Timu za Simba na Yanga zitawajua wapinzani wao katika makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kupitia droo itakayochezeshwa leo jijini Johannesburg, Afrika Kusini.
Droo za hatua ya makundi ya Ligi ya...
Tafadhali naomba mwenye Jedwali la Msimamo wa Ligi Kuu yetu ya NBC aniwekee hapa tafadhali ili tujikumbushe na tusisahau au tusijisahaulishe kwa Makusudi.
Bahasha zao ziko Mara tatu :
1.Watatoa bahasha kwa wachezaji wa timu pinzani wacheze chini ya kiwango. Na magoli marahisi rahisi Mara ya kujifunza nk
2.Watatoa bahasha kupitia kisingizio Cha...
Kitendo cha mashabiki wa Yanga kuanza kulalamikia bao la John Boko kuwa alikuwa offside naona ni kupotezeana muda tu, Boko kafanya home work yake iliyomfanya awe uwanjani na kaikamilisha na refa...
CAF hufanya draw ya makundi kwa kuzigawa timu kwenye pots/vyungu 4 kwa kigezo cha ubora wao.
Pot no. 1: Al Ahly, Wydad WC,Esperance, na Mamelodi Sundowns.
Pot no 2: Simba, CR Belouizdad...
Wakuu habari, mwenzako akinyolewa zako tia maji na tumeumia sana Yanga kufungwa na Ihefu Kyle Mbarali.
Ila yaliyotokea kwa Yanga Mbarali yanaweza kutokea kwa Simba Mbeya Sokoine stadium.
Nipo...
Kumekucha tena,
Kivumbi leo. Uwanja wa Sokoine Mbeya.
Simba ya Dar es Salaam itaumana na Tanzania Prison ya Mbeya.
Muda ni Saa 10 Jioni kwa Saa za Afrika Mashariki.
Kikosi cha Simba...
GSM akishirikiana na uongozi wa Prisons umetoa motisha katika timu yao ili kuepuka kichapo leo dhidi ya Simba.
Katika kikao kilichofanyia viongozi pamoja na wadau wametoa ahadi ya sh 25milioni...
"Kiukweli Wachezaji wangu hawako Smart Kichwani ( akimaanisha ni Wapumbavu ) kwani kila Siku katika Uwanja wa Mazoezi nawapa Maelekezo yale yale lakini tukija katika Mechi wanayarudia. Niliwaambia...
Mpaka Wamekuwa kero hawa watu sms mnatuma mpaka 6 kwa saa moja na zote zikiwa na mlengo mmoja hiyi maana yake nini? Na namba zangu kawapa nani? Endapo mtaendelea na hiyi tabia nitaenda kustaki...
Habari zilizotufikia ni kuwa bodi ya klabu ya Simba imeridhia kuacha na kocha wake Mbrazil Roberto Oliveira 'Robertinho' kutokana na kutoridhishwa na mwenendo wa timu tangu msimu huu kuanza licha...
Kesho ndiyo ile draw yetu!
The official draw for the Group Stages of the TotalEnergies CAF Champions League and TotalEnergies CAF Confederation Cup will be conducted on Friday, 06 October 2023...
MotoGP 2008
Mar 9: QATAR - Dona/Losail
Mar 30: SPAIN - Jerez De La Fronter
Apr 13: PORTUGAL - Estoril
May 4: CHINA - Shangai
May 18: FRANCE - Le Mans
Jun 1...
Nafikiri ndio mara ya kwanza kwa kocha Gamondi kwenda kucheza mechi kwenye viwanja vya mikoani na ameonja shubiri ya aina yake.
Viwanja vya mikoani vina aina yake ya uchezaji na vina aina ya...
Za uhakika kabisa ni kwamba hayuko Kambini na Simu Kawazimieni. Mtawaficha Wengine Habari zenu za Ndani Avic Town Kigamboni ila siyo Mimi GENTAMYCINE The King.
Kwahiyo mliwaona Simba SC hawana...
Hii iko wazi kabisaa na haturudii makosa Mara mbili, mtangojaa sanaaaa!
Sisi waleeee. Na kimataifa nangoja sana pale group stage Kanda mbili wanachomokea wapi.
Haina haja ya salamu,Yanga Leo kufungwa ni uzembe wa kocha mkuu wa yanga,.
Kufanya rotation ya kikosii ni jambo nzurii kwenye football ila kwa akilii ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.