Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Moja ya agenda za ajabu ambazo sizielewi katika taifa hili ni kuamini katika mchezo wa soka kama njia pekee ya kututambulisha kimataifa. Hii agenda imekwisha shindwa mara nyingi hakuna maajabu...
0 Reactions
7 Replies
556 Views
Wapo Watu Wanainua Taifa Stars kwa sababu tu Rais Samia pamoja na CCM wanaipa hela Ndio nawajulisha Rais Nguema wa Equetorial Guinea ametoa bonus ya Euro million 1 ( Sawa na tsh bilioni 3) kwa...
0 Reactions
14 Replies
864 Views
Hili ni jini lisilokabika, mkijitahidi sana baki litawapiga hata kamoja. Huwezi kulifananisha na vitu vya kijinga. Labda alinganishwe na kundi. Ndiye mchezaji bora wa mwezi Machi
12 Reactions
44 Replies
3K Views
[emoji2957]Kumbe CAF wanetu kabisa Hawa yaani "We Simon Msuva umepigaje hapo [emoji16][emoji2957]. Hii ni Baada ya msuva kuruka soti ( kavu in nyakyusa) ya kwenda juu nyuzi 368° Huyu admin wa...
8 Reactions
29 Replies
3K Views
Sasa kama anaipenda sana Tanzania kwanini asiende tu uhamiaji Tanzania na akaombe uraia kabisa na asiendelee kutuchosha kwa kujifanya anatupenda sana watanzania na Tanzania yetu?
0 Reactions
17 Replies
895 Views
"Simba imeshafanya mambo mengi makubwa, yaliyopita, yanayofanyika sasa na mengine yanakuja." "Sisi mliotupa dhamana tupo tayari kupokea maoni ambayo yataipeleka Simba mbele." "Lengo letu ni...
4 Reactions
20 Replies
1K Views
Kocha mzungu hakuwa mjinga kumuacha nje Kibu Denis kwenye mchezo wa ufunguzi. Baada ya mgunda na Morocco kuachiwa jahazi Kibu Denis akapangwa kikosi Cha kwanza kabisa dhidi ya Zambia. Ona alikosa...
3 Reactions
10 Replies
684 Views
Bado Tanzania kama nchi imeshindwa kuheshimu Professionalism katika soka. AFCON ni sio sehemu ya siasa wala vituko. Hapo ni sehemu ambayo Wataalamu wanatakiwa kupewa nafasi kutoa mafunzo yao na...
2 Reactions
13 Replies
761 Views
Hilo ni ombi langu kwako mh Rais wa Zanzibar Dr Mwinyi Nakumbuka timu ya Taifa ya Zanzibar Captain akiwa Omar Hassan " King" ilikuwa Bora mara 100 kuliko Taifa Stars Equetorial Guinea ina idadi...
0 Reactions
2 Replies
356 Views
TFF iondoke madarakani haraka sana la sivyo tusiandae AFCON 2024. TFF inabeba lawama zote za mpira mbovu waoneshao taifa stars huko Abidjan Ivory cost. Huyu kocha anashindwa hata kukuza uwezo wa...
3 Reactions
35 Replies
2K Views
Unaweza kuona ni makosa madogo lakini ni makubwa kwa ukubwa wa Simba na hadhi ya mkutano wenyewe!
4 Reactions
28 Replies
2K Views
Uongozi wa Timu ya Taifa ya Misri umethibitisha kuwa mshambuliaji wao Mohamed Salah (31) amerejea katika klabu yake kupatiwa matibabu zaidi baada ya kuumia misuli ya paja katika mchezo dhidi ya...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
inasikitisha sana huwa tunakuwa wepesi mno kumkosoa / kumkandia pale tukiona kuwa hajitoi na haipambanii timu ya taifa ( taifa stars ) ila akijitoa kwa nguvu zake zote kwa kupambana zaidi uwanjani...
10 Reactions
11 Replies
924 Views
Ni Messi tena.... Lionel Messi ashinda Tuzo ya Mchezaji Bora wa FIFA 2023 Staa wa Argentina na Klabu ya Inter Miami, Lionel Messi ameshinda Tuzo ya Mchezaji Bora wa FIFA 2023 kwa Wanaume...
7 Reactions
42 Replies
3K Views
Yaani hii nchi Ina vitu vinachekesha kweli kweli! Mwanzoni mwa mwezi huu wa January wizara ya michezo na ilitangaza kamati ya hamasa Kwa ajili ya kuhamasisha mashabiki kuishangilia taifa stars...
5 Reactions
21 Replies
1K Views
Sie mashabiki wa Mali hatuna hofu nyie mashabiki wa stars mnakumbuka nini mkiiona hii picha?
0 Reactions
23 Replies
1K Views
Mhasibu wa Simba Mo Extra na Sabuni kwa yale matangazo kwenye jezi wanalipa mil 400. Duh, Simba ina viongozi wa hovyo,wanaitumia timu kibiashara ndo maana hakuna mafanikio uwanjani Sent using...
10 Reactions
46 Replies
2K Views
Huyu referee anayechezesha pambano la Congo DR na Morocco ni muungwana sana. Wachezaju wa Morocco wakiwa wanatoka anawasindikiza anawaambia wasikimbie wasije wakaanguka wakaumia. Naona mzozo...
1 Reactions
3 Replies
575 Views
Niseme ukweli sina imani na mchezaji yoyote wa SIMBA SC , they are too good for nothing. Mtu kama Hussein anapenda sana kurudisha mpira nyuma, hana accuracy’s . Ni uchochoro. Manula ni tatizo...
8 Reactions
53 Replies
3K Views
Match Day Leo Jumapili 21.01.2024. Tanzania (Taifa Stars) Tunatupa karata yetu ya pili katika Mashindano haya ya AFCON 2024 kumenyana na Timu ya Taifa ya Zambia a.k.a Chipolopolo. Zambia...
13 Reactions
1K Replies
51K Views
Back
Top Bottom