Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Leo Itapigwa mechi ya ligi kuu ya Mwisho kwa Mwaka huu kwa Upande wa Simba na KMC. Muda ni Saa 10 Jioni. Kila la heri mnyama. Kikosi Cha KMC Kinachoanza Kikosi cha Simba Kinachoanza...
11 Reactions
688 Replies
38K Views
Nisiongee mengi, nadhani wote mnamfahamu. Hivi karibuni, huyu mchezaji amekuwa na matukio mengi ya kutaka kuonyesha uwezo wake binafsi na kutia team hasara ya kufungwa. Nadhani tunachokiona...
10 Reactions
89 Replies
7K Views
Unajua haya Maisha usiruhusu kitu kikuzoeee kikikuzoea kina Jenga Makazi kina kua kama Part of your Life hata kama kulikua ni Temporary. #Simba Jiangalieni hapo Mtaa wa 3 mnaweza msitoke.
3 Reactions
20 Replies
1K Views
Nashauri uongozi wa mchezaji Luís Miquissone Uuombe uongozi Wa Simba Umtoe mchezahi huyo kwa mkopo kwa timu zisizo na presha. mfano Namungo,Singida FG,Kmc na Nyinginezo zinazoweza kumpa dk nyingi...
3 Reactions
13 Replies
874 Views
Wana sports leo ilikuwa mfululizo wa kipigo kwetu wana blues, kiukweli huwa naumia sana sasa kwa kuwa sisi huu msimu hatuna timu kabisa Yaani usajili wote ni majeruhi na flop nimeamua kujiweka...
9 Reactions
42 Replies
2K Views
Ndiyoo!! Msemaji wa Simba sc (Ahmedy Ally) alianzisha Jambo la kiungwana la kuombana msamaha haswa mnapokoseana. Hii kampeni ilianza baada ya Simba sc kuchukua point tatu muhimu Mbele ya Wydad...
1 Reactions
3 Replies
521 Views
i will be short, 1. KATIBA ina mpa too much power muwekezaji to the point average person ambaye ni mwanachama can't have a say. Manchester United and alot of monopoly teams face the issue, as a...
2 Reactions
11 Replies
636 Views
Kati ya Cr Belouizdad, Petro De Luanda na Simba Kuna timu itaweza kufikia points 75 za ES TUNIS ?
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Habari wanajukwaa ikiwa mwaka 2023 unaishia ishia. Taja member ambao unaona wanauelewa wa kiwango cha chini kwenye mpira, au pengine unazi wa utimu umemzidia. Mimi kwangu ni hawa wafuatao...
12 Reactions
39 Replies
2K Views
Unatengenezwa mkakati mwingine ili muingie kwenye anga zao tena huko kwenye Kombe la Mapinduzi, labda mjiangushe mrudi mapema lakini ukweli ni kuwa makamu mwenyekiti wao ndio mastermind wa kubeba...
5 Reactions
12 Replies
640 Views
Huu mwaka sitousahau ktk maisha yangu, nimezaliwa mwaka 1979 hospital ya Ocean Road, nimeishi Chang'ombe, nimeishi Keko, nimeishi Mtoni kwa Aziz Ally, nimeanza kwenda uwanjani nikiwa darasa la...
2 Reactions
11 Replies
617 Views
Zile tetesi za kuwaleta wachezaji niliowataja hapo juu,ni za kusikitisha sana kwani viongozi wetu wanaendekeza siasa badala ya uhalisia wa mprira wenyewe. Hata hivyo bado kuna tetesi kuwa coach...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Ukitaka habari zako za michezo ziuze hapa Tanzania, andika au toa habari za kuisifia au kuitukuza Yanga. Hakuna mashabiki wanaonunua habari za michezo hapa Tanzania kuliko mashabiki wa Yanga...
11 Reactions
24 Replies
2K Views
Natoa utabiri huu nikiwa na akili zangu timamu na upeo wa kutosha kuhusu mpira wa miguu. Mwaka huu 2023 ndiyo mwaka historia mpya inaenda kuandikwa kwa Simba kuchukua kombe la CAF Champions...
10 Reactions
108 Replies
5K Views
Kama ilivyoada mwishoni mwa mwaka ...Leo nawaletea best perfomer wa jukwaa la michezo na sifa zao Kwa mwaka huu 2023 1. Kalpana ...24 hrs yupo kwenye jf sports...sijui anapika saa...
8 Reactions
49 Replies
2K Views
Habari za wakati huu ndugu zangu katika jukwaa hili? Hivi ni sahihi hii timu kuitwa Kilimanjaro stars ilhali jina kilimanjaro linawakilisha mlima na mkoa? Inaleta contradiction. Kwanini kama...
2 Reactions
16 Replies
919 Views
Jonathano Sowah ni streika wa timu ya Madeama kutoka Ghana ambayo imecheza mechi mbili naa Yanga siku za hapa karibuni. Baada ya mechi ya kwanza mashabiki wengi walimpigia chapuo kwamba ndie...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Wanalizombe Jambo hili ni letu. Tumuombe Mhe. Dr Jokate atusaidie kufufua timu yetu ya nyumbani
1 Reactions
20 Replies
819 Views
Kwa mfano kwa Uingereza wasemaji wa mambo yote ya club zao za soka ni Mameneja , hawa ndio wanaofanya mikutano yote na Waandishi wa Habari kuhusu timu zao , Masuala yote ya mechi ikiwemo Ufundi na...
6 Reactions
47 Replies
2K Views
Acha kumtupia lawama Ayub Lagreb tuliyemsifu kwenye gemu Wydad Casablanca kwa kufanya saves za kutosha nasema acha kabisa. Tatizo lipo kwa wachezaji (saikolojia Yao) waliingia na matokeo mfukoni...
11 Reactions
12 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…