Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Bus la wachezaji wa Dodoma Jiji FC limepata ajali likiwa njiani kutoka Mkoani Lindi kuelekea Jijini Dodoma, ajali imetokea katika eneo la kati ya Nangurukuru na Somanga wakati linatokea Ruangwa...
4 Reactions
31 Replies
1K Views
Saed Ramovic, kocha wa zamani wa Yanga, alitoa maoni kuhusu tofauti ya ushindani kati ya ligi za Algeria na Tanzania baada ya mechi yake ya kwanza na CR Belouzdad dhidi ya MC Alger katika fainali...
5 Reactions
44 Replies
1K Views
Jonathan Sowa Amecheza Dakika 72 ligi kuu na Ana Goli moja Deus Kaseke Amecheza Dakika 6 ligi kuu na Ana Goli Moja Elie Mpanzu Amecheza michezo jumla 10 hana hata Goli la Offside Kibu Denis...
6 Reactions
22 Replies
525 Views
Nyuma mwiko ni timu inayowekeza sana kwenye propaganda.Propaganda hii imekuwa kubwa kiasi kwamba inaweza kuambatana na mipango ya nje ya uwanja kuathiri matokeo ya mechi ndani ya uwanja. Mfano...
3 Reactions
23 Replies
796 Views
Mambo vipi ndugu zangu wapenda mchezo wa soka? Wakati timu zikichuana kuwania ubingwa na zingine zikipambana zisishuke daraja, kumeibuka vita nyingine ndogo ya kuwania ufungaji bora, mpambano ni...
5 Reactions
32 Replies
1K Views
Wakuu naomba tuchambue jambo hili limekuwa linaongelewa sana kwenye media Ni Kwamba inasemekana Simba tu ndio hukutana na upinzani mkubwa kwenye ligi..... tofauti na timu zingine kama Yanga na...
10 Reactions
85 Replies
1K Views
Kansas Chiefs wamekuwa mabingwa wa mpira wa marekani kwa miaka mitatu mfulilizo. Leo hii wanapewa kibao sana na Philadelphia Eagles. Miaka ya nyuma kidogo mwanafunzi wangu mmoja alikuwa akichezea...
5 Reactions
37 Replies
861 Views
Huu uzi si wa kutetea upuuzi alioufanya Ladack Chasambi katika mechi ya jana kati ya Fountain Gate vs Simba. Huu uzi nia yake kuelezea maeneo mawili ambayo Simba imekuwa na tatizo nayo kwa muda...
3 Reactions
21 Replies
958 Views
Ni kweli kwamba kocha wa timu ya taifa ya tanzania ya mpira wa miguu analipwa hela nyingi kuliko makocha wengine wote afrika? Naomba mwenye info atumwagie hapa jf
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Inaelekea kuna bifu kati ya vyombo vya habari vya IPP Media na Klabu ya Simba, wamesusa kutangaza habari za Simba kwa zaidi ya miezi mitatu sasa; kuanzia redio-one, ITV na hata magazeti! Hata...
0 Reactions
16 Replies
6K Views
SIKU YA MECHI KALI. VIKOSI VINAVYOANZA LEO. p UPDATES..... 4:15pm Kandanda imeanza tayari, Game inapigwa zazuri kabisa. DK 2 Simba wanafanya move nzuri hapa, inababatizwa na Mchezaji wa FG...
14 Reactions
755 Replies
26K Views
Wachambuzi na watangazaji wa Azam Tv wanapata taabu sana kuwatetea akina Faisal na wenzake, Timu inabebwa haibebeki wanaulizwa hiyo ni penati au la, wanapatwa na kigugumizi Kuwatetea Azam FC...
4 Reactions
21 Replies
729 Views
Tetesi zinasema katika dirisha dogo, mchezaji Ladack Chasambi anatarajiwa kutua Namungo sc. Imeelezwa Namungo wameshatuma maombi ya kumnasa kinda huyo katika kujiimarisha na kuongeza nguvu kikosi...
1 Reactions
6 Replies
562 Views
Mfadhili wa zamani wa Simba SC, Azim Dewji amesema haoni maana yoyote ya kosa la Ladack Chasambi katika mechi ya Fountain Gate lizue mjadala kwa sababu alishawahi kumtaja mchezaji wa Yanga Maxi...
1 Reactions
7 Replies
459 Views
1. Hussein Kazi mbovu 2. Kelvin kijilimo cha mbogamboga 3.Aishia hewa Manula . . . NEXT ; Kisia nani?
2 Reactions
11 Replies
706 Views
Hii ndiyo Ile tukawambiaga mtani alitaka kushuka daraja kama mnakumbuka πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Follow #CRIX ORG πŸ™πŸ™
2 Reactions
9 Replies
292 Views
Eng Hersi ni Mwanasiasa anaeitumia utoopolo , Yupo Utopolo anatumia Nafasi hiyo kulisaka Jimbo Timu Nyingine inayoongozwa kisiasa ni Singida chini ya Mwigulu, angalia mambo yanavyofanyika kisiasa...
2 Reactions
23 Replies
841 Views
I will be short. 10 matches in, Arajiga ajapewa mechi hata moja ya Simba. Ila Yanga kachezesha mechi 4 zote Simba hata moja. Kama hii sio match fixing ni nini? Note: Wote wapo hapa hapa Dar.
1 Reactions
17 Replies
814 Views
Coach Ramovic nitakukupopoa hadi utakapobadilika. Mimi kama mtaalam wa football na mwanachama wa Yanga bado Ramovic hajanishawishi Kwa mbinu zake Leo ameanza na mabeki 5 nyuma Bacca, Job, Boka...
12 Reactions
66 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…