Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

yambo wakuu! Kila nikiifanyia tathmini klabu ya soka ya simba sc, maarufu kama mbumbumbu efusii au mwakarobo kama wanavyopenda waitwe na wapenzi wa futibolu nchini naona vihoja na vichekesho...
19 Reactions
37 Replies
2K Views
Jackline Juma Sakilu AVUNJA Rekodi ya Taifa kwa sekunde 33, kwenye Mbio Ndefu za Kilomita 21, Kwa kushika nafasi ya Tatu Kwa Muda wa 1:06:04 (Half Marathon) Tarehe 24/02/2024 , Rekodi ya Taifa...
2 Reactions
3 Replies
515 Views
Mbali na simu nini hicho kingine ameshika?
2 Reactions
28 Replies
2K Views
-Nimeona hii post kwenye mitandao ya kijamii ikionesha klabu ya Simba SC kwenye club ranking ya CAF kwa msimu wa 2024/25 ipo nafasi ya 5 na pointi 39, Yanga ipo nafasi ya 12 na pointi 31, CR...
10 Reactions
18 Replies
5K Views
SWALI: Wameibuka watu wanasema mafanikio ya Yanga wapongezwe watu wengine ambao sio Yanga. MAJIBU KAMWE: “Kwa kifupi kabisa Wahenga walisema Mjinga mpe cheo alafu wewe endelea na yako, Sisi...
1 Reactions
2 Replies
822 Views
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri. Wakuu nina swali kwa mwenye ufahamu atusaidie wana jukwaa. Tff wanatumia vigezo gani kugundua kwamba kitendo flani kilichofanyika ni cha kishirikina na kutoa...
3 Reactions
18 Replies
747 Views
Habari wanajamvi, hili swala limekuwa likinifikirsha kwa muda sasa. Imekuwaje katika kupanga makundi ya ligi ya klabu bingwa Afrika(CAFCL), timu mbili za kutoka Tunisia kupangwa kundi moja? Katika...
4 Reactions
5 Replies
1K Views
Mlichotufanyia kwa Rafiki zenu wa Unafiki wale wa Mbagala hasa Kiushirikina) na Kimafia (Mchezo Mchafu) ndiyo nasi leo tumekifanya / tumelipiza hivyo hivyo. Hamtoamini kwa Kitakachowatokea.
10 Reactions
118 Replies
6K Views
NDANI YA SIKU NANE YANGA WAMECHEZA MECHI TATU NA KUSHINDA YOTE KWA KUPATA JUMLA YA MAGOLI 12 KMC 0-3 YANGA YANGA 5-0 POLIS Tz YANGA 4-0 BELOUZDAD NDANI YA SIKU NANE SIMBA WAMECHEZA MICHEZO...
8 Reactions
19 Replies
1K Views
Twende kimahesabu tuache uchale, Yanga ana points 2, amebakisha mechi 2 za nyumbani, mwarabu na Medeama na anamalizia kwa Al Ahly.Anaweza kumfunga Medeama na mwarabu hapa nyumbani lakini kule...
19 Reactions
134 Replies
9K Views
Katika mchezo wa Simba sc vs Al ahly siku tatu kabla Kuna kikosi kinachojiita Makomandoo wa Simba sc kilikwenda kuweka kambi kwa dhumuni la kulinda uwanja wa Mkapa. Juhudi ziligonga mwamba baada...
8 Reactions
15 Replies
1K Views
Mwanariadha wa Kimataifa na mwenye rekodi ya Taifa kwa mbio ndefu, kutoka Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) Magdalena Crispine Shauri anatarajia kushiriki na kushindana kwenye mbio za TOKYO...
1 Reactions
2 Replies
564 Views
Nasikiliza hapa wapi yaani ni kujitafuta tu kila mahali. Sasa Yanga sa ameingia fainali last year CAF CONFEDERATION CUP je simba kafika? Yanga kaingia robo kwa kishindo kikubwa je Simba...
4 Reactions
17 Replies
935 Views
YANGA VINARA WA UFUNGAJI WA CAFCL HADI SASA !. Klabu ya Yanga ndio timu inayoongoza kwa kufunga magoli mengi hadi sasa hatua ya Makundi CAFCL . Ikiwa ni mara yao ya kwanza tangia mashindano haya...
16 Reactions
57 Replies
4K Views
Kwa kikosi Bora Cha africa yanga imeingiza wachezaji watatu Kwa east Africa nzima Musonda Aziz ki Yao Swali: kwani Simba inashiriki CAF champions league.....mbna Haina mchezaji hata mmoja...
12 Reactions
53 Replies
4K Views
Tunaposherekea ushindi wa Yanga jana kuingia robo fainali ya club bingwa,tusiache mbachao kwa msala upitao,Simba alichonga njia kwa machozi na damu kutuonesha ya kwamba inawezekana kushindana na...
5 Reactions
56 Replies
2K Views
Ronaldo is set to face possible investigation after an on pitch 'obscene gesture' he made towards fans who chanted Lionel Messi's name towards him. The gesture came after Al Nassr's 3-2 victory...
3 Reactions
12 Replies
844 Views
Wahadhiri wa Chuo Kikuu wanasema pressure creates diamonds yani msukumo huzalisha Almas na Wakufunzi kutoka Chuo Kikuu cha Ghetto wanasema Heavy is the head that wears the crown, yaani kichwa...
10 Reactions
7 Replies
814 Views
Wanasimba nIjibuni hili swali unaenda na nani kama wote wakiwa bora yaani yule Okwi wa moto na Miqussone wa moto.
0 Reactions
5 Replies
455 Views
Nimejaribu kuangalia ratiba ya mechi ya Yanga dhidi ya Belouizdad, nimeshangaa kuona mechi inapigwa saa moja usiku. Hivi kweli mnataka kushinda mechi halafu mnawawekea mazingira rafiki mpinzani...
6 Reactions
81 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…