Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Kwa kweli bila mama jana ilikuwa tunakufa nyingi ila mama kasaidia tumefungwa chache, nani kama mama.
8 Reactions
19 Replies
830 Views
Rejea gazeti la mwananchi.
0 Reactions
5 Replies
503 Views
Mie ni Simba lkn yanga ni kiboko dunia hii https://www.facebook.com/reel/724883866181121/?mibextid=ZKlF025XJ6KyrSs8
0 Reactions
2 Replies
544 Views
Hakuna haja ya kuleta ujinga kama huu uwanjani, jana Taifa Stars imedundwa na wananchi wameshangilia.
3 Reactions
11 Replies
963 Views
NESTORY IRANKUNDA, kutoka Wilayani Kasulu, Kigoma, Tanzania mpaka Australia ambapo leo anahitajika na Klabu ya Bayern Munich ya nchini Ujerumani! Ndoto za Nestory Irankunda ni kuitumikia Tanzania...
6 Reactions
46 Replies
5K Views
HAKUNA KUINGIA UWANJANI. Timu bila kocha, CADENA out. Kaua makipa wa Azam, kaua kiwango cha Ally Salum. Kafarakanisha timu, Anaitaka timu. Kama Mo kagoma dili la kipa basi MGUNDA in.
6 Reactions
8 Replies
797 Views
Nikiri kuwa nilikuwa simfahamu huyu kipa. Nasikia anacheza Sweeden, je anafaa kuwa Tanzania one? Amekana uraia wa sweeden? (nje ya mada) Karibu.
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Hiki ni kikosi cha Yanga nadhani 2005 unawatambua wangapi na uwataje! NB: Vijana mlioanza kufatilia baada ya AzamTv kueni wapole
1 Reactions
9 Replies
714 Views
Baada tu wachezaji kuingia uwanjani mashabiki wa Brazil walianza kuwarushia vitu mashabiki wa Argentina, ndipo vurumai kubwa lilipotokea. Wachezaji wa Argentina wakiongozwa na nahodha wao Lionel...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Salaam, Viongozi wa Simba nawapa tahadhari tena msije kukurupuka kumsajili Victorien Adebayor raia wa Niger aliyeshuka kiwango sana Mchezaji huyu amepoteza namba kwenye taifa dogo kimpira Niger...
4 Reactions
42 Replies
3K Views
Kwanini nasema hivyo? Kwasababu yanga/utopolo ndio ina washabiki wenye roho ngumu kuliko wote hapa Afrika, wanawezaje kukaa na maumivu ya kupigwa 5 kwa 0 pale kwa mkapa mpaka leo hii,ikiwa sisi...
4 Reactions
19 Replies
827 Views
Timu ya Everton imekatwa pointi 10 katika Ligi Kuu ya England (Premier League) kwa kosa la kukiuka Kanuni ya Fedha (Faida na Uendelevu), hali ambayo ilitokea katika Msimu wa 2021/22. Baada ya...
5 Reactions
26 Replies
3K Views
19 November 2023 Dar es Salaam, Tanzanie Jijini Dar es Salaam timu ya taifa ya Morocco inaendelea na mazoezi ya utayari kukabiliana na timu ya Tanzania Taifa Stars المنتخب الوطني يواصل...
1 Reactions
10 Replies
904 Views
Asec Mimosas ya Ivory coast ilichukua caf champions league mwaka 1998 mwaka ambao pia Yanga ya TZ. Ilishiriki. Pia Asec walichukua super cup 1999 kombe linalotolana na mechi kati ya bingwa wa...
5 Reactions
9 Replies
778 Views
Nimesikiliza leo vipindi vya michezo kuanzia wasafi, Efm, clouds na sasa nasikiliza kipenga aisee naona kuna script hawa watangazaji na wachambuzi wamepewa maana hizi kauli za kumshukuru mama na...
5 Reactions
15 Replies
980 Views
Hapa sasa Mwakinyo kaanza kuwa mwelewa kwa sababu huko nyuma alikataa wito wa mahakama mpaka kupelekewa wito kupitia gazeti la Mwananchi. Pia wakili wake kakubali kusuluhisha mambo yao nje ya...
2 Reactions
9 Replies
988 Views
Mechi inapogwa muda huu, mpaka sasa ni kipindi cha mapumziko Niger 0 Tanzania 0 == Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ imeanza vizuri Kuwania Kufuzu Kombe la Dunia 2026 baada ya kuichapa...
8 Reactions
200 Replies
14K Views
Klabu ya Tanzania Prisons imefikia makubaliano ya kuvunja mkataba na Kocha Fredy Felix Minziro ambaye amedumu klabuni hapo kwa muda wa miezi minne toka aliposaini Julai 14, 2023. Minziro...
1 Reactions
6 Replies
768 Views
Baada ya timu ya wanaume ya Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini kutwaa kombe la African Football League (AFL), jana ilikuwa zamu ya timu ya wanawake ya Mamelodi kutwaa Kombe la Klabu Bingwa Afika...
3 Reactions
10 Replies
738 Views
Just been told: Simba SC have officially opened talks with Tunisian gaffer Radhi Jaïdi (48) to take over as the club’s new head coach. [emoji599][emoji1249] Jaïdi previously worked at...
1 Reactions
34 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…