Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Kila la heri Algeria(Mbweha wa Jangwani) Timu ambazo nimetoka kuzipenda sana Algeria and Morocco Algeria 1-1
1 Reactions
9 Replies
582 Views
wakuu habari za uzima? Nipo hapa na mwanangu tunaangalia mpira.kipindi unaanza aliona hawa watoto wanaoingia pamoja na wachezaji akaniuliza. Baba hao watoto na wao wanacheza, nikamjibu hapana...
7 Reactions
14 Replies
1K Views
Kocha wa timu ya Taifa stars amesimamishwa na CAF kusimamia mechi 8 za timu yake. Swali ni nani alikasirishwa zaidi na maneno ya kocha dhidi ya Timu ya Morocco kati ya TFF, Morocco na CAF? ni...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hakika unafiki ni sehemu ya maisha ya waafrika. Ni vigumu kuamini kama haya maneno yanazungumzwa na jirani zetu haswaaa. Ebu wasikilizeni wana jamvi.
12 Reactions
39 Replies
3K Views
[emoji1095]Emilio Nsue López - 3 Goals [emoji1026] Baghdad Bounedjah- 3 [emoji1110]Mohammed Kudus- 2 Goals [emoji1211]Lamine Camara - 2 Goals [emoji1059] Betrand Traorè- 2 Goals [emoji1093]...
1 Reactions
2 Replies
595 Views
Mchambuzi wa michezo kutoka HiliGame na SportsXtra za CloudsFM @shaffihdauda_ ameshinda tuzo ya Mwanahabari bora wa habari za michezo barani Afrika kwa mwaka 2023 . Utoaji huo wa tuzo ulifanyika...
6 Reactions
36 Replies
2K Views
Na nisiwe mnafki naomba hili liwe fundisho kwa nia ya dhati kabisa natamani tujifunze kwa maumivu maana wagebga walisema kusikia kwa kenge ni mpaka apigwe na kitu kizito kichwani famu zimtoke...
5 Reactions
31 Replies
3K Views
Mkiambiwa mkae mbali na mambo ya kitaalamu na msiwe na viherehere hamsikii tu. Kisaikolojia alichokifanya jana Rais Samia kuwapigia simu wachezaji wa timu ya Taifa Stars muda mfupi kabla ya...
14 Reactions
46 Replies
3K Views
Goal keeper wa Man United na Ghana ni kipa wa kawaida sana,nimeangalia mechi zake akiwa Manchester na Cameroon Niseme tu yuko level ya Aishi Manula anazidiwa hata na kipa wa Yanga Diara
4 Reactions
15 Replies
1K Views
Mheshimiwa Rais, mama yetu Samia Suluhu Hassan una mapenzi ya dhati ya mpira wa miguu. Hata hivyo, tunakuomba mheshimiwa Rais hakikisha kabla ya kumaliza muda wako 2030 uhakikishe ya kwamba...
1 Reactions
9 Replies
682 Views
Timu ya Taifa ya Senegal imefanikiwa kuingia Hatua ya 16 Bora ya Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON), leo Januari 19, 2024 kwa kuifunga Cameroon magoli 3-1, hivyo kufikisha pointi 6...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Tar 21 Nov 2023 Moroco vs 🇹🇿 Novatus discuss kiroshi alipata Redcar dk ya 72. Jana dk almost zile zile anapewa card mechi vs Moroco Sioni sana kipya tusaidie badala ya kujazana ujinga. Kocha...
0 Reactions
2 Replies
822 Views
Naangalia mechi hapa ya Cameroon vs Burundi ni ajabu kuona Cameroon akicheza kama underdog. Burundi wako kwenye kiwango bora sana, wanadefend vizuri na wanashambulia kwa kushtukiza kupitia kwa...
2 Reactions
29 Replies
2K Views
Sofia Benlemmane Ambaye ni raia wa Algeria amefurushwa toka Ivory Coast (deportation) baada ya kutoa maneno ya kashfa juu ya taifa hilo na wenyeji wake wa Afcon. Sofia alinukuliwa akisema Ivory...
8 Reactions
92 Replies
7K Views
1. Kocha wenu ambaye pia ni dalali ameshafanya kutompanga kabisa mchezaji Kibu Denis katika mechi za Afcon kwakuwa amekataa kuwa wakala wake na hata ikitokea akaanza kumpanga kuanzia mechi ya...
3 Reactions
46 Replies
4K Views
Tanzania (Taifa Stars) inatarajia kuingia kucheza Mchezo wake wa kwanza wa AFCON dhidi ya Morocco kwenye mji wa San Pedro, Ivory Coast. Mechi hii itachezwa saa 2:00 usiku Timu hizo zipo kwenye...
13 Reactions
1K Replies
117K Views
Safi sana. Kapten aendelee kumshukuru anayemdhania ndo mwenye team. Bao 3 kwa Nunge Mi nitakuwa nahesabu tu. Hili li timu la hovyo. Na jana Morocco walituonea huruma sababu sisi ni ndugu zao...
1 Reactions
2 Replies
349 Views
Binafsi huwa sitazami mechi za Simba SC ila baada ya kuangalia mpira wa stars leo kwakweli nimeona utofauti kati ya Diarra na Manula ni mbingu na ardhi! Yaani leo nimejua ni nini maana ya kipa...
10 Reactions
34 Replies
2K Views
Zambia: Kama kuna timu ambayo tunaenda kuokota points za bure ni ya Tanzania ila kwa Morocco tutajitahidi tupate angalau sare au suluhu kisha huko mbele tutajua nani ataenda. Congo DR: Morocco...
11 Reactions
33 Replies
2K Views
Nipo na haraka sana. Hebu ona. Leo ni ile tarehe 17/1/2024 kila mtanzania mpenda michezo alikuwa anasubiria ifike saa mbili kamili ili apate fursa kuitazama timu yetu pendwa, Taifa Stars akicheza...
1 Reactions
8 Replies
656 Views
Back
Top Bottom