Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Huyu kocha ameajiriwa kuja kufundisha soka, sio kujifunza soka! Analipwa pesa nyingi sana kwa mwezi na gharama zote za malazi pamoja na usafiri ili tu aje afundishe soka! Yeye ni mtaalamu wa...
5 Reactions
29 Replies
2K Views
Hii AFCON licha ya kwamba kuna uwezekano mkubwa tusipate japo point moja lakini pia tunaweza tusifunge hata goal [emoji3] Pia hata kama Mpira unadunda sioni nafasi ya stars kwenye hili kundi hata...
1 Reactions
13 Replies
576 Views
Hamna mechi katika maisha yangu imeniuma kama hii Tanzania na Morocco. Kweli Tanzania sisi wakupigwa goli Tatu. Kwamba sisi tuko level ya chini hivi. Sawa timu huwa zinafungwa. Kweli vijana wetu...
10 Reactions
56 Replies
2K Views
Jana nimefurahishwa na huyu refa, kama kuna matokeo niliyapenda ni ya jana watu waligawana point kihalali. Kikubwa zaidi kumpongeza huyu bwana na wachezaji kumhadaa refa awape penalty. OK...
1 Reactions
10 Replies
696 Views
Kuna vijana wa hovyo, pia kuna wananchi wa hovyo. Sasa sijui hawa wananchi wa hovyo wamechukizwa na nini, lakini najua tu kuna vitu vimetendwa aidha na serikali yao au na baadhi ya viongozi wao...
0 Reactions
68 Replies
20K Views
Sikushangaa kusikia Waziri wa michezo akisema hata wao huwa wanamuuliza kocha kwanini amemuacha Shabalala na Feitoto lakini majibu ya kocha yanawaridhisha. Wakati wa kocha Amunike pale...
9 Reactions
18 Replies
1K Views
Mlioko jirani au huko Ivory Coast mwambieni waziri aachane na tabia ya kuingilia maandalizi mechi ya Taifa Stars. Mara ampigie simu rais ni kuwavuruga wachezaji. Yeye kama ana Nia njema aweke...
6 Reactions
13 Replies
952 Views
"Leo inaanza match ya kwanza kwa kupokea kichapo kutoka Morocco." Haya si maneno yangu ni maneno ya mdau mmoja ambaye alikuwa anaongea kwa kutabasamu kabisa akijinasibu kuwa yeye anashabikia...
2 Reactions
17 Replies
499 Views
Thierry Henry alimuuliza Pep Guardiola ni timu gani Bora kwake aliyotwaa nayo mataji matatu kwa msimu kati na Manchester City na Barcelona. Hichi ndio alichojibu Guardiola.
2 Reactions
8 Replies
998 Views
Nimeona hii habari, nimesikitika. Masaa mawili waziri alikuwa anaongea nini?
1 Reactions
8 Replies
759 Views
Pamoja na yote, Manula sio KIPA ila ni the most loved one , sijajua ni kwanini. Jamaa huwa haoni movement za mpira sio kama DIARA. Mmmh kweli Uchawi upo. Hoja ya msingi, je ni wakati gani REFA...
3 Reactions
27 Replies
1K Views
Ukweli lazima usemwe na ukweli humuweka mtu huru. Kocha wa taifa stars anajua uwezo wa wachezaji wa taifa stars, hivyo ameamua kusema ukweli...."kwamba kwa kikosi hiki, taifa stars haitoboi...
14 Reactions
93 Replies
39K Views
Kama maamuzi hayo ya kuwaacha Saidoo, Onana na Bocco kafanya Benchika basi yupo hapo Simba kuiua. Kama maamuzi hayo kafanya mo basi mpango wake ni kuiacha Simba mbovu kama aliyoikuta. Lengo...
5 Reactions
12 Replies
2K Views
kabla ya Taifa Stars kucheza na morocco leo katika michuano ya AFCON huko nchini ivory coast waandishi wa habari za michezo wa Tanzania walituaminisha kuwa morocco atafungwa tu huku wakiwapa sifa...
2 Reactions
6 Replies
817 Views
Unafiki wetu TU kukana kauli yakocha wetu. Tungeishia TU kusema nimtizamo wake binafsi sio ya TFF. Lakini hayo ya kuhangaika nae kinidhamu tuache. Tuone mechi itaishaje, usimamizi...
1 Reactions
2 Replies
477 Views
Sadio Mane ni mmoja ya wachezaji wachache wanaojali familia zao, Mane sio mzaliwa wa jiji kuu la Senegal Dakar wala Kaolack ambayo ni majiji makubwa katika taifa hilo bali Sadio Mane ni mzaliwa wa...
24 Reactions
34 Replies
3K Views
Kumekuwa na hili swali watu wengi wamekuwa wakiuliza kuhusiana na team yetu ya Taifa. Ambayo imekuwa mara nyingi ikichukiwa na baadhi ya watu. Kwa nchi nyingine teams zao za Taifa zimekuwa chanzo...
14 Reactions
39 Replies
6K Views
nimeimisi mno ligi kuu yetu na hasa jinsi waamuzi wanavyopokea milungula ya timu kubwa na kwa sasa moja yenye utajiri wa mdhamini mkwepa kodi mzoefu ili waibebe katika matokeo na maamuzi Na...
1 Reactions
1 Replies
475 Views
Je, ni njama ya wenye mabanda ya mpira na mabar?
1 Reactions
7 Replies
373 Views
Ni moja ya sajili Bora kabisa ambayo Eng.Hersi said anastahili pongezi za dhati, ni goalkeeper ambae amekomaa vya kutosha na uzoefu wa kutosha! Mechi yake ya kwanza dhidi ya south Africa...
2 Reactions
4 Replies
653 Views
Back
Top Bottom