Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Winga machachari (Messi wa bongo) Denis nkane kijana pendwa wa Prof Nabbi leo kapata nafasi ya kucheza Baada ya kukosa mechi kadhaa kwa tatizo la kusumbuliwa na majeraha. Bwana mdogo karudi Tena...
7 Reactions
14 Replies
1K Views
Huenda ni totoz za huko Belgium zinamzuzua, labda ni Pombe, ama kampani mbaya, n.k. lakini kwa umri alionao ni vema abadilike mapema Hapo mwezi uliopita Edo Kumwembe aliwahi kupost kwenye ukurasa...
6 Reactions
13 Replies
1K Views
Coach wa Taifa stars hajamujuisha mshambuliaji hatari wa Tanzania anayecheza KRC Genk ya Belgium Coach huyo alipoulizwa ameapa hatomuita tena kuchezea team ya Taifa kwa utovu wa nidhamu...
4 Reactions
62 Replies
7K Views
Winga hatari wa Misri ambaye amejiunga na Liverpool akitokea AS ROMA ya Italia Mohamed Salah , anaweza kuipa Liverpool ubingwa wa kwanza , na hivyo kukata kiu ya mashabiki wa timu hiyo...
22 Reactions
136 Replies
18K Views
Mechi inachezwa saa 2 na robo usiku, je tutegemee kumuona saido, Boco na Bareke? au wataweka kikosi B? Teh ntawaletea updates zote.
4 Reactions
277 Replies
18K Views
Nimejikuta natafakari sana juu ya kauli aliyoitamka Ahmedy Ally (msemaji wa Simba sc) na nikagundua huyu hajui chochote kuhusu mpira Bali ni mshehereshaji tu. Kutokana na kauli yake ya kusema...
5 Reactions
24 Replies
2K Views
Ninaangalia game ya JKU ya Zanzibar VS Simba SC ya Tanganyika kwenye michuano ya Mapinduzi CUP kwenye Uwanja wa Amani huko Zanzibar. Kwenye mechi hii kulikuwa na Aliyeitwa Mgeni rasmi, huyu...
6 Reactions
37 Replies
2K Views
Kuna anae bisha? Kama unabisha ilete timu yako uwanjani. Aidha wakati mnaendelea kuumia, uwekezaji wa Yanga ni serious business guys we are not joking and very straightforward. Na very soon...
5 Reactions
30 Replies
1K Views
Azam ni mamelody Mpya usijiri umekamilika
5 Reactions
25 Replies
2K Views
Jamaa anajua kucheza na mpira miguuni ukimkaba unakuta mpira haupo unachobkutana nacho ni miguu yake mpira unakua nyuma yako huenda ndio sababu kuu inayomfanya apate majeraha kila wakati, pia...
4 Reactions
15 Replies
862 Views
Nimesoma kupitia mitandao kuwa Yanga wanataka kumsajili Simon Msuva. Ushauri wangu kwa Yanga kuwa waachane na Msuva. Mpira wake umekwisha. Msuva umri umeenda. Waendeee kumwamini Skudu ni mchezaji...
2 Reactions
5 Replies
765 Views
Wazee Wanasimba wenzangu mimi nikiwa mwanachama halali wa simba naumia sana .. Misimu mitatu au minne nyuma tumekuwa tukileta wachezaji wa hovyo sana. Kisha tukiwatena kwa kuwasingizia kesi...
8 Reactions
72 Replies
5K Views
Club ya FIFA. Huyu ni mchezaji hasa. Kipaji na chipukizi. Tumekataa kusajili wazee.
0 Reactions
33 Replies
5K Views
Wanakamati, hadi muda huu ikiwa timu zote zinazoshiriki Kombe la Mapinduzi licha ya kupigiwa promo sana ni mechi mbili pekee zimejaza uwanja, Mechi iliyochezwa na Yanga na nyingine ni mechi ya...
0 Reactions
1 Replies
478 Views
Timu zilizoshinda mechi nyingi kwa Mwaka 2023. 1. Al ahly. 45 2. Sundowns. 39 3 Esperence Tunis ....35 4. Young Africans.....35 5. Wydad Ac .....33 6. Ases mimosas......29 7. As far......29 8...
4 Reactions
16 Replies
1K Views
Uchezashaji wa kikanjanja ambao unapendelea Yanga na Simba umesababisha Tanzania ikose Mwamuzi hata mmja kati ya 11 waliochaguliwa. Just imagine hakuna hata raiseman...
4 Reactions
31 Replies
2K Views
Kanuni za mpira tulipokuwa watoto: 1. Mtoto mnene daima alikuwa mlinda mlango. 2. Mmiliki wa mpira ndiye anayeamua na niacheza. 3. Kama hukushiriki kutengeneza mpira, huchezi mechi. 4.Mwenye...
7 Reactions
46 Replies
2K Views
Timu Iko hoi taaban! Suluhisho pekee ni kumrudishia timu yake. Vinginevyo endeleeni kula jeuri yenu!
1 Reactions
6 Replies
515 Views
KUMBE hizi timu zinazocheza na yanga zikiwa na jezi za rangi za yanga zina msaada sana. Kamwe amesema kama sio Jamhuri kuvaa njano alikuwa apewe mikono miwili Kwa heshima tukakubaliana jamanii...
3 Reactions
5 Replies
626 Views
Back
Top Bottom