Kwa namna ambavyo tunamfahamu Twaha Kiduku akiwa Ulingoni, mazoezini unahisi nini kimechangia Bondia huyu mwenye kundi kubwa la Mashabiki kila kona ya Tanzania kuchakaa katika ardhi ya nyumbani?
Yaani Timu iliyobeba Ubingwa na kufika Fainali ya CAFCC katika Siku yao ya Wananchi pamoja na baadae Kuruhusu Fungulia Ng'ang'a ( Mbwa ) Uwanja wa Mkapa haukujaa na hata kule Shamba la Bibi (...
Nadiriki kusema hivyo kwasababu inasemakana bwana yule mahop alifika mpaka Dar akaomba mshahara wa milion 35 per month na alipwe pesa yote ya signing fee.
Jaman nina maswali mengi aana kichwani...
Kama mnajiamini ombeni hata kwa bahati mbaya tu Mechi ya Kirafiki na Safiri Mafungu Mafungu FC mcheze nao mkione cha mtema kuni na Golini hakutokuwa na Kipa kwakuwa ameumia Kimiujiza akiwa amekaa...
Hamasa ya Wiki ya Simba katika Uwanja wa Buza Kanisani. Huko wamekuja na Kibegi Part Two ambapo mashibiki mamilioni watashindana kupata tiketi 20 za Platnum. Mashabiki hao watashindana kwa kutuma...
Simba ni sikio la kufa.
Nilimtumia Email Kajula.
Nilimuonya kutosajili wachezaji Nje ya Africa. Nikaambatanisha na mifano.
1. Dejan.
2. Santos.
3. Wilker Da silver.
4. Fraga.
Lakini wapi. Leo...
Timu pendwa ya wananchi imekua na utaratibu wake mzuri, kambi ndani ya nchi ,mechi za kirafiki wanakipiga na Kombaini na teams za ligi daraja la tatu hadi nne.
Jambo jema ila tahadhari yule...
Zanzibar wana wimbo wa Taifa ila naangalia hapa U 18 watoto wao hawaimbi kabisa huo wimbo, vivyo hivyo hivyo kwa Tanganyika ambapo nimeangalia na kuona watoto hawaimbi kabisa wimbo unapopigwa...
Tuchukue misimu miwili ya Kagere alipojiunga Simba tuache misimu inayofuata ili tumlinganishe na Mayele.
Msimu wa Kwanza Kagere ana magoli 23
Msimu wa pili ana magoli 22.
Mayele msimu wa Kwanza...
Wakuu wa jukwaa, kama mnavyofahamu kesho ndio kesho. Usiku wa Ulaya unaanza kwa msimu huu. Mimi nimekuwa mdau wa mpira kwa muda mrefu, ila hawa Dstv wanakwama wapi? Mbona wenzao Canal+ wako na bei...
Ni jambo la kushangaza kwa kile kilichofanyika na club ya simba kuchanganya mpira na siasa
Nilipendezwa na wazo la club ya simba kutambulisha jezi yao kwenye mlima mkubwa zaidi Afrika hivyo...
1. Alizaliwa kuwa ni Mfungaji mahiri na siyo Mshambuliaji kama wengi walioko.
2. Amekuwa ni Alama tukuka ya Ligi Kuu ya NBC ya Tanzania hasa kwa Ushangiliaji wake wenye Mvuto na wa Kibabe (...
Njia pekee ya kuiondoa Simba kwenye mstari, Simba hii ambayo nna uhakika tukiwa wamoja hakuna, nasema hakuna, narudia hakuna wa kutoa sare nayo ni kuwagombanisha wenyewe kwa wenyewe ilk wenye timu...
Timu ya Wakaguzi ya utayari wa nchi za Kenya Uganda na Tanzania kuhusu utayari wao wa kuwa wenyeji AFCON 2027, leo hii Julai 31, 2023 wapo Zanzibar ambapo wamekagua Uwanja wa Amaan, hospitali ya...
Simba watakuwa mabingwa
Azam watafuatia
Singida wa tatu
Ihefu wa nne
Tabora United wa 5
Coastal Union wa 6
Namungo wa saba
Yanga watashika nafasi ya nane
#1. Mmesikia kuwa Klabu ya Yanga SC muda wowote jnaenda Kuishtaki TFF huko FIFA kwa Kumruhusu Mchezaji anayecheza Ligi Daraja la Nne kuja Kucheza Ligi Kuu ya NBC kinyume na Kanuni.
#2. Mchezaji...
Baada ya kufanyiwa vipimo vya afya imebainika kuwa, golikipa wa klabu ya Simba SC, Jefferson [emoji1054] ana injury itakayomuweka nje ya pitch kwa muda mrefu ujao.
Klabu ya Simba imeanza kutafuta...