Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

"Hakuna klabu ya ligi kuu ya Tanzania isiyokuwa na madeni hivyo watuige sisi Singida Fountain Gate FC ambao huwa hatufichi na wala hatuoni aibu kusema kuwa tuna madeni lukuki" amesema Hussein...
1 Reactions
22 Replies
2K Views
Huu mchezo unajulikana kama kindege ni live betting upo kutufilisi walah, ukiuangalia kwajujuu unaweza ona ni betting rahisi kupata mshiko ila ingia uwanjani ujionee. Huwezi amini wiki hizi mbili...
11 Reactions
26 Replies
3K Views
Naona washatoa thank you kwa wachezaji bora zaidi ya 13 Nimeshangaa wamemwa striker hatari Elvis Rupia na wangine. Ndo kusema madeni yamewaandama wakaamua kufuta team. Nasikia mmiliki wa SFG...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Morocco National football team, ni timu ambayo nimetokea kuipenda sana, ikifuatiwa na Algeria National football team, nawakubali sana. Hata wakikutana na Taifa Stars nitashabikia moja kati ya hizo...
2 Reactions
30 Replies
1K Views
Wakati nchi ya Ghana imeamua kuwekeza katika soka, serikali yao iliweka mazingira vutivu kwa wawekezaji wanaotaka kufungua academy, academy zikafunguliwa nyingi kama Makanisa ya jiji la Mbeya...
2 Reactions
20 Replies
1K Views
Ujio wa Kocha Benchikha pale Simba ulitakiwa uambatane na kufungua ukurasa mpya wa mashirikiano kwa kila mmoja pale Simba hasa kati ya wachezaji na viongozi achilia mbali mahusiano kati ya...
5 Reactions
26 Replies
2K Views
Kidogo nivunje tv yangu ili nimtandike mangumi refa anayechezesha Anatoa kadi zusizostahili, anaacha makosa ya warabu kwa kuogopa rangi yao Anaruhusu goli la kuotea kwa kuogopa rangi Ngozi...
8 Reactions
65 Replies
4K Views
Kama kuna watu wamesoma na wanajua mambo ila wanatumia elimu yao kutapeli ni wanaija. Dozy ni mnaija anayedai kuwa ni CEO na Mwanzilishi wa Tingo Mobile. Jamaa alianzisha tingo mobile ikiwa na...
4 Reactions
11 Replies
1K Views
Kama Yanga wanahitaji mchezaji wa kuwapa uzoefu kuhusu mbinu za kufanya vizuri kwenye michuano ya klabu bingwa Afrika basi ni dhahiri huu ni muda muafaka wa kumpa nafasi mwamba John Rafael Bocco...
0 Reactions
3 Replies
695 Views
Tumeruhusuje KQ kutua Dar kirahisi namna hii?!!! Ona sasa....tungewafugia hadi wakiri "Ki-Mbwa"...
1 Reactions
3 Replies
566 Views
Hii ni aibu kwa kipa nambari moja Tanzania kupigwa goli nyingi kiasi hiki... Kwasasa Manula hastahili kuwa kipa namba moja, aibu kwa taifa na clab.... Na akiendelea kuwa kipa namba moja pale Simba...
1 Reactions
5 Replies
405 Views
Wakuu habar ,tuwekane wazi kabisa na wala si kuwatupia lawama wachezaji au kocha ilihali mnajua timu yetu ni mbovu tu miaka nenda miaka rudi mpaka siku za kalenda Hii timu ingekuwa imefuzu wala...
2 Reactions
10 Replies
685 Views
Shida ni viongozi wenye tamaa. Azam ikiwa na kikosi bora iliuza kila mchezaji tegemewa eti ijenge timu upya mwaka 2017. Aishi Manula, Kapombe, Boko wote wakatua simba. Wakimfata shabalala...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Msitafute mchawiiiii 1. Aliikuwa ni Rais kiongozi wa nchi Kumbukeni anaongoza kila mtu anapokasirika hata mbingu inahuzunika Tuliona kirahisi alipoumia na kusema ile timu ni kichwa cha...
2 Reactions
6 Replies
461 Views
Wakuu, Mpira ni mchezo wa wazi kabisa kila mtu anaona, hakuna mambo ya kuongopeana kabisa. Pili, kwenye nafasi ya kiungo mshambuliaji hususani inside ten (10) wenye uwezo wa kucheza nafasi hiyo...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Sio mbaya hata sisi tuliwakanda MOROCCO 3 hivyo kwangu Mimi naona Morocco wamelipiza kisasi Chao walichokuwa nacho vizazi na vizazi vyao Kikosi kilicho ikanda Morocco mwaka. 2013 Kiliundwa na...
0 Reactions
12 Replies
607 Views
Habari, Tukiwa tunaendelea kuugulia na kujifariji kwa yale yaliyotokea jana kwa timu yetu ya taifa (Tanzania) dhidi ya Morroco, leo nakupa wataalamu wa hat tricks tokea mashindano haya...
1 Reactions
2 Replies
436 Views
100% tunapita round ya pili ila sharti ni baadhi ya wachezaji wasicheze mechi mbili zijazo, Sie tunamfunga Zambia, Morocco anamfunga DRC, mechi ya mwisho Morocco anamfunga Zambia sie tundraw na...
0 Reactions
41 Replies
2K Views
Wake pole na habarini za zenu. Hivi ni mimi peke yangu ndio nimeona kwenye ile mechi ya Morocco dhidi ya Taifa stars? Maana sio kwa mpira mbovu vile aisee. muda Wote wachezaji wetu wanapiga pasi...
6 Reactions
21 Replies
2K Views
Bila kujali lolote natamka wazi kwamba timu yetu ni mbovu, hata tunapokuwa 11 bila red card bado hamna kitu Haijulikani hata fomesheni tunayocheza ni ipi. Kwa mtazamo wangu hadi sasa Tanzania...
13 Reactions
67 Replies
28K Views
Back
Top Bottom