Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Leo saa 2:15 usiku ni Singida Fountain Gate dhidi ya Simba SC katika mtanange wa nusu fainali ya Kombe la Mapinduzi itakayopigwa leo 10.01.2024. Tayari timu ya Mlandege kutokea Zanzibar...
11 Reactions
1K Replies
130K Views
Ubunifu bado mdogo sana, timu ina-struggle sana kutengeneza nafasi. Aidha, back passes ni nyingi mno. Kwa ushindani wa mwaka huu kwenye ligi, wafanye kazi ya ziada kumaliza nafasi ya tatu
7 Reactions
93 Replies
4K Views
[emoji599] EXCLUSIVE: Peter Banda is close to joining KMC. [emoji1156][emoji92] Singida still having issues concerning their ban by FIFA. Money has become difficult. [emoji3578] Also told, some...
1 Reactions
3 Replies
549 Views
Nimeifatilia Simba kwenye mechi zote za mapinduzi cup na nimeona bado wanayo matatizo makubwa sana ya kiufundi, nilitegemea mabadiliko baada ya benchikha kuichukua timu lakini silioni ilo kwa...
7 Reactions
26 Replies
2K Views
Refa aliyechezesha mechi kati ya Simba na Singida alikuwa sahihi kwa asilimia mia. Fifa ilitambulisha Sheria mpya kwenye mashindano ya world cup yaliyofanyika Qatar, Moja ya Sheria...
11 Reactions
54 Replies
22K Views
Kwa tunaopenda kusoma between the line, Gamond amenukuliwa akisema Yanga haina kikosi kipana, kwani amewahi kujaribu kufanya rotation na akaambulia kupoteza dhidi ya ihefu, alipojaribu kwenda na...
3 Reactions
8 Replies
897 Views
Niliandika uzi kuhusu utata wa OKRAH kuumia na taarifa ya daktari wa yanga kuwa na utata, nkaandika kuhusu kauli ya kocha GAMOND kuwa yanga haina kikosi kipana, nkiunganisha na tukio la skudu...
6 Reactions
32 Replies
2K Views
Bingwa kwa asilimia kubwa atatokea hapo, ila mabishoo wa Nigeria wakikaza wakaacha kulilia posho kama kawaida yao wanaweza pia kushangaza Afrika.
4 Reactions
28 Replies
1K Views
Refaaaa katunyima mda wetu wore mmeona ...tulijua mlandege wametayarishwa kupewa kombe.... ....tumejitahidi bahati haikuwa yetu...... ....mashabiki mtusubiri bandarini kupokea washindi wa...
0 Reactions
1 Replies
490 Views
Yaan best final ever ya mlandege Mwingine akamjibu zile dk mlizokuwa mkiongezewa kwa wenzenu leo wamezipunguza muwe wapole...Tuliwasubiria final Shirikisho la znz lina akili sanaa baada ya kuona...
1 Reactions
5 Replies
493 Views
Kwa sasa sijaona beki wa kulia zaidi ya huyu mwamba, hakuna cha Yao Yao, wala Kapombe, wala Lusajo, hakuna. Kijiri ambaye aliwahi kuwa beki wa kulia wa KMC ana nguvu, ana spidi yaan mnyama ngiri...
15 Reactions
34 Replies
2K Views
Club ya Yanga imemtoa mshambiliaji wake Kwa mkopo kwenda coast union ya Tanga Hadi mwisho wa msimu Hii itakuwa ndio kuagana mazima. Ngushi akijirekebisha makosa yake madogo madogo Bado ni...
2 Reactions
14 Replies
891 Views
Habari Wanamichezo, Mechi za Afcon zinaanza saa ngapi na ni azam sport ngapi?
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Sandaland ndio inayoivalisha timu ya taifa. Wachezaji wetu ni vijana wenye akili timamu wanajua ni Brands zipi duniani zinatengeneza jezi Bora (prestigeous) na zipi zinatengeneza jezi hafifu...
2 Reactions
29 Replies
2K Views
Vipi dirisha hili hasajiliwi? Atasajiliwa lini jaman mgeni rasmi huyu na mwenye hotuba nzuri?
1 Reactions
9 Replies
485 Views
Hii imenishangaza sana katika huu mpira wetu (kivyetuvyetu). Na ndiyo maana Hawa wachezaji huwa Wanakuja kuivimbia timu na kujiona wao ni muhimu sana haiwezekani mchezaji kikosi kimetoka hata subs...
17 Reactions
96 Replies
7K Views
Hivi Tanzania kupitia TFF imeshindwaje kutoa tenda kwa makampuni makubwa yenye brand zinazofahamika ili kutengeneza jezi za timu ya Taifa (Taifa stars) badala ya ilivyo sasa jezi kutengenezwa na...
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Huyu ramadhani Mbwaduke ni moja kati ya wachambuzi waliojipatia sifa katika uchambuzi hasa eneo la takwimu. Mchambuzi huyu ni mzuri lakini ana mapungufu makubwa mno, kwanza hataki kabisa...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Licha ya kujaza Wacongoman kibao kwenye timu yao, sijaona jezi ya Yanga kwenye picha hii ya wachezaji wa timu ya taifa ya DRC wakiwa na jezi za club zao Tunasajili magasa tu?
5 Reactions
27 Replies
2K Views
Kuelekea AFCON 2024. Vikosi vya mataifa mbali mbali vinawasili Cote D'Ivoire (Ivory Coast). Kila Nchi inajitahidi sana kunadi utamaduni wa mavazi yao, kitu kinachopendeza sana. Sisi Taifa Stars...
9 Reactions
127 Replies
23K Views
Back
Top Bottom