Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

1. George Masatu 2. Godwin Aswile 3. Victor Costa 4. Nadir Haroub 5. Constantine Kimanda 6. Salum Swedi 7. Fikiri Magosso 8. Christopher Alex Massawe 9. Mustapha Hoza 10. Boniface Pawassa 11...
14 Reactions
37 Replies
3K Views
Jadon Sancho Uamuzi huo ambao umeelekezwa anapokuwa kwenye Viwanja vya Mazoezi vya Carrington, umechukuliwa ikiwa ni mwendelezo wa adhabu kutokana na mgogoro wake na Kocha wa ManchesterUnited...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nimepata taarifa beki wetu kisiki kapata ajali maeneo ya Mikocheni, alipokwenda kumpokea ndugu yake usiku wa kuamkia leo, Septemba 24 ambaye amekuja kumtembelea. Sikusudii kuleta taharuki...
6 Reactions
37 Replies
7K Views
Chelsea msimu huu ndani ya #epl [emoji1][emoji1]
2 Reactions
10 Replies
796 Views
Leo kipekee nampa maua yake mapema sana mtajwa hapo juu, kwa bidii na weledi anaouonesha kwenye kazi zake. Vijana wanaojituma kukuza taaluma zao wanahitaji kupongezwa na kuombewa dua ili wakue...
4 Reactions
20 Replies
2K Views
Ukiona mashabiki wa Simba wakilalamikia timu yao,kama una akili nzuri,utakumbuka jinsi mashabiki hao hao walivyoishangilia timu ikiwa imefungwa ama kutoa sare huku wameonesha soka bora kabisa...
4 Reactions
26 Replies
2K Views
pesa yangu ipo reserved tokea tarehe 3 haijarudi kwenye account ya merdianbet mkipigiwa hampokei, hela zetu mnakula ila nyie mkiliwa mnasumbua kutoa uzi tayari
0 Reactions
2 Replies
679 Views
Bado najiuliza sana kama TFF na taifa tuna ndoto za kuzipeleka timu zetu kimataifa. Ilitakiwa weekend hii match ziendelee ili kuweka good fitness kwa wachezaji wetu hasa wa timu zetu...
19 Reactions
58 Replies
4K Views
Kwa muda mrefu sasa tangu apate majeraha kwenye mchezo na Azam, hachezi. Haonekani hata kwenye orodha ya wachezaji wa akiba. Hatajwi wakati wa mchezo. Bwana Makudubela yuko wapi? Mnaofahamu hebu...
8 Reactions
39 Replies
3K Views
Siku chache tangu aliyekuwa Kocha wa Manchester United, Ole Gunnar Solskjaer kunukuliwa akisema kuna wachezaji wawili walikataa cheo cha unahodha wakati wa utawala wake imegundulika kuwa mastaa...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Salaam, Nimeona mijadala mingi humu ikizungumzia sakata la kocha wetu ambaye amenukuliwa na vyombo vya habari nchini Afrika Kusini kuhusu sababu za yeye kuondoka kambini. Kwa upande wa klabu...
7 Reactions
63 Replies
3K Views
Mchezaji wa mpira kikapu wa kimataifa hasheem ameludi bongo kuja kukipiga na timu kongwe ya kikapu ya pazi Baada ya kuipaisha tanzania kimataifa mchezaji huyu kaweka uzalendo mbele. Kaja kuinua...
2 Reactions
27 Replies
3K Views
Kisheria kama timu zimelingana kila kitu kwenye msimamo wanapangwa kwa Alphabet A-Z Angalia IHEFU na KAGERA kisha angalia COASTAL na TANZANIA PRISON wamelingana kila kitu na wamepangwa kwa...
18 Reactions
61 Replies
6K Views
Karne ya 21 tumeshuhudia mengi Sana kwenye michezo,ya kutia aibu mfano kukosekana kwa disc lenye wimbo wa taifa ndani ya uwanja wataifa Hadi yale ya kubadilisha muda wa mchezo bila timu shiriki...
3 Reactions
4 Replies
2K Views
Baada ya Mechi hizi za raundi ya tatu za Ligi ya NBC. Imejidhihirisha Jean Othos Baleke ndiye mchezaji Hatari Zaidi kwenye safu ya Ushambuliaji Kwa Sasa Nchini Tanzania. Sio kwamba wengine...
6 Reactions
32 Replies
2K Views
Ivi hawa Go Bet wanatuchukuliaje WaTanzania ivi Hii nchi Mbona Ngumu sana jamni yan Mtu unakaa zako unahangaika na Matatizo ya hii nchi ghafla Na Mitandao ya Kipuuzi kam hii nayo itutukane...
31 Reactions
97 Replies
10K Views
Kuanzishwa 1925 Mchezo wa kwanza Uganda 3-10 Tanganyika Baada ya Muungano 1969 Tanzania 10-1 Kenya Ushindi mkubwa kwenye mechi ya mashindano Tanzania 7-0 somalia,,,jinja Uganda 1/12/1995 na...
2 Reactions
5 Replies
563 Views
Watu wengi wanamlaumu sana Kocha wa Simba jinsi anavyopanga timu na chaguo la wachezaji anaowachezesha kipindi cha kwanza au cha pili. Shutuma ya pili ni mbinu za kimchezo anazotumia Kocha huyo...
1 Reactions
10 Replies
858 Views
Jana wakati Hija Ugando anacheza rafu ya bahati mbaya, mm kwangu nasema hakudhamiria, dhidi ya Inonga Baka, kiungo mahiri ambaye kiukweli nampenda sana na ananivutia hadi kesho ufundi wake...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Mimi kwangu naona pande zote mbili wana hoja, kuna wanaokosoa uwezo wa timu na kuna wanaosifia. Wanaokosoa wanaona Simba haichezi vzr ingawa inashinda, wanajua Simba inavyocheza, Simba...
3 Reactions
5 Replies
363 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…