Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Salaam Imani bado tunayo na ni kubwa mno, makosa tumeyaona na tunaenda kuyafanyia kazi na hatuna haja ya kuwalaumu wachezaji kwani ni sehemu tu ya mchezo na kawaida kwenye mashindano yoyote yalee...
3 Reactions
51 Replies
2K Views
Hakuna timu ya taifa ya Tanzania iitwayo watoto wa mama wa Kizimkazi iliyoko mashindanoni AFCON bali tuna timu ya taifa iitwayo Taifa Stars tu sawa? Hovyo kabisa.......!!
10 Reactions
17 Replies
1K Views
Kwann kama taifa hatuna mikakati?? Nakasirika sana kuona serikali inadandia treni ya mafanikio ya mpira kwa mbele. Nchi za Senegal, Mali, na Burkina Faso serikali za nchi hizi zimefanya uwekezaji...
7 Reactions
34 Replies
1K Views
Jana nimekwenda ibadani nikapata upako wa kutosha. Na nikarudi nyumbani, nikitarajia kuwa furaha hiyo itaendelea hadi usiku wote. Kufika majira ya saa nne za usiku, timu moja, inayoitwa Taifa...
0 Reactions
2 Replies
558 Views
Hakuna mtu asiyejua kama hatuna mafanikio, lakini sio kutufanya mazuzu kutuletea mafanikio ya kuungaunga. Mtu anapimwa kwa kufanikisha objectives, sasa mtueleze hizo ndio zilikuwa objectives...
12 Reactions
39 Replies
2K Views
Huyu mchezaji anakipaji kikubwa sana cha mpira wa miguu, ana uwezo mkubwa mno wa kutuliza presha ya timu uwanjani, ana uwezo mkubwa mno wa kutuliza na kuifanya timu imiliki eneo la kiungo...
3 Reactions
43 Replies
2K Views
Nashauri kiwanja hiki kitwaliwe na serikali, CCM wafidiwe, halafu kijengwe kiwanja cha kisasa pale. Hii itaendana na hadhi ya jiji la Mwanza. Kwa.sasa kiwanja hiki hata CCM hakiwapi faida yoyote...
0 Reactions
22 Replies
1K Views
afcon inataka kocha mwenye profile kubwa sio kocha wa namungo,mbinu hamna,watu wanakimbia kimbia tu uwanjani bila mpango wowote ule
1 Reactions
4 Replies
359 Views
Nimeona Bango la mama wa wetu mpendwa kule AFCON akisapoti mpira, hii inaonyesha Mama anapenda mpira sana, MAma tumuunge mkono kwenye swala la mpira. Binafisi nafarijika sana, kwenye kuchangia...
9 Reactions
82 Replies
3K Views
Habari za leo wadau, Timu yetu ya Taifa yaani Taifa Stars imeanza harakati zake kwenye mashindano ya AFCON 2024 nchini Ivory Coast. Tumeanza kwa kupoteza mbele ya timu bora Afrika na Wana Nusu...
5 Reactions
22 Replies
1K Views
Leo hii imedhihirika katika mechi na Zambia. Pamoja na timu ya zambia kuonekana kupoteza matumaini kwa kucheza pungufu na kadi kibao za njano lakini wapi bwana!!!....bado kichwa cha mwendawazimu...
6 Reactions
21 Replies
1K Views
Tutakapoacha sifa kwenye vyombo vya habari, tukiacha kujimwambafai tutaanza kufanikiwa Afcon. Mfano Kuna chombo kimetuambia Uganda, Kenya, Sudan wamecheza Afcon mara ngapi? La hasha tunawabeza...
2 Reactions
8 Replies
543 Views
Niwape pole sana wote mliotoa hela zenu kuchangia Taifa Stars hela zenu bora mngetoa misaada kwa yatima poleni sana
3 Reactions
9 Replies
559 Views
Huu mpira nilioona leo umenisikitisha sana. Kweli Mashindano makubwa kama haya na dunia nzima inaangalia mnafanya mzaha kama huu?
0 Reactions
4 Replies
495 Views
Siku zote nimekua nikisistiza kwamba mpira ni mchezo wa plan ila naona wachezaji wa Tanzania wanakaza fuvu hawataki kunielewa japo wananifatilia sana pia chambuzi zangu. Baada ya Zambia kupata...
2 Reactions
5 Replies
583 Views
Katika vitu vinavyonikera na kunitia kinyaa ni tabia ya wachezaji kutema mate uwanjani,. Najua sometimes kuna sababu(jasho kudondokea mdomoni, n.k), ila lazima kuwe na hatua za ku-discourage hii...
13 Reactions
96 Replies
4K Views
Mpira unaanza na uwezo wa akili kufanya maamuzi. Mpira unatokana na skills na creativity. Watu wote wenye vipaji wanafaulu katika eneo lao la specialization. Mafundi simu simu wengi siyo wale...
4 Reactions
3 Replies
619 Views
Shirikisho la soka barani Afrika CAF limemfungia mechi nane Kocha wa timu ya Taifa ya Tanzania Adel Amrouche kwasababu ya shutuma zake alizozitoa dhidi ya Morocco Adhabu hiyo ulitolewa jana na...
4 Reactions
64 Replies
6K Views
Hakika Ni ukweli usiopingika kuwa Wizara inapaswa KUWAOMBA RADHI watanzania kwa Matokeo ya AIBU ya TAIFA STARS kufungwa BAO 3-0 na MOROCCO Leo.Watanzania walijitoa kwa hali na Mali na Kuchangia...
1 Reactions
10 Replies
659 Views
Hana aibu eti tunajivunia kuwa na Simba WhatsApp channel na tubaongoza Africa mashariki na Kati, pia wenzetu walikuwa wanaongoza Youtube ila sasa tumewapita. Ukimcompare na Senzo na Babra huyu ni...
5 Reactions
14 Replies
1K Views
Back
Top Bottom