Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Majina ya wachezaji waliotwa kwenye kikosi cha Yaifa Stars kinachoenda AFCON 2024 . 1. Aishi Manula 2. Kawawa 3. Beno Kakolanya 4. Bakari Mwamnyeto 5. Mohammed Hussein 6. Sospeter Bajana 7...
8 Reactions
77 Replies
11K Views
Kiungo mshambuliaji fundi wa Simba aliyekuwa majeruhi, AUBIN KRAMO amerejea nchini akitokea Ivory Coast na fasta akapanda boti kwenda kuongeza mzuka kikosini mjini Unguja, Zanzibar. . Kramo...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Leo ni nusu fainali iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu kubwa katika Kombe la Mapinduzi ambayo inawakutanisha watani wa jadi, Yanga na Simba. Mechi inachezwa saa mbili usiku kwenye Uwanja wa Amaan...
14 Reactions
635 Replies
76K Views
Mimi binafsi sitamani SSC irudi kwa form. Niseme Wazi matatizo yao ndio furaha yangu. Simba iendelee kuwa kwenye mgogoro na kufanya vibaya. Pamoja na yote yaliyotokea leo, bado sikioni kikosi...
2 Reactions
11 Replies
676 Views
Hii klabu kwa miaka ya hivi karibuni imekuwa bingwa wa kuua vipaji vya wachezaji vijana pindi inapowasajili, imekuwa na tamaa ya kuwasajili lakini wamekuwa wazito kuwatumia wachezaji husika...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Ni swali la msingi kama sio hoja, hivi kwa hatua tuliyofikia Tanzania kwenye maendeleo ya mpira inawezekana vipi TFF au wadau kwa ujumla au mamlaka husika ya mpira Tanzania kukosa udhamini kwenye...
0 Reactions
2 Replies
552 Views
Siku hizi limeibukaa wimbi la Utapeli hasa toka Kenya ambapo vijana wa Kenya na wachache watanzania wanawaambia vijana wa Kitanzania kuwa wao wana Odds za UHAKIKA so uwape hela wakuuzie. Vijana...
4 Reactions
29 Replies
14K Views
Umofia kwenu! Msimu huu unaelekea ukingoni na ndio maandalizi ya msimu ujao. Timu mbalimbali zishaanza kutoa jezi mpya kuelekea msimu ujao. Kama ilivyoada, uzi huu utakuwa unakuletea jezi mpya...
11 Reactions
253 Replies
33K Views
Utafiti, Kwa mwaka ulioisha timu ya Simba ndiyo timu iliyoongoza Kwa kupata ushindi kupitia magoli ya penalty kwenye michuano ya ndani na nje. Kwenye Kila magoli 3 ya Simba Kuna goli Moja la...
6 Reactions
57 Replies
2K Views
Tetesi kutoka kwenye chanzo Cha kuaminika kutoka nchini Mali kuhusu Kipa wa Yanga SC Djigui Diarra zinasema Kuna timu ya ligi nchini Uturuki inahitaji huduma ya golikipa Huyo Bora ndani ya Africa...
11 Reactions
45 Replies
5K Views
Amri Kiemba nani asiekujua wewe, nimekusikia ukisema uchezaji wa Duchu, Chilunda na Mwinuke haujakushawishi, we nani hadi ushawishike na kiwango chao, wakati unacheza soka ukiibuliwa na Kanali...
16 Reactions
67 Replies
4K Views
Aubin Kramo nimemuona mwenyewe leo Zanzibar akiwa jukwaani amekaa anacheki gemu ya Simba vs Singida, Ahmed Ally kama unanisoma hapa, wazee wangu wa Pemba wamenituma wanamtaka Baleke, Phiri, Kramo...
5 Reactions
8 Replies
993 Views
Muda ni mali, ukiupoteza umepotea siku, nimewahi kufanya kazi ya uandishi wa habari kuanzia mwaka 1998 - 2008 nikiandikia magazeti ya Nipashe na Alasiri na kidooogo sana gazeti la Lete Raha, enzi...
12 Reactions
48 Replies
2K Views
Leo yuko channel ten analia baada ya kukosa swali. Viva Steve lialia
3 Reactions
47 Replies
10K Views
https://www.instagram.com/p/C1oOXzsKn-N/?utm_source=ig_web_copy_link&igsh=MzRlODBiNWFlZA== Unajiuliza hiki ni kikundi cha wahuni ama nini. Hata ndondo cup ya kina Shafii Dauda sidhani kama...
4 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari Wakuu ,kweli madhabiki wa simba ni watu wa hovyo tu kwa sababu Siku simba ikofungwa basi wanaanza lawama either kwa viongozi or wachezaji Siku timu ikishinda basi wanasahau matatizo yao...
0 Reactions
1 Replies
271 Views
https://youtu.be/8irfsqXvYXw?si=zl4iDwIz-hgBriu6 Kapiga goli la kuchekesha 😀😀😀😀 Kwanza alitaka kupiga chenga kama Ronaldo, akafanyiwa faulo. Kisha akapiga goli kama Ronaldo My Take Huu mgoli...
2 Reactions
6 Replies
627 Views
Kama wewe unajua mpira na unafuatilia soka la Tanzania huenda utakubaliana na mimi. Ni vigumu mnoo kuwa na mchezaji mwenye sifa hizi. 1. Usikivu wakati wote. 2. Utulivu wakati wote. 3. Umakini...
1 Reactions
3 Replies
751 Views
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro amesema Serikali ya Tanzania kwa kushirikiana na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) inatarajia kuwasilisha ombi la kurusha...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Yanga tunajiandaa kuwakabili Jamhuri SC muda ni saa 2:15 usiku. mungu ibariki Yanga SC Kila la kheri Yanga SC Wafungaji Ngushi 10', 17', Kibwana 22', Mzize 38', Skudu 45'
10 Reactions
197 Replies
15K Views
Back
Top Bottom