1. Kama katumia miaka Sita (6) kuitafuta Degree yake (isiyoeleweka ) Open University of Tanzania (OUT) kutokana na uhaba wa Akili alionao Kichwani ataacha kuwa Mpuuzi hivi?
2. Kama kila Redio...
Ningependa kujua vigezo vilivyotumiwa na Caf kuanzisha haya mashindano kwa sababu kama wamechukua timu bora kila ukanda Kwa hivi sasa Rivers ni bora kuliko Enyimba
Mimi sio shabiki wa hizi timu ila nikiziangalia kiundani ni kama zimekaa kisiasa sana. Na huwa najiuliza hizi timu mbili ni kama zinatumia pesa nyingi sana kuliko pesa wanayo ingiza nikijaribu...
Wanajukwaa natumai nanyi ni mashuhuda timu yetu ya taifa stars haipati mechi nyingi za kirafiki tofauti kabisa na mataifa mengine hata majirani zetu wote wanacheza kwanzia mechi mbili hadi tatu...
[emoji3578]Anaandika Ahmedy Ally
Al Ahly amewahi kuchukua Ubingwa wa Kombe la Shirikisho mara moja tu tena miaka 9 iliyopita.
Wydad Casablanca hajawaji kuchukua Ubingwa wa Shirikisho hata group...
Baleke, Chama na Kibu wataivusha Simba SC kwenda semis
Mungu atupe heri ya Uzima ijumaa itakuwa raha na furaha kwenye uwanja tukufu wa Mkapa.
Inshallah Tanzania tumepata heshima kubwa sana...
Tutumie uzi huu kuipongeza Simba kwa kumpatia Mgunda nafasi ya kuwa kocha mkuu wa Simba. Naamini kabisa kuwa Mgunda almaarufu kama Gurdiola Mnene ataifanyia Simba maajabu ambayo hatujawahi...
Hizi ni timu nane ambazo zimepewa nafasi ya kushiriki super league.
1) Tp Mazembe
2) Es Tunis
3) Petro Luanda
4)Horoya
5)Simba
6) Wydad
7) Mamelod
8) Al Ahly
Wakati mashindano haya...
Wadau nimesikitika sana kitendo cha Ndege ya mizigo iliyopokelewa jana kuja nchini bila mizigo wowote.
Laiti kama Tungejua mapema kuwa Yanga hawatabeba Kombe ilitakiwa Warudi kwa kupanda ndege...
Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa ahadi ya kununua magoli ambayo yatafungwa na timu kubwa na mianba ya soka la Afrika Simba SC katika michuano ambayo...
YANGA YAIBEBA SIMBA ISISHUKE DARAJA 1988
Simba Msimu wa Pili mfululizo kunusurika, bali ushindi wao wa magoli 2-1 dhidi ya Yanga uliwanusuru ilikua Jumamosi Julai 23, 1988 mwaka huo kwenye Uwanja...
Salaam Wana jf
Ukistaajabu ya Musa ...utaona ya Mzee pharaoh, timu inayojinasibu Kwa kuota kuwa itamtoa Al ahly chaajabu imeambulia 5% za kubeba Kombe Hilo [emoji23][emoji23][emoji23] hiki ni...
Uchambuzi
Ni mjinga tu ataamini kuwa kikosi tia maji tia maji cha Simba [emoji240] [emoji240] kinaweza kumtoa giant Al Ahly.
Ili kumtoa yule jamaa unahitaji watu wenye spidi kwenye kukaba. +...
"Siwezi Kupanda Ulingoni kupigana na Mabondia wa Tanzania Kwa Sababu nimegundua wote wanaonitaka ni Wanawake, Kama Wanaona Kupanda Ulingoni na Mimi ni Kupata Hela Basi Mimi nipo Tayari kuwalipa"...
Wadau na wapenzi wote wa soka Tanzania
Nawataarifu Jumamosi Oktoba 21,2023 saa 2 asubuhi kutakuwa na shughuli maalumu kuwafariji Wana Simba kwa kipigo watakachopata kutoka Mabigwa wa Africa Al...
Kwa mujibu wa mtandao wa hispania wa SPORT mwanasoka wa Argentina Lionel Messi atashinda tuzo yake ya 8 ya Ballon d'or akimshinda mpinzani wake Erling Haaland.
Aidha kwa upande wa wanawake tuzo...
Uwezo wako tunaujua ni mkubwa mno na sababu kuwa Umeondoshwa Ihefu FC kama Kocha Mkuu na Kurithiwa na Mganda Kocha Moses Basena leo kutokana na Poor Performance ya Timu ya Ihefu FC ni Uwongo na...
1. Kuongeza Ujuzi wa Kisaikolojia: Michezo vya kielektroniki, mfano Spin&Win huchangia kuimarisha ujuzi wa kisaikolojia kama vile kutatua matatizo, kufikiri kwa uangalifu, na kufanya maamuzi...