Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Mamelodi Sundowns line up TP mazembe line up Full time. Mamelodi Sundowns 1-0 TP Mazembe. Shalulile 37'⚽ pen ______________________
5 Reactions
167 Replies
4K Views
Mamelodi sundowns Vs TP Mazembe ⏰ 10 kamili jioni 🏟 Lucas Moripe Stadium 📺 Azam sports 2HD Kikosi cha mamelodi sundowns Kikosi cha tp mazembe Mpira umeanza Dakika ya 5 0-0 Dakika ya 15 0-0...
1 Reactions
5 Replies
819 Views
Kwa Mechi zangu Tatu tu nilizotulia na Kumtizama Kiufundi Guede nimelazimika kuuweka pembeni Usimba wangu na Kubakia Mwanamichezo na Mchambuzi kwa kusema kuwa hakika Yanga SC wamepata Mshambuliaji...
14 Reactions
28 Replies
2K Views
Mwandishi wa huu Uzi Tukuka GENTAMYCINE ni mwana Yanga SC lia lia hata Wenzake akina Dada Nifah, Bishoo adriz, Rafiki yangu Bila bila na Popoma Takatifu Tate Mkuu wanajua hilo hadi na wana...
8 Reactions
30 Replies
2K Views
Ukinibishia hili kuhusu Kipa wa Yanga SC na Goli alilofungwa ( japo Kayaokoa mengi ) jua Wewe una lako Jambo na hujui Mpira na hata pengine haujawahi Kuucheza na huwezi Kuuchambua Kiufundi vile...
11 Reactions
26 Replies
2K Views
Sintofahamu ya Mo dewji kuibuka na kusema kuwa Simba sc ni timu aliyoinunua kwa gharama kubwa hili limewashitua baadhi ya mashabiki Ila hawakutaka kuongea chochote wanasubiri matokeo Kati ya...
5 Reactions
12 Replies
967 Views
Uongozi wa AL Ahly SC umewakaribisha Young Africans SC katika makao yao makuu na imeamriwa watafanya ushirikiano katika kukuza uwekezaji Eng Hersi amesisitiza mbele ya uongozi wa al ahly kuwa...
10 Reactions
19 Replies
1K Views
Mabondia wengi wa Jeshini hawana uwezo ila wanabebwa tu , Kidunda hawezi kumpiga Katompa hata wakirudia game mara 10 . Hii ndio maana Tanzania haifanyi lolote kwenye michuano ya Olympic au...
19 Reactions
52 Replies
6K Views
Hili jambo linapaswa kufanyiwa kazi na Viongozi wa Masumbwi Tanzania . Zipo tuhuma kwamba mabondia wa Tanzania hawana uwezo , na huwa wanabebwa na waamuzi wa ndani kwa kuwapora ushindi mabondia...
7 Reactions
19 Replies
2K Views
Kama kweli ulisoma vyema Somo la Hisabati Shuleni Kwako na ukiwa ni Mtafiti na Mchambuzi wa Masuala Mtambuka, Mdadisi kama GENTAMYCINE ukiangalia tu kwa sasa Msimamo ulivyo wa Kundi D la CAFCL...
6 Reactions
40 Replies
3K Views
Naomba nitoe salam kwa member wenzangu wa JF. Kwa mara nyingine, leo nawaletea historia ya mwanamasumbwi bora wa kike wa muda wote, na wa uzito wote (The GOAT) Laila Ali au unaweza kumwita 'She...
6 Reactions
75 Replies
3K Views
Al Ahly ( Egpyt ) 1 Yanga SC ( Tanzania ) 6 na Goli 5 atafunga Guede na 1 atafunga Pacome.
8 Reactions
23 Replies
2K Views
Wakuu watanzania wengi pamoja na unafiki wao wakuiponda yanga bila facts, kwa sasa Yanga imewafunga midomo na watu wengi wakifikilia kuiandikia upupu wakikumbuka walijalibu kuiansikia upupu...
5 Reactions
22 Replies
786 Views
Kuna mashabiki wamevunjika moyo baada ya kusikia kuwa timu ilinunulia muda mrefu na Mo Dewji. Ushauri wangu kwa Yanga watumie muda huu kusajili mashabiki waliochukizwa na ukweli uliofichwa kwa...
3 Reactions
24 Replies
1K Views
#MICHEZO Rais wa klabu ya Yanga SC akiwa katika mahojiano na Televisheni ya Al Ahly amesema "binafsi naamini fainali ya CAF Champions League msimu huu ni baina ya Al Ahly dhidi ya Mamelodi...
7 Reactions
86 Replies
4K Views
Gareth Bale, mchezaji wa soka kutoka Wales, mara nyingi huonekana kuwa ni moja ya hazina kubwa katika ulimwengu wa kandanda, haswa kutokana na ustadi wake wa kipekee, uimara, na uchezaji thabiti...
0 Reactions
3 Replies
555 Views
Habari za uhakika nilizopata ni kwamba Mayele ameshamalizana na Azam FC na atatua Chamazi kukiwasha. Zile kelele kuhusu Yanga alikuwa anawaandaa kisaikolojia mashabiki wa yanga ambao wanaenda...
7 Reactions
21 Replies
2K Views
Jamani wataalamu wa history a.k.a takwimu za zamani hasa hasa wana simba wazee wa compare and contrast naombeni points nikajibie mtihani mimi mdogo wenu wa form one C swali linasema "compare and...
0 Reactions
3 Replies
360 Views
Tarehe kama Ya Leo Timu ya Young iliichapa Al Ahly Goli 1-0 Kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa, ilikuwa 2014, miaka 10 iliyopita, Je leo historia itajirudia?
4 Reactions
10 Replies
473 Views
Kwa historia za vilabu vya Simba na Yanga, ni rahisi sana kuchukua mchezaji kutoa pembe yoyote ya Tanzania na atakuwa anajua moja kwa moja uzito wa nafasi aliyopewa. Hii ni tofauti kwa wachezaji...
0 Reactions
0 Replies
329 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…