Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Majira ya Saa 5:00 Usiku kutapigwa mchezo wa Fainali ya AFCON 2024 ambapo Nigeria atawavaa wenyeji Ivory Coast. Ni mchezo unaovuta hisia za wengi hasa kutokana na viwango vya timu zote mbili...
3 Reactions
21 Replies
3K Views
Naangalia hapa mchezo wa Dodoma jiji FC vs Mashujaa huu muonekano wa picha zao ni tatizo sana. Hata game nyingi za mikoani wameshindwa kabisa kuwa na coverage nzuri. Wao kama wadhamini sio...
2 Reactions
22 Replies
1K Views
Nikiwa kama mwanachama halali wa yanga na shabiki mwenye mapenzi ya kweli na timu yangu, naomba niseme wazi bila kupepesa macho kwamba mchezaji wetu bakari nondo mwamnyeto ameshuka sana kiwango...
12 Reactions
44 Replies
2K Views
Kwa wanaoangalia mechi ya Tabora utd vs Namungo watakubaliana na mimi. Hii mechi ni kama inachezwa kwenye jaruba la mpunga. Mbaya zaidi mashabiki wa timu mwenyeji hamna. Sasa si bora ligi...
2 Reactions
7 Replies
488 Views
Ni mchezaji asiyetumia akili uwanjani haangalii hatari inayokuja nyuma, hakawii kukata tamaaa,ni mchezaji anaefanya makosa kuliko mwingine yoyote,tena makosa yasiyo na kichwa wala mguu
3 Reactions
12 Replies
735 Views
Mohamed Hussein alimlaza na viatu, leo tena kamasi limemtoka. Pale Yanga anamuweka nani bench? Kwa mwezi anakinga dola 100,000 kibindoni.
4 Reactions
49 Replies
3K Views
Salam wanaspoti. Jana ilitakiwa iwe fainali ya AFCON 2024 na leo ilikuwa ni sherehe tu ya kushangilia kombe lakini sasa kutokana na kuhangaika na nafasi ya tatu fainali inabidi ichezwe leo. Timu...
2 Reactions
9 Replies
702 Views
Nauliza watangazaji wa Azamtv kwenye Ligi kuu ya Tanzania Bara , ina maana wachezaji nje ya Simba na Yanga awawezi kupambwa kwa wanachokifanya wakiwa wanashambulia hizo timu mbili kama wao wakiwa...
1 Reactions
3 Replies
432 Views
Uwezo wa kufunga wa Kibabage japo kua anacheza nafasi ya ulinzi nimkubwa hata kupita uwezo wa washambuliaji wengi katika ligi yetu
0 Reactions
10 Replies
850 Views
Ni Mpumbavu tu pekee Tanzania nzima ndiyo mpaka leo hajui kuwa Mkoa wa Mwanza 80% ni Ngome Kuu na Tukuka ya Wananchi na hatujawahi kuwa na rekodi nzuri na ya uhakika tukicheza CCM Kirumba tokea...
4 Reactions
25 Replies
2K Views
Nyie mlioandamana pale kirumba kumzonga Kayoko kwa madai ya kutoamua vyema mchezo hivi mnaelewa hata maana ya Offside kweli nyie wapiga kelele wa kwa Mparange hamkuona kibu alivyokuwa Offside...
9 Reactions
25 Replies
2K Views
Asec wameshafuzu hatua ya robo final wameomba mechi yao vs Simba ipigwe kwa mkapa, kwanza wanaamini watapata mapato kwa sababu Simba nao wanategemea gemu hiyo kufuzu, ewe mola naomba maombi yao...
6 Reactions
30 Replies
3K Views
Leo mtoto mpendwa wa TFF alikuwa anacheza kiporo chake alichosogezewa mara kwa mara na baba yao mlezi TFF, Simba walikuwa na mazingira mazuri zaidi ya kushinda kuliko Azam. Na sababu kuu ya Simba...
3 Reactions
13 Replies
851 Views
Bado Kuna Changamoto kubwa sana katika kikosi Cha Simba sc. Kinachoendelea ndani ya kikosi ni uhuni wa wazi wazi, wachezaji wapya waliokuja hawana tofauti na wale waliotolewa(achwa) ndani ya...
10 Reactions
50 Replies
3K Views
Aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Yanga SC, Imani Madega amefariki dunia leo nyumbani kwake Chalinze, Mkoa wa Pwani. Madega anatarajiwa kuzikwa kesho Chalinze nyumbani kwake. Kiongozi huyo atakumbukwa...
8 Reactions
62 Replies
6K Views
Katika Kampuni yangu ya usafirishaji nilikuwa na Mfanyakazi muhimu lakini shabiki wa Yanga. Kazini alikuwa anatimiza majukumu yake vizuri sana. Tatizo lilianza pale nilipoanza kujua kuwa...
31 Reactions
73 Replies
4K Views
Imani Maugila Madega, “mate” wangu Chuo Kikuu, wakati huo akisoma Sheria na Mimi Biashara lakini mapenzi ya mpira wa miguu hasa Simba na Yanga yakatuweka karibu. Tulikuwa tunakacha vipindi...
3 Reactions
0 Replies
541 Views
Timu ya taifa ya Afrika Kusini maarufu kama Bafana Bafana wameshika nafasi ya tatu baada ya kuifunga DR Congo kwa mikwaju ya penati 6-5 baada ya droo 0-0 ndani ya dakika 90. Golikipa Ronwen...
0 Reactions
4 Replies
620 Views
Ukiacha wimbo wangu wa Taifa (Tanzania), wimbo wa DRC umetulia sana. Je wewe kwako upi ni wimbo bora wa taifa kwenye AFCON 2024?
0 Reactions
0 Replies
597 Views
Tatizo lenu baadhi yenu mkanichukulia poa sana hapa JamiiForums ila baadae huwa mnakuja Kunipigia Salute. Hapa hapa JamiiForums mwaka Jana ( 2023 ) nilisema kuwa Mwamuzi ( Referee ) Ramadhan...
5 Reactions
21 Replies
2K Views
Back
Top Bottom