Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Naangalia match ya Simba vs Coastal Union, camera za Azam leo ni Cristo puuzi mtupu huwezi kuona vyema. Tatizo hili lipo kila match ila leo mmezingua sana. USSR
2 Reactions
11 Replies
573 Views
Timu ya Wananchi Yanga imeibuka washindi wa timu bora ya wiki kwenye michuano ya CAF CHAMPION LEAGUE raundi ya Pili. Mashabiki 23,825 walipiga kura huku mabingwa wa Tanzania Yanga wakipata...
7 Reactions
19 Replies
3K Views
Leo kuna Mtu akiingia tu katika Mfumo wa Wanaoujua Mpira hata CAF Wanawajua wanaweza Kufungwa / Kupigwa hata 6 au 7 na hata 8 kwani wana hiyo Historia ya Kutandikwa idadi hiyo Kubwa ya Magoli.
4 Reactions
22 Replies
1K Views
Hii ndio timu pekee inayoshiriki ligivkuu kutoka mkoani Kigoma. Mashujaa FC ni timu inayomilikiwa na Jeshi la Wananchi Tanzania JWTZ, na msimu huu 2023/2024 wamepanda daraja baada ya kuifunga timu...
6 Reactions
42 Replies
3K Views
Bodi ya Ligi (TPLB) imekataa maombi ya Simba SC ya katakana kuutumia uwanja wa Azam compex, kwenye mchezo wao wa kesho dhidi ya Coastal Union ya Tanga. Simba SC imeomba kuutumia uwanja wa Azam...
0 Reactions
4 Replies
715 Views
JIBU: Ili kuwaruhusu wachezaji wote wa Yanga washambulie bila hofu ya counter attack!! Tunaposema kilichofanyika ni "IMETHIBITISHWA" muwe mnaelewa!! Na kweli bwana wakapewa kagoli kamoja!!
7 Reactions
59 Replies
5K Views
Namungo wametengenezewa jezi na utopolo Namungo wana mkataba GMS Namungo wako na Sportpesa Mnajisumbua bure Subirini saa 3.00 usiku mtanipa majibu hapa
6 Reactions
19 Replies
2K Views
Kutokana na ubora wa yanga kila ambapo mechi ya yanga inapoisha kumekua na maneno kutoka kwa mashabiki wa timu kubwa pinzani na yanga kwamba yanga anacheza na timu dhaifu. Baada ya kushinda goli...
31 Reactions
126 Replies
7K Views
Habari za muda huu wadau wa sport Naomba kujua hili suala kwa undani zaidi, hii timu inamilikiwa na nani? swali hili linatokana na maelezo ya kocha wao Ernest Kwanza hii timu mwanzoni ilikuwa...
9 Reactions
24 Replies
3K Views
Kwa namna mchezo ulivyopigwa leo hii kati ya Yanga na Namungo ni dhahiri kuwa Namungo waliwawin Yanga, na hii ni Ukomavu na ubora wa Kocha wa Namungo Cedric Kaze katika Usukaji wa Safu ya ulinzi...
4 Reactions
9 Replies
955 Views
Ikicheza kwenye Uwanja wa ugenini, Manchester United imefungwa magoli 4-3 dhidi ya Bayern Munich katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, Kundi A. Magoli ya Bayern yamefungwa na Leroy Sane, Segre...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Mabingwa watetezi wa ligi kuu nchini Tanzania Young Africans Leo wanajitupa dimbani kumenyana na Namungo Fc katika mchezo wa ligi ya NBC. Ikumbukwe katika michezo miwili iliyopita ya ligi Yanga...
6 Reactions
497 Replies
31K Views
Mkurugenzi Mtendaji wa Fountain Gate Academy, Japhet Makau ametolea ufafanuzi kuhusiana na tuhuma zilizotolewa kuhusiana na aliyekuwa Mchezaji wa Fountain Gate Princess, Peris Oside Raia wa Kenya...
4 Reactions
23 Replies
3K Views
"Kocha GENTAMYCINE tafadhali tunakuomba upange Kikosi kulingana na Ulivyoambiwa na Kocha wa Yanga SC Gamondi ambao ni Ndugu zetu na siyo upange ujuavyo Wewe sawa?" Boss Mkuu wa Singida Fountain...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Inapoitwa timu ya wananchi basi ujue inajitoa walau kusaidia wananchi, Yanga ni kawaida sana kuchangia damu, wakienda mikoani karibu kila mechi watafikia kituo cha watoto yatima, waathirika wa...
3 Reactions
5 Replies
570 Views
Bodi ya Ligi TPLB, imekataa maombi ya Simba SC ya kataka kuutumia uwanja wa AZAM COMPLEX, kwenye mchezo wao wa kesho dhidi ya Coastal Union ya Tanga. Simba SC imeomba kuutumia uwanja wa AZAM...
13 Reactions
62 Replies
6K Views
Mara utasikia wameenda kuonana na Raisi wa Nchi Fulani, mara utawasikia wanaimba nyimbo za Chama Fulani cha Siasa wakifunga goli, mara unasikia Chama Fulani Cha Siasa kimepeleka wanachama wake...
3 Reactions
34 Replies
3K Views
Nasemajeee! Napenda kukuambia ndugu Shaffih Dauda, uchawa umezidisha.. utaacha lini? Alivyotoka Mbwana Samatta, kimbele mbele kikakuanza. Ukawa hukauki kwenda ubelgiji. Akatoka bwana mdogo...
11 Reactions
24 Replies
2K Views
Wiki mbili zilizopita mwanaradha pekee aliyewakilisha mbio za dunia za marathon alishindwa kumaliza mbio hizo ambazo zilifanyika Hungary. Leo mwanariadha mwingine ameshindwa kumaliza mbio hizo...
7 Reactions
77 Replies
3K Views
Ntawarejesha baadae kidogo jinsi mo alivyoshiriki kutudanganya juu ya bilion 5 za usajili na babra Alivyoamua kumchamba live. Turudi kwa kipa. Kipa yule Hajui lolote kuhusu kudaka mpira kwenye...
11 Reactions
45 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…