Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Walivyokuwa wanamprovoke Maguire pale United mambo yalipokua hayaendi sawa walijua ndio mwisho,Saivi gari limebadilika wanajisahaulisha.. Simba vs P.dynamo mashabiki walibeza Sub ya Bocco...
1 Reactions
3 Replies
962 Views
Zimepita siku kadhaa, Simba SC walitangaza Jezi ambazo watazitumia kwa ajiri ya Michezo ya AFRICAN Football League ambazo Zilitakiwa kuwa na Logo za Wadhamini wa Mashindano na Logo ya shindano...
3 Reactions
5 Replies
542 Views
SALAAM WAKUU. Wakuu kama tunavyofahamu kuwa Al ahly ndio bora zaidi Afrika ikiwa ndio timu yenye mengi ya kimataifa kuliko timu zote duniani. Kwa iyo ili kupima ubora lazima uangalie rekodi zako...
16 Reactions
100 Replies
4K Views
Good morning ladies and gentlemen, Jana nilipata nafasi ya kuangalia boli la AFL. Sina mengi ya kusema maana nimepumzika kuongelea sana kuhusu mambo ya mpira huku mitandaoni ila nina maswali...
5 Reactions
29 Replies
4K Views
Kwa muda Mrefu mimi binafsi na wasomi wengine tumejitahidi humu na kwingineko kuelekeza na kuonya kwamba, hakuna haja yoyote kwa Wanasiasa kujichomeka kwenye soka na kuvitumia Vilabu vya soka...
2 Reactions
26 Replies
1K Views
Vikongwe wa msimbazi waendelee kupiga cha ndimu keshokutwa,kwani super league ni kiherehere chao tu ndicho kilichowapeleka huko na wamechezeshewa kisago waanze ligi mapema sana yanga hatutoki kileleni
3 Reactions
11 Replies
849 Views
Mwaka jana mke wetu Al Ahly alitukwepa kwenye CAF CL Akapata kombe la ndondokela dhidi Wydad Sasa tunakutana kwenye AFL,mjiandae na muupake kabisa mafuta Enyi wana simba njoeni mumuone kaka...
0 Reactions
0 Replies
312 Views
Wakuu japo nimetanguliza uzalendo mbele kwa taifa na nchi yangu, Ila upenzi wa kandanda safi na la burudani, unanifanya nitamani mnyama ashinde njaa Misri Nakumbuka kama isingekuwa makosa ya...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Baada ya Simba kushindwa kufua dafu ugenini Al Ahly wapata nafasi ya goli la ugenini kanuni yaibeba Al Ahly mpaka nusu fainali ambapo anakutanishwa na wamba wa Afrika Kusini. Mamelodi waibuka...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Derby gan kila mnapocheza iwe uwanja wa Tandika mabatini, iwe uwanja wa Bandari, iwe uwanja wa kinesi, iwe uwanja wa mkwakwani, iwe uwanja wa mkapa, iwe uwanja wenu wenyewe wa chamazi, iwe uwanja...
6 Reactions
21 Replies
1K Views
"Ila Yanga wachawi dadeki zenu hakuna aliyeondoka kwa amani akapata mafanikio, Nabi kule mapema kaondoshwa club bingwa huku Caze mechi 6 zote chali [emoji16][emoji16][emoji16] oyaaaaa punguzeni...
4 Reactions
30 Replies
1K Views
Wanapost sana kwenye mitandao yao na kujisifu kuwa wametolewa kikanuni but Yanga ilipoondolewa kikanuni pia walibeza sana Leo hii kanuni ndio IMEKUWA kichaka Chao Cha kuficha madhaifu yao! Kufuzu...
4 Reactions
5 Replies
1K Views
Nataka nicheki mpira wa chelseafc na Real Madrid app ipi ni nzuri nitakayoiangalia ambayo haitumii mb kubwa yaani iwe 500 MB kushuka chini naombeni wadau
1 Reactions
30 Replies
21K Views
Baada ya kushuhudia mechi tamu kutoka kwa Al Ahly akimkaribisha mpinzani wake na mshindani wake wa siku zote Simba Mechi ambayo imetamatika kwa sare ya bao 1-1 na kumfanya Al Ahly avuke kwenda...
1 Reactions
34 Replies
5K Views
Nikiwa kama shabiki wa Azam nimesikitishwa mno na perfomance ya timu Yangu hasa kwenye ukabaji wa timu Timu ya Azam linapokuja suala la ukabaji ni wachezaji wachache sana wanaotimiza wajibu wao...
4 Reactions
31 Replies
2K Views
Simba kesho inabidi ashinde au vinginevyo atoe sare ya mabao 3-3 ndio aweze kufuzu kucheza nusu fainali. Hii ni kwa mujibu wa sheria ya goli la ugenini kuhesabiwa mawili pale magoli yanapokuwa...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Dakika ya nne ya mchezo tayari keshatoa kadi nyekundu kwa mchezaji wa Mamelodi Beki wa Mamelodi ndiyo alicheza faulo ila haikustahili straight red card Tunajua Al ahyl hana ujanja mbele ya mume...
0 Reactions
14 Replies
770 Views
Nawaheshimu Al Ahly, lakini si kwamba hawafungiki, leo watalazimika kulitema tonge kabla hawajalimeza! Hii itapelekea wanaoichukia Simba kuumia sana! Ila sina jinsi ya kuwasaidia itabidi...
2 Reactions
7 Replies
984 Views
Sina iyo kumbukumbu labda mwenye nayo atujuze, hat trick kwenye derby sio jambo la kitoto eti ni mpaka uwe Bora aswaa na uwe fiti kwa 100%. Mchezaji aliyekamilika atapimwa kwenye mechi ngumu Kama...
15 Reactions
38 Replies
2K Views
Shabiki wa Yanga aliyejitambulisha kwa jina la Baba Rabiyat ametoa ahadi ya kupunguzwa idadi ya vidole kwenye mkono wake wa kulia endapo Simba itashinda mchezo wa leo dhidi ya Al Ahly! Source...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Back
Top Bottom