Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Akina GENTAMYCINE tukisema JF kuwa Timu inayoshinda kwa Uwezo wake wenyewe wa Uwanjani ni Simba SC mnakataa.
9 Reactions
23 Replies
1K Views
Naangalia magoli ya Yanga dhidi ya KMC jana imenishangaza kuna goli Yanga walifunga refa akashangilia.
10 Reactions
68 Replies
2K Views
Mara ya Mwisho 5imba kutwaa ubingwa wa Ligi kuu Tanzania bara mambo yalikuwa hivi -; 1.Laizer alikuwa na jiwe la Tanzanite, amelificha mahali anasubiri kuuza 2.Magufuli alikuwa mgombea Urais CCM...
5 Reactions
15 Replies
610 Views
Wacongo si wachezaji wenye akili mara nyingi. Mimi binafsi huwa siwakubali waswahili swahili sana. Huyu dogo galasa naye anataka kutunushiana misuli na club kubwa afrika? Ana akili huyu...
5 Reactions
41 Replies
1K Views
Colina Pierluigi moja ya marefa Bora katika Historia ya soka na Mwenyekiti wa marefa wote toka shirikisho la mpira duniani FIFA. Amenukuliwa akitoa pendekezo kuhusu upigaji mpya wa penati...
1 Reactions
22 Replies
616 Views
Kwa wale wapenzi na mashabiki wa PAMBA timu ya Mwanza iliyopanda ligi. Timu iliyowahi kutupa furaha watu wa Mwanza na viunga vyake especially Kanda ya ziwa. Tukutane hapa kuwa tunapeana updates za...
3 Reactions
16 Replies
581 Views
Najaribu kuwaza: Haya Magoli 1000 ambayo nimekua nikiyasikia toka midomoni mwa Kaka zetu, wajomba pengine wazee na vikongwe kuhusu Pele na Magoli yake 1000 ni Chai kongwe kuwahi kutokea kwenye...
9 Reactions
166 Replies
2K Views
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema maendeleo ya ujenzi wa Uwanja wa Michezo wa Arusha unaotarajiwa kutumika kwa ajili ya...
2 Reactions
4 Replies
382 Views
Fabrice Ngoma wachambuzi wa ndani na nje ya Nchi wanamuita Midfielder teacher, anapiga pass kwa usahii, anakaba kwa akili nyingi sana ni kiungo aliyekamilika na kiongozi mzuri sana uwanjani...
3 Reactions
41 Replies
971 Views
Sasa kwanini usiombe tu Kazi huko Kwao ili tujue moja? Mechi yetu nawe najua utatukazia mno na hata Kushirikiana nao Kuroga / Kuturoga.
5 Reactions
27 Replies
907 Views
angalieni live zamaraditv
1 Reactions
9 Replies
384 Views
Football ni mchezo uliotengenezewa udikiteta mwingi sana.. Moja ya udikiteta huo ambao kwangu nauona kama kero ni role ya refa mchezoni..mathalani: 1. Uamuzi wa Refa utakuwa wa mwisho katika...
5 Reactions
18 Replies
419 Views
Nickname(s): Roș-albaștrii (The Red and Blues) Founded: 7 June 1947 President: Valeriu Argăseală Head Coach: Elias Charalambous League : League 1 Website: fcsb
0 Reactions
34 Replies
475 Views
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Yanga, Abdulrahman Mnero aliyefariki dunia jana kwa ajali ya barabarani anatarajiwa kuzikwa saa 10:00 jioni ya leo huko Mbagala Kingugi, jijini Dar es...
1 Reactions
17 Replies
905 Views
AFARIKI KISA SIMBASC . [emoji419] Mwenyekiti wa tawi Kiwalani Jijini Dar es salaam Amefariki Dunia Jana kwa presha Baada ya Simba kufungwa Na Yanga Dakika Za Jioni . Bwana alitoa Bwana Ametwaa...
12 Reactions
65 Replies
3K Views
Hili Jambo linashangaza sana, Kuna namna fulani ya kimazingira haijakaa sawa. JKT pia ilikuwa hivihivi, Sasa ni Dodoma Jiji, Pia kuna mazingira ya timu bora mfano Tabora utd kupata majeraha ya...
3 Reactions
25 Replies
983 Views
Kila siku tunalalamika kuhusu waandishi wa habari za michezo nchini kukosa weledi wa kuuliza maswali Jana baada ya mechi Kocha wa KMC aliulizwa swali ambalo kocha huyo alijibu sawa sawa na...
3 Reactions
8 Replies
595 Views
Je, ni rafiki yake?; je, anampa pole kwa kusugua benchi? je , anawalaumu makocha kwa kutompa nafasi Sureboy ya kucheza? Au ni nini alimaanisha?
1 Reactions
21 Replies
903 Views
KITENDO SI CHA KIUNGWANA Jana nilisikia Chasambi baada ya Kufunga goli alihojiwa na kusema "Goli hili anampa MZUNGU" akiwa na maana ya kumkashifu Haji Manara jambo si la kiungwana lile na...
3 Reactions
212 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…