Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

1 Reactions
1 Replies
98 Views
“Kuna tatizo gani kwa klabu kubwa kama Yanga kila msimu lazima kuwe na wachezaji au makocha wanaoidai klabu hiyo? Inaelekea mahali fulani katika klabu hiyo hajapakaa sawa. “Mchezaji mwenye...
7 Reactions
14 Replies
559 Views
Mshambuliaji wa @singidablackstarssc akiri wazi kutamani kucheza @yangasc kutokana na mapenzi aliyokuwa nayo na Rais wa @yangasc @caamil_88 "Yanga ni nyumbani kwangu Rais wa Yanga ni kama Baba...
2 Reactions
18 Replies
698 Views
Kwahiyo wala msipoteze muda wenu kusubiria Matokeo yao ya Kesho au Keshokutwa hapo Mwenge Kwao kwani si tu kuwa Watafungwa bali Watafungwa nyingi sana.
4 Reactions
22 Replies
854 Views
Luis Figo, Zinedine Zidane, Rolando De Lima, Raul Gonzalez, Gonzalo Higuain, Ronaldinho Gaucho, Steve MacManaman, Michael Owen, Patrick Cluvert, Rivaldo, Ricardo Kaka na wengineo wengi, watu kama...
2 Reactions
25 Replies
802 Views
Leo ikiwa ni alhamisi basi ni siku ya TBT. Huyu hapa beki kisiki anayeogopww na fowadi nzima ya Uto, Abdulrazak Hamza, hapa akiwa Mbeya City. Alikuwa na miaka 12 tu ila balaa lake lilikuwa la...
2 Reactions
24 Replies
710 Views
Sasa hivi kinachoendelea katika ligi yetu sio kitu cha kawaida, sio tena uwezo wa kocha wala wachezaji, ndio maana unaona kocha anafukuzwa leo na kesho timu inapata matokeo kama kawaida, kocha...
5 Reactions
18 Replies
792 Views
Timu ya Singida Black Stars imegoma kuingia vyumbani kwenye mchezo wao dhidi ya JKT Tanzania unaochezwa Meja Jenerali Isamuyo, Mbweni. Singida BS wamegoma kutumia vyumba vya kubadilishia nguo...
2 Reactions
10 Replies
464 Views
  • Redirect
Wakuu Mshambuliaji wa Singida Black Stars amesema; "Yanga ni kama nyumbani kwangu hata Singida walipokuja niliwaambia hivyo, yule Rais wa Yanga ni kama Malaika kwangu ni Baba kwangu na nafahamu...
0 Reactions
Replies
Views
Nimesikiliza radio One leo, (huwa sisikulizi radio) Sasa jamaa wao ni makelele ya MCHEZO SUPA na kupiga simu Kwa wasikilizaji. Yani jamaa anaongea hajamaliza mwingine anaongea na mwingine...
3 Reactions
6 Replies
234 Views
Wakazi na wale wenyeji wa Iringa. Naomba mnielekeze sehemu ambayo ni nzuri kwa kujifunza boxing, Mimi ni mgeni katika mkoa huu na nmepata wazo la kujifunza Tamaduni hii ya ngumi (Boxing) kwa lengo...
3 Reactions
20 Replies
284 Views
The gambling industry is growing every day in Africa, with lottery games attracting more and more young people. In Africa, Zambia ranks seventh, behind South Africa, Nigeria, Kenya, Uganda, and...
1 Reactions
5 Replies
743 Views
Tuna malengo gani na timu ya taifa? Hivi karibuni tunaenda kukiwasha Afcon kwanini TFF wasitafute kocha aliyewahi kufikisha timu ya taifa yoyote katika hatua ya robo fainali ? Au tunaenda...
1 Reactions
11 Replies
326 Views
Ubaya Ubwela kwa vitendo. • Timu kubwa KILELENI. • Timu ya Wanawake KILELENI. • Timu ya Vijana KILELENI. Kwa Simba ndo Timu bora afrika mashariki na kati
3 Reactions
5 Replies
158 Views
Ni wachezaji wachache sana wanaoweza kurudisha kiwango chao hasa waliotumika mda mrefu Huyu jamaa msimu uliopita alikuwa na wakati mbaya sana. Na kwa kweli mashabiki walikuwa wameshapoteza...
5 Reactions
20 Replies
649 Views
Halafu mwambieni asipoteze muda kuwatafuta Wazee wa Simba SC wamsamehe kwani hiyo 'Pini' ni ya kudumu daima.
3 Reactions
18 Replies
1K Views
Mpaka sasa ligi kuu TANZANIA BARA ilipofikia unadhani ni goli gani linapaswa kuwa goli bora la msimu huu wa 2024/2025 Kwa upande wangu goli alilofungwa dijgui diara na SELE BWENZI wa kengold(FULL...
7 Reactions
42 Replies
1K Views
Waingereza ni watu wabaguzi sana. Mashabiki wa Liverpool na wapenzi wa mpira wa miguu wanajiuliza mbona mwamba hapewi mkataba mpya Viongozi wa timu wamekaa kimya kama hawamuoni mwamba, na Yuko on...
6 Reactions
37 Replies
1K Views
Kipa wa Simba, Moussa Camara amefikisha clean sheet ya 14 kwenye ligi msimu huu akicheza mechi 18 akiendelea kuongoza. Clean Sheet hizo zinalingana na zile ambazo Djigui Diarra wa Yanga...
3 Reactions
24 Replies
860 Views
Back
Top Bottom