Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Huu uwanja tuupige vita, yaani wanalinda wanajeshi usku na mchana, hata taratibu zetu za jadi tumeshindwa kuziingiza na kuzichimbia uwanjani... Hawa jamaa usiku kucha wanalinda kwa mabunduki...
8 Reactions
20 Replies
727 Views
Wadau wasalaam Hivi kila kitu mpaka kianzie playa Kwanini kwenye score board tofauti ya muda wa kuanza mechi na kumalizika isiwe inaonekana,sio libaki swala la referee kwa discretion yake Mfano...
0 Reactions
19 Replies
456 Views
Unaambiwa mwaka 1941 uto alichezea kipigo cha mbwa koko. Hii rekodi hawatokuja kuisahau
4 Reactions
26 Replies
596 Views
Leo mtani wetu klabu ya Yanga imetimiza miaka kadhaa tangu kuanzishwa,, ingawa imeangukia siku mbaya baada ya Jana kuangukia pia baada ya kutoa sare na Jkt ya masau bwire ila ndio hivyo maisha...
1 Reactions
5 Replies
184 Views
Huyu Arajiga ni refa wa kimkakati anaotumiwa na TFF iliyowekwa kiganjani na Yanga, mechi zote za Yanga tangu mwaka jana ameibeba Yanga kwa kufanya maamuzi ya hovyo,mechi nyingi za Simba ameionea...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Arajiga ni mwamzi Bora kabisa katika nchi yetu tukubali tukatae, akiamua mchezo kila mpenda mpira Huwa anaridhika kabisa na kuona haki imetendeka Arajiga msimu huu pekee amechezesha mechi za...
2 Reactions
51 Replies
1K Views
Muda huu kungekuwa na msiba mzito kwenye baraza la mawaziri kama nyuma mwiko angefungwa, Naona wanajeshi bado wana mishahara yao wamegomea bahasha na kocha wala hana shobo na nyuma mwiko.....aibu...
2 Reactions
6 Replies
300 Views
FT KMC 2-0 Singida BS Ikumbukwe pia jana Azam alipigika kwa Pamba Jiji
2 Reactions
9 Replies
379 Views
Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane! Wakati wenzao wakifungua mabox ya zawadi Leo,upande wa pili wao wamefungua midomo na kutoa milio ambayo Kwa takribani siku kadhaa haikuwepo baada ya...
4 Reactions
26 Replies
1K Views
Ehhh wakuu, Kuna hatari inakuja, kuna mapinduzi yanakuja. Kwa ambao hamjui maana ya falsafa ya Yanga maarufu kama gusa achia twende kwao ni kwamba, Mchezaji hatakiwi kukaa na mpira zaidi ya...
7 Reactions
20 Replies
850 Views
Kijana acha kubeti, amua kuachana na utumwa huo bettingi haitakuacha salama Katika betting sio tu unapoteza pesa bali unapoteza na uwezo wa kufikiri, ubunifu nk Betting inaweza kuathiri sana...
25 Reactions
119 Replies
5K Views
Leo Azam fc- imekubali kipigo kutoka Kwa Pamba Jiji Hiki kipigo kinamaanisha kuwa ametoa nafasi ya Simba kushika nafasi ya pili Kwa maana hiyo Simba hatacheza tena shirikisho msimu ujao Karibu...
6 Reactions
60 Replies
2K Views
Chukua hii Pele na diogo hawakuwahi kushinda izo tuzo wakicheza Wala hawakuwahi kushindanishwa But PELLE honored a ballondor 2013 na alipewa tuzo 7 kwa pamoja za heshima tu MARADONA alipewa...
2 Reactions
6 Replies
173 Views
Hamdi Kocha wa Yanga "Ukiwa unafukuzia ubingwa ni ngumu kukaa kileleni, ni bora kukaa nafasi ya pili ukiwa unampumulia kinara wa ligi, narudia tena hakuna kazi ngumu kama kukaa kileleni" "Halafu...
0 Reactions
3 Replies
379 Views
Bila GSM kudhamini timu kibao sisi yanga tungeshuka daraja😞 Rasmi nahamia simba
1 Reactions
1 Replies
175 Views
Kuna muda inakera sana unakuta wachezaji wa timu nyingine hawapo loyal na team zao, timu ikifungwa wanachukulia poa tu, wachezaji wanarogana ndani ya team, n.k. Ukija upande wa Yanga hali ni...
7 Reactions
23 Replies
1K Views
Refa kaongeza dk 5 kipindi cha kwanza na dk 9 kipindi cha pili na dk 4 nyongeza yake kwenye mechi moja. Yaani nyongeza ya dk 5+9+4 = 18 . Hii ni aibu ya kipumbavus. Mwamuzi anaongeza dk kutokana...
7 Reactions
51 Replies
993 Views
Niwape hii. Aliyewahi kuvaa Jersey number 6 Yanga anarudi kuivaa tena msimu ujao. ✅💯 Walid na mchumba wa Hamissa wanaondoka✅💯 Winger wa Central African Republic aliye Chamazi kama Azam hawata...
7 Reactions
33 Replies
1K Views
Wanajamvi, Sijajua hawa Bodi ya Ligi huwa wanatumia kigezo gani kumpata mchezaji bora wa msimu yaani MVP, Ninachojua ni kuwa mchezaji akiwa na magoli mengi,au asist nyingi basi mchezaji huyo ana...
1 Reactions
9 Replies
290 Views
Back
Top Bottom