Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Je, ni uchumi kukua kiasi kwamba watu wanapesa za kula na za anasa na burudani? Je, ni ugumu wa maisha watu wameamua kupoteza lengo katika burudani na michezo? Je, ni kukua kwa kiwango cha...
4 Reactions
21 Replies
1K Views
Mpira wa miguu una mambo yake wakati mwingine usilotegemea likatokea na unalotegemea lisitoke na ndiyo maana kwenye Betting kuna fedha nyingi sana. Timu yangu ya Young Africans inapewa nafasi...
4 Reactions
75 Replies
4K Views
Kipa aliye Fiti 99.9% kwa sasa ni Mwarabu Ayubu Lakred na kutokana na Urababu wake na ikizingatiwa leo tunacheza na Waarabu Wenzake Kiutamaduni na Kinujumu akidaka Yeye atatusaidia na Mechi kuwa...
8 Reactions
68 Replies
6K Views
Kuna za chini chini Zina vuma kuwa huu mtego wa Al ahly utamuondoa sambaroketo boy. Alitafutwa kwenye gemu ya power dynamo akawa ameutegeua huo mtego kwa kudroo ikawa pona yake Sasa viongozi wa...
2 Reactions
16 Replies
877 Views
Unajaua hata kama tumefungwa lakini hatua tuliyo ifikia nyie vyura amauwezi fika miaka buku. Kwa mpila wa leo karibu dunia nzima wameangalia, alafu hii ndo mechi ambaya club za Africa zimekutana...
2 Reactions
13 Replies
980 Views
Mnaenda kucheza na Professional players ambao they can make a difference popote na muda wowote. Mambo ya kwa mkapa hatoki mtu, sio agenda tena kama ilivyokuwa kwa RAJA de Casablanca. Nimeongea...
2 Reactions
31 Replies
2K Views
Baada ya Vilabu vikubwa vya Ulaya kufanya uasi juu ya UEFA na FIFA kwa kutaka kuanzisha Super League, FIFA chini ya Professor Wenger waliwaza ni vipi watapunguza kiburi cha Vilabu Ulaya? Wakaja...
3 Reactions
4 Replies
835 Views
Tanzania kukubali kuwa mwenyeji katika ufunguzi wa mashindano haya ya Caf ni heshima kubwa sana. Hivyo haiwezekani uongozi wa Caf ukubali Simba ifungwe game hii ya ufunguzi. Hivyo itakuwa tayari...
2 Reactions
13 Replies
968 Views
Leo ndio leo. Hatimae ile siku iliyo subiriwa miezi kadhaa imetimia ni masaa wachache tu tukashuhudie mnyama simba akiandika historia nyingine. Simba anakuwepo katika kundi la timu chache...
0 Reactions
4 Replies
430 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Rais wa Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) Dkt. Patrice Motsepe mara baada ya kuwasili Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma...
1 Reactions
5 Replies
799 Views
Hivi hata message za msiba mpaka wakopi na kupaste hii ni aibu sana kwa taifa na wananchi. Hizi tim janja janja zimekua nyingi kama wanaajili watu hawajui ngeli ni aibu kwao.
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Watu wa msalaba mwekundu( huduma ya kwanza) kimekua ni kichaka Cha kupotezea muda haswa pale timu inapokua inaongoza. Nijuavyo Mimi na Kama Kuna mtu anajua zaidi atanisahihisha. Huduma ya kwanza...
9 Reactions
36 Replies
2K Views
Nimeshangazwa na hii habari iliyoandikwa na ukurasa wa mtandao wa mwananchi kuona Ally kamwe kupigwa faini. "Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga, Ali Kamwe ametozwa faini ya Sh1 milioni kwa...
1 Reactions
21 Replies
1K Views
Ndiyoo!! Nilishangazwa na timu ya Simba sc kuomba mchezo wao dhidi ya Singida fountain Gate Fc kupelekwa mbele ili wafanye maandalizi ya kukutana na Al ahly ya Cairo misri. Ni Bora Simba sc...
3 Reactions
47 Replies
3K Views
Wamezoea kupenyeza ushirikina katikakati ya uwanja na kufukia uchawi lakini safari hii wale wanaowatumiaga wanajiita "makomandoo" uchwara wamepigwa marufuku kuingia ndani ya uwanja wakijifanya...
2 Reactions
12 Replies
932 Views
Al ahly hawawezi kuruhusu kupigwa na kikosi kibovu chenye wachezaji wazee Kama Saidoo ntibazonkiza, John Rafael Bocco na Yule mchezaji mwenye speed ya Konokono. Hawa wazee watambe wanapo tamba...
3 Reactions
20 Replies
887 Views
Huyu Robatinyo sio kocha hata kama tumefungwa lakini hela tumepata. Makolo today 🤣🤣
1 Reactions
20 Replies
757 Views
Yanga wanajinadi ni Mabingwa wa Kihistoria mara 28, naomba wapige picha au video fupi ya hayo Makombe 28 ya Ligi Kuu yaliyoko kabatini. Bila shaka Makombe hayo yote wanayo basi watuonyeshe.
2 Reactions
5 Replies
353 Views
Hi michuano inapeleka upendeleo kwa baadhi ya vilabu hususan hivi vikongwe Kama Raja Casablanca, AS Vita, Yanga Africa, kaizer chief na club afrcane ya nchini Tunisia Nimeona baadhi ya video...
7 Reactions
26 Replies
2K Views
Kama ilivyo kawaida kwa mechi kubwa inavyokuja mimi kama Mchambuzi Bora hapa JF lazima nilete analysis ya mechi before Ili kumsaidia kocha kufanya right decision at right time. Japo nimemsikiliza...
9 Reactions
76 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…