Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Salamu hazina maana tunazeeshana bure. Ukiangalia mechi ya kwanza hapa kwa Mkapa wenyewe mtayaamini maneno yangu, Simba walikuwa vizuri sana, Waarabu wapo hovyo, upangaji wa kikosi wa Robertinho...
3 Reactions
6 Replies
740 Views
Kauli yangu ni moja tu na tena ni Takatifu kabisa kuwa HATUMO na TUMESHATOLEWA rasmi Mashindanoni hivyo hizo Kauli zenu za Kinafiki na Kipuuzi za Timu zetu KUFA KIUME msiwe mnazisema mbele yangu...
7 Reactions
8 Replies
662 Views
Je ni salama kwa wachezaji ? ukiangalia uwanja wa Taifa wa Benjamin Mkapa una taa karibia 200 na ushee kwa ajili ya gemu za usiku ila kuna hivi viwanja vingine vina taa hata 5 hazifiki na mpira...
3 Reactions
11 Replies
880 Views
Serikali kupitia wizara ya utamaduni, sanaa na michezo imetoa tamko rasmi kutokana na video inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii ikionesha kuvuja kwa maji katika moja ya sehemu ya Uwanja wa...
0 Reactions
4 Replies
555 Views
Mechi ya hiy tajwa inaonesha bado tunasafar ndefu ya kumakiza tatizo la mpira uchweze zaid na kupunguza kusimama bila sababu na mech ya leo mwamazi aliongoza hiloo. Kil ikitokea faul alikuwa...
2 Reactions
5 Replies
954 Views
Mapema mwaka huu Al Ahly walitukwepa Na kidondokela wakachukua kombe la CAF CL dhidi yaWydad Na jana refa akawa anafanya kila mbinu ili mtukwepe tena kwa kumpa a straight red card beki wetu...
5 Reactions
26 Replies
1K Views
Nadhani Leo hakuna doubt kuwa Al ahly wako home ground so ule uchawi wa makolo uliozuia magoli 5 ya Al ahly haupo kama mnavyojua uchawi haupandi ndege za mzungu Hivyo basi Kwa uchambuzi...
5 Reactions
35 Replies
2K Views
SIMBA NA AL AHLY WOTE WABOVU Kwa uchambuzi wangu mechi ya Jana ..... tittle ni walicheza sio waliocheza "Al Ahly na Simba wote wabovu, Yanga akicheza na Simba dakika 45, anamfunga Simba na...
6 Reactions
35 Replies
2K Views
Mimi sio Mchambuzi wala Kocha, natoa maoni yangu kwa uzoefu ninaoona kwa kile kinachofanywa na makocha wengine. Katika mchezo wa jana Ahly na Simba, Sub ya Kenedy ilikuwa sub muafaka kwa wakati...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
🎯HILI LINASIKITISHA SANA NA KUFURAHISHA PIA. By Lackson Tungaraza ♦️Pichani ni mchezaji wa mpira wa miguu katika kilabu ya Manchester United iliyopo Uingereza. Jina lake ni HARRY MAGUIRE na...
1 Reactions
0 Replies
914 Views
Mapema mwaka huu Al Ahly walitukwepa Na kudondokela wakachukua kombe la CAF CL dhidi ya Wydad Na jana refa akawa anafanya kila mbinu ili mtukwepe tena kwa kumpa a straight red card beki wetu...
0 Reactions
10 Replies
625 Views
Jeshi la Polisi Mkoa Ruvuma katika kuzuia na kutanzua uhalifu kwa kipindi cha Mwezi Septemba 01.2023 hadi Oktoba 25,2023 limeendesha Opereseheni, misako na doria mbalimbali maeneo yote ya Mkoa wa...
0 Reactions
2 Replies
598 Views
Habib habib shabiki damu kindakandaki wa timu pendwa timu namba 1 kwa ubora Afrika Al ahly baada ya kucheza Africa football league na timu bora ya simba michuano ambayo imekutanisha giants wa...
7 Reactions
36 Replies
1K Views
Hello wadau... Kwa Miaka ya karibuni soka la Tanzania limekua na mvuto mkubwa kiasi kwa sasa ni rahisi tu Kwa shabiki hata wa shule ya msingi kukutajia kikosi cha kwanza cha Simba au Yanga bila...
3 Reactions
10 Replies
560 Views
CEO wa Yanga Eng.Hersi saidi alisikika akisema wao Mpango wao ilikuwa ni Kufika Makundi! Ina Maana Matokeo Mengine yakija ni Bahati tuu Au Mbeleko? Au ndio kwenda unajificha kwa kuogopa? Hakuna...
8 Reactions
36 Replies
2K Views
Kuna jambo ambalo nilianza kulinotice msimu uliopita. Nakumbuka kuna kipindi ambacho Simba akishinda 4, Yanga anashinda 4, Yanga wakifunga goli kama la Mudathir Yahya dhidi ya TP Mazembe, Simba...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Tukiweka ushabiki pembeni, kwa miaka ya hivi karibuni, club zetu za Simba na Yanga zimekuwa daraja moja na timu za kiarabu ambazo tunaziona kama ni daraja la juu sana kulinganisha na za kwetu...
19 Reactions
50 Replies
4K Views
Habib habib shabiki damu kindakandaki wa timu pendwa timu namba 4 kwa ubora Afrika mashariki na kati Al Merreikh namba moja ni Simba mbili ni mazembe tatu al hilal nne ni al merreikh. Lengo letu...
17 Reactions
58 Replies
4K Views
Utopolo walienda na matokeo uwanjani. Walidhani Simba itafungwa. Haikua hivyo. Kauli zao kwa Sasa ni: 1. Simba asanteni kwa kushiriki. 2. Wakienda Misri watapigwa nyingi. 3. Ingekua Yanga...
13 Reactions
47 Replies
2K Views
Mwaka 1993 wakati Simba ilipoingia fainali ya kombe la Mashudu Abiola kiongozi na mfadhili wa Simba wa wakati ule ndugu Azim Dewji aliwahadaa wanasimba kwa kutoa zawadi ya gari/daladala za Chai...
6 Reactions
27 Replies
1K Views
Back
Top Bottom