Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Ndugu zangu Uto, Kiukweli Manara amewapa funzo kubwa. Tamasha lenu halieleweki limekosa mvuto na promotion mbovu kwasababu Manara hakuweka nguvu na waliopaswa kujipanga na promo wameshindwa hata...
5 Reactions
20 Replies
2K Views
[emoji599]Klabu ya PSG imepanga kumpa ofa ya miaka 10 yenye Thamani zaidi €1B kwa kila msimu mmoja, Emir wa Qatar tayari ameshaidhinisha ofa hiyo,[emoji857] Source Defansa Central . Com Kijana...
3 Reactions
10 Replies
3K Views
adriz na Bila bila Elimu yetu ile Kubwa ya kule Peru na Costa Rica imetusaidia sana kuwaza mbali zaidi ambako Wengine hawawezi. Simpigii tena Promo Demu ambaye hata bado sijamuona nikihisi labda...
8 Reactions
13 Replies
1K Views
Baada ya majirani kumtambulisha Luis Miquissone hatimaye Yanga nao wasema hawakubali hata kidogo na wao wanamshusha kihonda wao.
0 Reactions
2 Replies
884 Views
Ni jambo zuri sana kuzindua jezi sehemu ya kiutalii kama Mlima Kilimanjaro. Lakini ingekuwa ni jambo zuri zaidi kama ingekuwa ni sehemu ambayo uongozi mzima ungekuwa unaweza kufika…!!! Na sidhani...
4 Reactions
14 Replies
637 Views
Mashabaki wengi huwa wanapenda kulalamika kuwa jezi sio bora ila leo napenda kuwapa neno kidogo. Jezi zozote hutengenezwa kulingana na uwezo wa walaji(wanunuzi) ni kama simu tu jinsi tunavyoona...
1 Reactions
3 Replies
883 Views
Leo ni Mwananchi Day kila mtu anatambua hilo "Happy Mwananchi Day, Young Africans🎊 Pamoja na kutambulika kama ni Mwananchi Day, ila "haioneshi" kama ni siku yake mwananchi. Kuna sababu nyingi...
9 Reactions
40 Replies
3K Views
Kama jezi ya timu yako haina logo ya Nike, puma, umbro au adidas badala yake ina logo ya vunja bei, sandaland, sijui kindoki, gsm na akina aden rage, hiyo ni fulana na bukta tu, sio jezi ya...
9 Reactions
24 Replies
2K Views
Wakati kibegi kikiendelea kurindima na nyuzi kali, fahamu kwamba hatujamalizaa. Leo saa 7 mchana tunamtangaza mkali wao na kusambaratisha kila kitu.
13 Reactions
68 Replies
7K Views
Kama Yanga wanadhani wamefanya ubunifu basi wamekosea sana kwani kuna jezi yao ile yenye mistari kwa chini ni kama jezi ya netball. Mwanzoni nilijua kwa vile kwenye logo yao kuna yule mtu kama...
1 Reactions
5 Replies
983 Views
Kuna uwezekano wengi wenu wakashangazwa na uzi huu kutokana na maneno haya kuwa Yanga watafika Fainali ya Klabu Bingwa mwaka huu, lakini sitaki kuwa mchambuzi sana ila nataka mjue suala hili lipo...
3 Reactions
31 Replies
2K Views
Jezi zimekosa ubunifu, ningekuwa na mamlaka ningemuweka ndani huyu Sandaland. Bure kabisaaaa
14 Reactions
89 Replies
7K Views
Mdau, Napenda kutoa tahadhari kwa mashabiki wa yanga kwa msimu huu wa 2023/2024 utakuwa msimu mgumu sana sana kwa timu hii yenye makazi yake Avic town Balaa litaanzia Jun 22 ambapo sherehe...
6 Reactions
17 Replies
2K Views
Michezo ni moja ya sanaa inayokuwa kwa kasi kubwa nchini Tanzania, katika siku za hivi karibuni kumekuwa na mijadala mkubwa juu ya masuala mbalimbali yanayoingusa tasnia hiyo kutoka kwa wapenzi na...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Habari zenu wanajamvi kipindi hiki ni wakati wa maonyesho ya sabasaba. Nimeshangaa kuona simba na yanga hawana hata kibanda pale saba saba hili ni kosa kibiashara ukilinganisha hizi timu zina...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Mchezaji anaweza kuletwa hapa Simba yupo vizuri sana ukimfatilia huko alikotoka ila msimu ukianza unakuta uwezo unashuka, majeraha, kukosa namba ilhali yuko poa na vimbwanga vingine sana baada ya...
3 Reactions
15 Replies
1K Views
Piga kura yako kwa kuandika jina la timu yenye jezi kali kati ya Simba Vs Yanga.
6 Reactions
41 Replies
3K Views
Ubora wa nguo unapimwa kwa vigezo kadhaa. Hapa kuna mambo muhimu yanayochangia ubora wa nguo: 1. Vifaa vya malighafi: Vifaa vya malighafi vinavyotumika kutengeneza nguo ni muhimu sana katika...
3 Reactions
8 Replies
802 Views
Mchezaji wa Kimataifa wa Ufaransa na Timu ya PSG KYLLIAN MBAPE amewasili nchini Cameroon kwa ziara ya siku tatu. Apata mshangao mkubwa kwa maelfu ya watu waliojitokeza kumpokea Airport. Mbape...
4 Reactions
7 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…