimosas ya Ivory Coast na Al Masry ya...
10 Reactions
13 Replies
2K Views
Kila kitu vimewekwa sawa, waamuzi, makocha wa timu pinzani na baadhi ya wachezaji wa timu pinzani wameshawekwa sawa kazi yetu leo ni ushindi mnono huyo Utopolo atajuta. Kadi Nyekundu itatolewa...
1 Reactions
13 Replies
354 Views
MUHIMU Unaweza kuidhamini timu lakini bado ikawa upande wa adui yako !! Kuna muda tawi linaweza kukazi upande wao, si kila mechi ni mtelezo SIMBA Azam (Timu nyingi zinakuja na kupotea ila azam...
0 Reactions
20 Replies
625 Views
Klabu ya Yanga imempatia kiungo wao mshambuliaji, Stephane Aziz Ki na mkewe wake, Hamisa Mobetto Sh50 milioni kama zawadi katika sherehe yao. Hilo limebainishwa na Mtendaji Mkuu wa Yanga, Andre...
2 Reactions
6 Replies
290 Views
Katika wachambuzi ambao nilikuwa nao bega kwa bega ni TOM CRUZ, Huyu jamaa alikuwa yupo vyema sana kwenye habari mpya za kimichezo na burudani. Ila jamaa yupo kimya sana ., 5sep ndio ilikuwa post...
1 Reactions
1 Replies
284 Views
Back
Top Bottom