Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Uongozi wa Simba SC hakuna ulazima kila Yanga SC ikitoa Ripoti yake hasa ya Mapato au Mafanikio fulani basi nanyi pia haraka sana mje na yenu ya Kubumba (Kupika) na kufanya Kwenu hivi ni...
11 Reactions
23 Replies
3K Views
timu atokayo ni Difaâ El Jadida Morocco. Umri: Feb 28, 1996 (26) Uraia: Burkina Faso Nafasi: kiungo mkabaji
3 Reactions
44 Replies
5K Views
Wanayanga hivi kweli sisi ni wakupewa 1300 kwa kila mauzo ya jezi moja? Kwa data nikizonazo msimu huu tumeuza jumla ya jezi 100,000/- Hembu tufanye mahesabu ya haraka hapa 35,000 kwa jezi moja...
3 Reactions
42 Replies
4K Views
Bondia Machachari Bw. Karim Said maarufu Mandonga Mtu kazi ametembelea banda la Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo ambapo ametangaza ngumi mpya iitwayo "Kingugi" anayotarajia kuitumia kwenye...
4 Reactions
15 Replies
2K Views
Hii timu tumevumilia kwenye nyakati zote ngumu de gea akitubeba timu ikiwa mbovu kupindukia na makocha wabovu kupindukia ila degea amekuwa kwenye ubora wake kwa muda wote huo ametubeba Nilimuunga...
3 Reactions
25 Replies
2K Views
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Mhe. Albert Chalamila pamoja na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania ( TRA) Bw Alphayo J. Kidata leo 01/07/2023 wameshiriki Bonanza la michezo la TRA na...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
BILA Kujali timu unayoishabikia wala Mchezaji unayemshabikia.....hili SUALA la Wachezaji wanaocheza ndani na wale wanaocheza nje ya Tanzania Kutoa misaada ya kuwagusa Moja kwa Moja jamii...
4 Reactions
4 Replies
1K Views
Naanza kuona matunda ya Uongozi wa Eng Hersi Saidi. Alipoingia Yanga alikuta timu iko kwenye bajeti ya Bil 6. Kwa uongozi wake mathubuti jamaa ameweze kuibua vyanzo lukuki vya mapato. Mpaka sasa...
10 Reactions
51 Replies
11K Views
Endapo Simba sc watavunja mkataba wa Sawadogo itabidi wamlipe kitita Cha shilingi milioni Mia Saba na chenchi (700) mil lakini Simba sc wakimuuza kwenda kwenye timu nyingine itabidi wamlipe kitita...
6 Reactions
33 Replies
3K Views
Uchambuzi Tanzania imepanda katika ubora wa viwango vya soka vya Dunia hadi nafasi ya 123 kutoka nafasi ya 130 iliyokuwepo hapo awali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Shirikisho la Mpira...
1 Reactions
32 Replies
5K Views
Simba tumekosea sana kumuachia kiungo mkata umeme hata akiwa benchi, Nimeumia sana maana hata bin kazumari alisemaga kuwa mnyama hapa hajapigwa kwa sawadogo why aachwe? Sawa sawa na tumemuacha...
4 Reactions
8 Replies
970 Views
Kocha wa makipa Mashujaa FC kampiga kocha wa Mbeya City wazi wazi bila ya kificho na dunia imeona. NALIA NGWENA nimeshangazwa sana na hiyo adhabu ndogo aliyopewa lakini Hajji Manara aliyekua...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Mechi ile ya Nusu Fainali baina ya Simba na Yanga iliyofanyika Uwanja wa Lake Tanganyika Mkoani Kigoma na Kujaa hadi Pomoni huku Hamasa ikiwa Juu ilitosha sana Kuwaambia TFF kuwa iwe isiwe ni...
5 Reactions
8 Replies
2K Views
Hivi nyie wachezaji wa bongo anawashauri nani? Yaan uikache timu inayokwenda kushiriki Super League, timu inayokwenda pre season ulaya, timu inayocheza ligi ya mabingwa unaenda kuchezea timu...
3 Reactions
22 Replies
2K Views
Zipo taarifa kuwa mwamba kutoka Ghana kasinya kandarasi huko Chamazi, aisee winga Morrison, winga m Raja Casablanca, huku benchi Kipre Junior, Sopu, Idd Nado, Ayoub Lyanga. Watu hawataingiza timu...
3 Reactions
30 Replies
2K Views
Inasikitisha sana wakuu
33 Reactions
134 Replies
8K Views
habari za saizi wakuu mi ni mfwatiliaji wa mieleka na nimeanza kufwatilia baada ya kushawishiwa na jamaa yangu zamani nilikuaga sielewi nilikua naona wanaigiza tu lakini nilivyo fwatilia na...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Nimetazama report ya mapato na matumizi ya klabu ya Yanga SC kwa msimu uliopita. Yanga sc imeteangaza Kupata Faida ya million 581 katika msimu ulioisha 2022/23 . Mapato Billion 17.8 Matumizi...
13 Reactions
127 Replies
10K Views
Mpira ni mchezo wa wazi uliokunyanya wadau wengi sana wanaoufuatilia, hivyo sio hekima kwa mtu asiyekuwa na weledi wa uchambuzi na uwandishi wa mpira akajichambulia na kujiandikia kwa kuongozwa na...
1 Reactions
3 Replies
541 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…