Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Mpira ni Mapumziko huko Uturuki na Simba yuko nyuma kwa goli moja. Mchezo ni mzuri na wa kuvutia kwa pande zote mbili lakini ni wenyeji wameanza kuzifumania nyavu.
2 Reactions
22 Replies
3K Views
JINA la Fiston Mayele halikuwepo katika orodha ya wachezaji waliotambulishwa Jumamosi jioni wakati Yanga walipofanya tamasha lao la wiki ya Mwananchi. Hakuna aliyeshangaa sana. Moja kati ya siri...
15 Reactions
15 Replies
2K Views
Simba Sc ikiwa inacheza kwa kasi kama umeme imepiga mtu 2-0 huko Uturuki. Hii ni mechi ya mchana tu,jioni ya saa 12 tunapiga game nyingine. Hii ni tahadhali kwa timu ndogo ndogo na zile za CAF...
14 Reactions
36 Replies
3K Views
Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Hamis Mwinjuma amekutana na kufanya mazungumzo na mwakilishi wa La Liga nchini Tanzania, Jorge Gazapo kwa ajili ya kuangalia maeneo mbalimbali...
0 Reactions
2 Replies
505 Views
Binafsi nilitarajia msimu huu tutafumua kikosi na kuunda upya kwa kusajili makinda wanaofanya vizuri kwenye vilabu vikubwa, kuanzia walinzi, viungo na washambuliaji. Hii ingetusaidia sana kwa...
7 Reactions
34 Replies
3K Views
Ahmed Ally amesema Siku ya Simba Day wataalika Mabingwa wa Zambia, Power Dynamos kwenye kilele cha siku ya Simba Day. Wasanii wengi wakubwa watakuwepo. Rekodi ya mwaka jana walijaza uwanja saa 7...
6 Reactions
33 Replies
6K Views
Nimecheka sana leo, semaji la Azam Hashim Ibwe akiwa hana aibu wala haya ameonekana akiuelezea mchezo wa kirafiki baina ya Azam vs Stade Tunis huko Tunisia. Alianza vizuri kwa kusema kuwa...
10 Reactions
46 Replies
4K Views
Salam wakuu Kuna kitu wanaYanga wanalaumiwa kuwa hawakwenda kuujaza uwanja hivyo wanasimba hujinadi kwamba wao watakuwa full house, wewe umesikia wapi. Ni hivii, kwa siku za karibuni morali ya...
0 Reactions
25 Replies
2K Views
Mpira ni pesa, kutunza uwanja wa mpira na miundombinu yake ni ghali sana, lakini hata gharama za kuendesha timu na kuandaa mechi ni kubwa sana. Mpira wetu umekuwa sana, unakusanya wachezaji...
8 Reactions
38 Replies
2K Views
Deal done, Kocha wa zamani wa Mabingwa wa makombe yote nchini Yanga Africa professor NABI ajiunga rasmi na Rabat Mabingwa wa ligi kuu Morocco. Kila la heri mwamba Nabi huna baya.
9 Reactions
73 Replies
5K Views
Timu ya Simba ambayo iko kwenye Kambi ya maandalizi nchini Uturuki leo tarehe 24 Julai inacheza mechi yake ya kwanza ya majaribio. Mechi hiyo itaanza saa 10:00 jioni kwa saa za Afrika Mashariki...
3 Reactions
77 Replies
11K Views
Habari wakuu, Katika hali inayoonekana kuwa ya kushangaza Klabu ya Soka ya Yanga yenye Makao Makuu yake mitaa ya Twiga na Jangwani imepata mashtaka mengine tena TFF. Wachezaji Yanic Bangala na...
15 Reactions
76 Replies
5K Views
Wizara ya michezo kupitia kwa Kaimu Mkurugenzi wa michezo imesema huenda club ya Simba ikazuiwa kutumia uwanja wa Benjamin Mkapa wakati wa kusherehekea kilele cha wiki ya Simba kwa sababu ya...
3 Reactions
36 Replies
4K Views
Haiwezekani Sisi tuliofika Fainali ya CAFCC tunaanza hatua za awali kabisa (za Wachovu na Wasiojua) CAFCL halafu Simba SC walioishia au waliozoea kuishia hatua ya Robo Fainali ya CAFCL wao...
17 Reactions
25 Replies
3K Views
Je hii ni pressure ya league kuanza au ni nini, je taasisi kama hii kubwa haina watu wanao hakiko kitu/taarifa kabla haijaenda public? Ni vyema kuwe na wahariri na nina imani yupo lakini kazembea...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Damas Ndumbaro anaeleza sababu ambazo zilipelekea timu ya Majimaji ya Songea kufa licha ya GSM kuwa msimamizi wa timu hiyo ukizingatia amezaliwa Songea. Chanzo...
0 Reactions
4 Replies
945 Views
Naamini Yanga msimu huu wanakwenda kufundisha Simba namna gani ya kuingia nusu final ya Klabu bingwa Afrika. Yanga naamini watafika nusu final Kuhusu final ndo sijui sasa lakini nusu final...
9 Reactions
41 Replies
2K Views
1. Diarra 2. Kibwana 3. Kibabage 4. Dikson 5. Bakari 6. Aucho 7. Zengeli 8.Yaya 9. Musonda 10. Zouzoua 11. Aziz Ki Aziz Ki namba kumi imemkataa akajaribu kwanza kucheza pembeni ambako kuna...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Wataelewa shoooooo maana kumewaka kambini
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Klabu ya horoya iliyopigwa 7 bila msimu uliopita, tp mazembe iliyopongwa nje ndani na yanga pamoja na Simba iliyoshindwa kuchukua kombe lolote mbele ya YANGA Zitaanzia raundi ya pili katika...
17 Reactions
62 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…