Timu ya Wakaguzi ya utayari wa nchi za Tanzania, Kenya na Uganda kuwa wenyeji AFCON 2027, kutoka Shirikisho la Mpira Afrika (CAF) imehitimisha ukaguzi wao salama Agosti 2, 2023 Zanzibar kwa kikao...
Napenda kumpongeza mmiliki wa timu yangu ya Singida fountain gate kwa kutuwezesha kupata basi jipya la kisasa ambalo litatusaidia katika safari mbalimbali katika msimu ujao.
Ikumbukwe basi lile...
Uongozi wa Klabu ya Yanga umesema kuondoka kwa Fiston Mayele ni hatua ya kukua kwa soka ndani ya timu yao na watampata mbadala wake kwa kuwa maisha ni lazima yaendelee.
Mayele mchezaji na...
Katika hali ya kustaajabisha timu ya simba sc imewafanyia vipimo vya afya wachezaji wake wapya 9 baada ya kuingia nao mikataba kabisa na kuanza pre season huku nchini uturuki
MASWALI
1...
KAMA kuna mchezaji ambaye alikuwa anapendwa na Wanayanga miezi 12 iliyopita mmojawapo alikuwa Yannick Bangala. Watangazaji wa Azam TV walimuita Mzee wa Kazi Chafu. Kuna wachezaji walionekana...
Tukiwa tunaelekea kwenye maadhimisho ya wana-lunyasi "Simba Day 2023" basi matukio na hisia tofauti zimeanza kuipamba siku hiyo.
Kati moja ya matukio hayo, basi ni yale aliyoya-eleza Kibu D...
"CAF imeweka utaratibu mpya wa Timu ambazo hazianzii hatua ya Awali Kombe la Klabu Bingwa na zipo katika zile Timu Nane zitakazoshiriki Michuano mipya ya Afrika Super Cup zenyewe zitaendelea...
Hello JF,
Habari ndio hio Fiston Kalala Tupwisa Mayele ndio Mchezaji Bora wa msimu wa 2022-2023 Kwa Kwa wachezaji wa ligi za ndani ya Africa.
Hongera Sana Mwamba,
The goal machine that scores...
Ukiondoa maneno aliyoyazungumza mwenyekiti Mangungu Kama msemaji wa timu maana ameshindwa kabisa kujitofautisha yeye na hao waropokaji wa timu za kariakoo (Ahmedy na Ally kamwe).
Nimesikiliza...
Bongo hakuna kuhama kuna raha yake bwana, wakati mtifuano ukiwa umepamba moto kwenye mitandao ya kijamii kati ya Ali Kiba na Diamond Platnumz hatimaye Kiba kafanya maamuzi magumu na hii ni baada...
Nimemuona kiungo wa Togo Malouf Tchakei.
Jamaa anajua jamani, anapiga faulo za hatari Bruno gomez cha mtoto, ana control, ana ball brain, ni kiungo hasa soo masihara.
Simba vs Singida kazi ipo
Tuwakumbuke marefarii wa zamani waliowahi kujipatia umaarufu katika mchezo wa soka. Wanaweza wakawa ni wa hapa Tanzania, Afrika au hata Ulaya. Karibuni
Huyu dogo alidanganywa sana eti kutosajiliwa timu za ndani.
Kama kuna mchezaji yeyote mwenye ndoto za kucheza ulaya unaachaje kusajiliwa Simba?
Ujinga mnaojazwa na hao madalali unawafanya mjutie...
Wachambuzi wetu ni low profile, tuwasaidie kuwaandalia ajenda. Mayelle aliletwa Yanga na viongozi wa Yanga, kabla ya kuletwa Yanga alikuwa hatambuliki na wachambuzi wetu. Mayelle alikuwa na kipaji...
Nimeona mnada wa Jezi tano zenye majina ya viongozi wa nchi likiwepo jina la Rais wa nchi Samia Suluhu Hassan na jina la Waziri Mkuu Kasimu Majaliwa.
NALIA NGWENA nilikua naangalia nini kitu...
Jezi ya Rais wa Heshima wa klabu, Mohamed Dewji 'Mo' imeuzwa Sh. 2,000,000 na Duka la Vifaa la Michezo la
Romario Sports katika mnada unaoendelea katika Ofisi za Azam TV ikiwa ni ahadi...
Kulikoni hakuna ushabiki wowote kenye hili dimba la wanawake, sababu?
Naangalia hapa wasichana wanachea mpira safi kabisa, nadhani vitimu vyetu vya Taifa wanaweza kuvifunga magoli mengi tu hasa...