Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Yani ujue Hizi Team hususani SIMBA Na YANGA zimejitengenezea Ufalme wa kujipa tu ambao umewatia Ujinga. Mashabiki zao wamekua Wajinga. Wachambuzi wamekua Wajinga. Hata Watangazaji wa Michezo...
3 Reactions
21 Replies
1K Views
Kama uliuangalia huu mpira kwa makini unaweza ukakubaliana na mimi kwa hakika kuwa Hizi ndio timu zinazowania nafasi ya pili, Yanga amewaacha mbali both azam na simba kiuchezaji, kwa kifupi gemu...
19 Reactions
58 Replies
3K Views
Natoa kama Rai mashabiki wa Yanga hamna budi kuomba sana kwa ajili ya timu yenu maadui ni wengi mnoo mje na ndani ya uwanja na wanafanya kazi kwa kushirikiana kuhakikisha malengo yenu hayatimii...
8 Reactions
61 Replies
3K Views
Hivi ligi ya Ujerumani wataacha lini kutokuwa wastaarabu,mechi ya Borrusia Dortmund dhidi ya Freiburg imesimama kwa muda kisa vurugu za mashabiki kurusha vitu kwenye pitch.
1 Reactions
7 Replies
680 Views
Anashiriki kupoteza muda kwà kushirikiana na Timu pinzani,Anatoa kadi ovyo kwà wachezaji wa Simba,Faulo za Simba hazioni,Anawakoromea wachezaji wa Simba hata kama wanadai haki yao.Kifupi Kayoko...
3 Reactions
26 Replies
1K Views
Kumekucha tena ni siku nyingine nzuri, wengi wanapenda kutumia hii kauli Soka letu tunalifahamu wenyewe au soka letu kivyetu vyetu. Nimetizama mechi kadhaa za Yanga nakugundua pindi Yanga...
3 Reactions
30 Replies
2K Views
Lawama za mashabiki wa Simba dhidi ya Kayoko zimenifikirisha sana. Wamelalamika na kupiga kelele wakisahau kuwa wao ndio wanufaika wakubwa wa makosa ya waamuzi kwa msimu huu. Mashabiki wengi wa...
4 Reactions
21 Replies
1K Views
Tangu aichukue Simba kutoka mikononi mwa Tinhowanaman Benchika amepata draw nyingi sana ndani ya mda mfupi draw hizi amezipata kwa team ndogo na za kawaida kabisa kama Namungo,Jwanengy,Azam na...
1 Reactions
2 Replies
415 Views
Huyu jamaa ndiyo tatizo kubwa Yanga, pamoja na ndiyo kuwa sababu ya GSM kuweka Yanga ila jamaa hafai. Kila kitu anajua na anataka afanye yeye! Hawezi usiri kwenye mambo ya Yanga, mbaya zaidi...
3 Reactions
24 Replies
2K Views
Ni aibu na ajabu Kuona mashabiki na viongozi wa Simba eti wanamlaumu Kayoko kawabeba Azam!!? Ni kichekesho Cha mwaka hiki sijawahi ona wapumbavu kama hawa watu! Simba ndiyo timu iliyochukua point...
12 Reactions
32 Replies
2K Views
Hawa wanamsimbazi hawaishiwi matatizo.....[emoji1][emoji1] Walianza na slogan ya hatumtaki Robertinho baada ya kufanya vibaya then akatumbuliwa. Wakaja na slogan ya hatumtaki Mangungu [emoji23]...
7 Reactions
42 Replies
1K Views
Shida Simba wakikosa matokeo wanayoyataka wao ni lazima watafute mtu wa kumfunga kengele, badala ya kula kile kichapo cha goli tano toka kwa Yanga mpaka leo naona bado dishi linasearch. Kile...
4 Reactions
13 Replies
1K Views
Maisha yetu binadamu yamezungukwa na mambo mengi sana. Kuna wakati kwenye maisha ukweli na uongo huamua kujitenga ili maisha halisi yajidhihilishe. Ni kawaida ya wanadamu wote hasa waafrika...
8 Reactions
30 Replies
2K Views
Klabu ya Yanga SC, leo hii imeingia mkataba na Hospital ya Aga Khan, ambapo itawafanya wachezaji wa Yanga kupima afya zao, lakini pia wanachama na mashabiki wa Yanga SC kuweza kupata huduma nchi...
3 Reactions
32 Replies
2K Views
Kwaza niombe samahani Kwa kutowaletea uchambuzi humu jf ....mwaka huu jobless sina so nina kosa muda Back to the topic Kama Azam angeshinda.....basi angeongeza pressure Kwa Yanga since gap la...
8 Reactions
34 Replies
1K Views
Kiukweli Nikiripoti kutoka hapa Jamii Forum,Jukwaa la Sports(Michezo) hali ilivyo ndugu Msomaji ni ya utulivu wa hali ya juu hali ipo shwari kabisa.. Hakuna mtu alieanzisha UZI wa TWE! TWE! TWE...
10 Reactions
23 Replies
1K Views
Kwa mufuatilia match mbili za simba ya tabora na hii ya leo ccm kirumba ni dhahiri kabisa. Chama ndio Simba yenyewe maana kubadilika kwa hama ndio kumefanya timu zima imebadilika sasa. Simba...
1 Reactions
2 Replies
373 Views
Phil Chisnall anabakia katika vitabu vya kumbukumbu kama mchezaji wa mwisho kuhama direct toka Man Utd kwenda Liverpool baada ya hapo haijawahi kutokea tena. Alifanya uhamisho huo mwaka 1964...
7 Reactions
10 Replies
849 Views
Habari za mchana wana JF, Nimekuwa shabiki huru katika soka la bongo kwa muda mrefu, sasa rasmi kwa akili zangu timamu nimeamua niwape sapoti na kuishabikia Azam Fc kemwa moyo mmoja, iwe shida na...
5 Reactions
29 Replies
1K Views
Back
Top Bottom