Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Picha: Fiston Kalala Mayele Hata goli la pili alilofungwa Yanga Juzi, lilitokana na Mayele kushangilia kupita kiasi goli lake la kusawazisha , hii ni kwa vile aliamini aliongoza ufungaji kwa mabao...
3 Reactions
47 Replies
2K Views
Ni takribani wiki moja tangu Mbunge Mnyeti wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutamka hayo, ila Mayele akilitaka atalipata kwenye Ansad za Bunge aliposemwa vibaya na mbunge huyo. Kwa...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Dogo kachomoa kasema hana shida na masilahi (mshahara kuongezwa). Wele wanaharakati mliokuwa nae bega kwa bega mlioshupaza mishipa ya shingo na kupiga kelele nyingi kuwa Feisal Salumu apewe pesa...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Mimi na wenzangu tunaitakia USM Alger ushindi mzito wa kuanzia goli 3. Hawa Utopolo wakipigwa hata 6 tutafurahi zaidi. Wapigwe mpaka wasahau kama wamefika fainali. Kiwe ni kipigo cha aibu kuu...
25 Reactions
69 Replies
3K Views
Salam wana jamvi. Ni siku chache tu waliowengi tuliona post ya mjasiriamali mbunifu wa gari la umeme Bw. Kipanya akisambaza sauti ya vikao vya ndani vya maafisa wa serikali wakijadili kuhusu gari...
0 Reactions
13 Replies
987 Views
Swala la kufundishwa Cha kuongea kisheria Ni kawaida Sana ili kukwepa makosa ya kisheria. Ila je kilichoongelewa kina ukweli au la. Je feitoto alidanganya. Haya yanaweza thibitishwa kisheria...
4 Reactions
3 Replies
649 Views
Bado sijaelewa, huyu kijana anataka nini, maana kila baada ya muda mfupi anabadili maneno. Mwanzo alisema analipwa kidogo hadi kushindwa kununua nyama, samaki na mchicha, kiasi cha kula Ugali na...
4 Reactions
13 Replies
624 Views
Hapa nazungumzia saikolojia ya kucheza na refa. Waarabu kitu kidogo wamelalamika na kuonekana kama wameonewa. Mpira katoa yeye anakimbilia atake kurusha na uhuni mwingine mwingi. Mambo kama haya...
2 Reactions
7 Replies
719 Views
Kufuatia Mchezaji wa Klabu ya Yanga Feisal Salum kunukuliwa kwenye mahojiano ya kipindi cha Power Breakfast ya Clouds FM, alisema kuwa yupo tayari kurudi kucheza Yanga endapo Engineer Hersi...
5 Reactions
68 Replies
5K Views
Unaposema Yanga imejaa wahuni (masela) tazama mafanikio yao pia. Imetoboa fainali kitaifa. Imechukua kombe Nbcpl Imechukua kombe la ngao ya jamii Ipo fainali kombe la Azam (shirikisho) Uhuni ni...
1 Reactions
14 Replies
635 Views
Haji Manara kaamua kama kawaida yake anapotetea Yanga au GSM na Hersi Said ataangamiza chochote mbele yake hata kama ni baba yake Mzee Sunday. Kwake mlo na sifa ndio muhimu. Muingiliano wa sauti...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
𝗗𝗒𝗑𝗗𝗒𝗒 𝗭𝗔 π—™π—˜π—œπ—¦π—”π—Ÿ 𝗣𝗒π—ͺπ—˜π—₯ 𝗕π—₯π—˜π—”π—žπ—™π—”π—¦π—§ π—–π—Ÿπ—’π—¨π——π—¦ -Nilikuja bara na timu yangu ya JKU kwenye mashindano ya kagame cup na ndipo Yanga na Simba waliniona,Ila timu ya kwanza kunitaka walikuwa Simba ambao...
4 Reactions
21 Replies
1K Views
Mlinda mlango wa Simba, Aishi Manula amefanyiwa upasuaji wa nyama za paja katika Hospital ya Netvare Linksfield πŸ‡ΏπŸ‡¦ Kwa mijibu wa daktari wa Simba amesema kwa sasa ni mapema kusema Manula atakaa...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Meya mstaafu wa Ubungo bwana Boniface Jacob amemtaka Feisal Salum amrejeshee pesa yake aliyomchangia kwa sababu amegundua anatumia UTAPELI kuchangisha pesa kwa ajili ya kesi yake kwenda CAS...
5 Reactions
12 Replies
1K Views
Leo nimeshangazwa sana na hi story tukiwa kijiweni na walala hoi wenzangu alikuja ntu mgeni kwenye kijiwe cha kahawa katika story akajikuta ameongea hii kitu Uarabuni ni kawaida waarabu...
0 Reactions
7 Replies
595 Views
Kwa uchambuzi wangu mdogo ...nmefuatilia uchezaji wa mechi za ndugu zangu ... makolo walipo kutana na ndugu zao ( wadhaifu) vipers, horoya, big bullets Na kucheza chini ya kiwango .....pia Baada...
0 Reactions
39 Replies
1K Views
Ki ukweli Fei katuangusha sisi mashabiki wake kwa kile alichoongea leo kaharibu kila kitu. Ni bora angenyamaza. Nikikumbuka nilimchangia nikijua kweli kaonewa halafu nikiikumbuka interview yake ya...
3 Reactions
14 Replies
630 Views
Wakati Yanga wakiendelea kutafuta mchawi aliyesababisha wakapigwa na USMA wikendi iliyopita, baadhi ya mashabiki wao wameanza kuwashutumu baadhi ya watendaji wao kwa usaliti kisa kuvaa nguo zenye...
14 Reactions
44 Replies
3K Views
Klabu ya Simba leo imemtangaza Patrick Rweyemamu kuwa Mkuu wa Programu za Vijana wa Simba wakati Selemani Matola akitangazwa kuwa Kocha Mkuu wa timu za Vijana U-17 na U-20. Mtendaji Mkuu wa Simba...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Kama kuna jambo linalokera sana ni pale viwanja vilivyokuwa vya umma kabla ya mfumo wa vyama vingi kuporwa na CCM ambayo imeshindwa kuviendeleza. Inaonekana kama wangekuwa na uwezo walitaka hata...
6 Reactions
7 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…